Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uislam ndio njia ya kuingia peponi.Namuonea huruma kafa katika uislamu bila Yesu.
Malaria 2 gTurn gallow bird inamankusweke ITR Adiosamigo incharge Ritz Jagina ielewemitaa mjingamimi FaizaFoxy
Nyau de adriz
WaaapiiiUislam ndio njia ya kuingia peponi.
Dah!...RipBBC Swahili wanaripoti kuwa mwandishi wao wa zamani na mchambuzi wa siasa hasa za middle east Mzee Ahamad Rajabu ameaga dunia muda mfupi.
Ahamad Rajabu alikuwa kinara wa taarifa za mashariki ya kati na dunia kwa ujumla
USSR
=
BBC wameandika kuwa Taarifa zilizowafikia hivi punde kutoka chumba chetu cha Habari zinasema mwandishi wa Habari wa gazeti la Africa Event, pia mtangazaji wa zamani wa BBC, bwana Ahmed Rajab amefariki dunia jioni hii huko London, Uingereza.
Taarifa zaidi zinatarajiwa kutolewa baadaye na familia zikiwemo taratibu maziko.
View attachment 3225293
Ahmed Rajab alijiunga na BBC mwazoni mwa miaka ya 1960.
Baada ya kustaafu Ahmed Rajab alikuwa mmoja wa wachambuzi wa kutegemewa wa masuala ya kimataifa wa BBC si chache ziliopita.
Mara ya mwisho alifanya uchambuzi kuhusu mzozo wa Gaza Januari 30 mwaka huu.
Source: BBC swahili
Hapana sio huyoKuna yule aliyefanya mahojiano na Kabendera kuhusu kitabu chake kipya juzi kati hapa; ndiye huyo?
Rubawa naye si alifariki?Kuna acount humu inaitwa Rubawa ilikuwa inaandika uchambuzi wake wa mambo mbalimbali ya siasa za kitaifa na kimataifa. Huo uchambuzi ulikuwa unakuja na jina kabisa la Ahmed Rajabu
BurianiBBC Swahili wanaripoti kuwa mwandishi wao wa zamani na mchambuzi wa siasa hasa za middle east Mzee Ahamad Rajabu ameaga dunia muda mfupi.
Ahamad Rajabu alikuwa kinara wa taarifa za mashariki ya kati na dunia kwa ujumla
USSR
=
BBC wameandika kuwa Taarifa zilizowafikia hivi punde kutoka chumba chetu cha Habari zinasema mwandishi wa Habari wa gazeti la Africa Event, pia mtangazaji wa zamani wa BBC, bwana Ahmed Rajab amefariki dunia jioni hii huko London, Uingereza.
Taarifa zaidi zinatarajiwa kutolewa baadaye na familia zikiwemo taratibu maziko.
View attachment 3225293
Ahmed Rajab alijiunga na BBC mwazoni mwa miaka ya 1960.
Baada ya kustaafu Ahmed Rajab alikuwa mmoja wa wachambuzi wa kutegemewa wa masuala ya kimataifa wa BBC si chache ziliopita.
Mara ya mwisho alifanya uchambuzi kuhusu mzozo wa Gaza Januari 30 mwaka huu.
Source: BBC swahili