TANZIA Mchambuzi wa siasa na mtangazaji mkongwe Ahmed Rajabu aaga dunia

TANZIA Mchambuzi wa siasa na mtangazaji mkongwe Ahmed Rajabu aaga dunia

Mzee huyu anajua Hadi anakera, uchambuzi wa siasa za kimataifa Yuko juu sana Kwa watangazaji wetu wa TZ, siku hizi TZ hakuna watu kama hawa, profile yake ni ya juu mnoooo, imagine toka miaka ya sabini mwanzoni tayari Yuko UK... Such is life.
 
BBC Swahili wanaripoti kuwa mwandishi wao wa zamani na mchambuzi wa siasa hasa za middle east Mzee Ahamad Rajabu ameaga dunia muda mfupi.

Ahamad Rajabu alikuwa kinara wa taarifa za mashariki ya kati na dunia kwa ujumla

USSR

=

BBC wameandika kuwa Taarifa zilizowafikia hivi punde kutoka chumba chetu cha Habari zinasema mwandishi wa Habari wa gazeti la Africa Event, pia mtangazaji wa zamani wa BBC, bwana Ahmed Rajab amefariki dunia jioni hii huko London, Uingereza.

Taarifa zaidi zinatarajiwa kutolewa baadaye na familia zikiwemo taratibu maziko.
View attachment 3225293
Ahmed Rajab alijiunga na BBC mwazoni mwa miaka ya 1960.
Baada ya kustaafu Ahmed Rajab alikuwa mmoja wa wachambuzi wa kutegemewa wa masuala ya kimataifa wa BBC si chache ziliopita.
Mara ya mwisho alifanya uchambuzi kuhusu mzozo wa Gaza Januari 30 mwaka huu.

Source: BBC swahili
Dah!...Rip

Poleni sana wanahabari Pascal Mayalla na wanahistoria Mohamed Said
 
Pole sana Kwa familia yake na watu wake wa karibu. Hakika Ahmed Rajab alikuwa nguli wa habari za kimataifa. Nilikuwa mpenzi mkubwa wa makala zake katika gazeti la Raia Mwema, makala iliyokuwa na jina la Barazani kwa Ahmad Rajab. Pumzika Kwa amani jagina.
 
BBC Swahili wanaripoti kuwa mwandishi wao wa zamani na mchambuzi wa siasa hasa za middle east Mzee Ahamad Rajabu ameaga dunia muda mfupi.

Ahamad Rajabu alikuwa kinara wa taarifa za mashariki ya kati na dunia kwa ujumla

USSR

=

BBC wameandika kuwa Taarifa zilizowafikia hivi punde kutoka chumba chetu cha Habari zinasema mwandishi wa Habari wa gazeti la Africa Event, pia mtangazaji wa zamani wa BBC, bwana Ahmed Rajab amefariki dunia jioni hii huko London, Uingereza.

Taarifa zaidi zinatarajiwa kutolewa baadaye na familia zikiwemo taratibu maziko.
View attachment 3225293
Ahmed Rajab alijiunga na BBC mwazoni mwa miaka ya 1960.
Baada ya kustaafu Ahmed Rajab alikuwa mmoja wa wachambuzi wa kutegemewa wa masuala ya kimataifa wa BBC si chache ziliopita.
Mara ya mwisho alifanya uchambuzi kuhusu mzozo wa Gaza Januari 30 mwaka huu.

Source: BBC swahili
Buriani
 
Back
Top Bottom