TANZIA Mchambuzi wa siasa na mtangazaji mkongwe Ahmed Rajabu aaga dunia

TANZIA Mchambuzi wa siasa na mtangazaji mkongwe Ahmed Rajabu aaga dunia

Ooh!!poleni sana wanafamilia,wachambuzi na wasikilizaji wenzangu,hakika Ahmed rajabu alikuwa gwiji katika uchambuzi wake,hasa eneo la mashariki ya kati na pia kwingineko,nilipenda sana kusikiliza uchambuzi wake,
Ni yeye pia alokuwa jasiri kumuoji osama bin laden,na wengineo watu ambao uwezi kudhania kuweza kuojiwa,mungu amuweke mahali pema peponi aamina.
 
Mohamed
BBC Swahili wanaripoti kuwa mwandishi wao wa zamani na mchambuzi wa siasa hasa za Mashariki ya Kati (Middle East) Mzee Ahamed Rajabu ameaga dunia muda mfupi.

Ahamed Rajabu alikuwa kinara wa taarifa za mashariki ya kati na dunia kwa ujumla

USSR

=

BBC wameandika kuwa Taarifa zilizowafikia hivi punde kutoka chumba chetu cha Habari zinasema mwandishi wa Habari wa gazeti la Africa Event, pia mtangazaji wa zamani wa BBC, bwana Ahmed Rajab amefariki dunia jioni hii huko London, Uingereza.

Taarifa zaidi zinatarajiwa kutolewa baadaye na familia zikiwemo taratibu maziko.
View attachment 3225293
Ahmed Rajab alijiunga na BBC mwazoni mwa miaka ya 1960.
Baada ya kustaafu Ahmed Rajab alikuwa mmoja wa wachambuzi wa kutegemewa wa masuala ya kimataifa wa BBC si chache ziliopita.
Mara ya mwisho alifanya uchambuzi kuhusu mzozo wa Gaza Januari 30 mwaka huu.

Source: BBC swahili
Mohamed Said yuko wapi?
Huyu ni rafiki na mzee mwenzake. Na sijui alitokea wapi Afrika Mashariki ?
 
BBC Swahili wanaripoti kuwa mwandishi wao wa zamani na mchambuzi wa siasa hasa za Mashariki ya Kati (Middle East) Mzee Ahamed Rajabu ameaga dunia muda mfupi.

Ahamed Rajabu alikuwa kinara wa taarifa za mashariki ya kati na dunia kwa ujumla

USSR

=

BBC wameandika kuwa Taarifa zilizowafikia hivi punde kutoka chumba chetu cha Habari zinasema mwandishi wa Habari wa gazeti la Africa Event, pia mtangazaji wa zamani wa BBC, bwana Ahmed Rajab amefariki dunia jioni hii huko London, Uingereza.

Taarifa zaidi zinatarajiwa kutolewa baadaye na familia zikiwemo taratibu maziko.
View attachment 3225293
Ahmed Rajab alijiunga na BBC mwazoni mwa miaka ya 1960.
Baada ya kustaafu Ahmed Rajab alikuwa mmoja wa wachambuzi wa kutegemewa wa masuala ya kimataifa wa BBC si chache ziliopita.
Mara ya mwisho alifanya uchambuzi kuhusu mzozo wa Gaza Januari 30 mwaka huu.

Source: BBC swahili
Wazee kama hawa wanaoshinda kwenye studio zenye viyoyozi lazima homa ya nyumonia inahusika.
 
Back
Top Bottom