TANZIA Mchambuzi wa siasa na mtangazaji mkongwe Ahmed Rajabu aaga dunia

TANZIA Mchambuzi wa siasa na mtangazaji mkongwe Ahmed Rajabu aaga dunia

BBC Swahili wanaripoti kuwa mwandishi wao wa zamani na mchambuzi wa siasa hasa za middle east Mzee Ahamad Rajabu ameaga dunia muda mfupi.

Ahamad Rajabu alikuwa kinara wa taarifa za mashariki ya kati na dunia kwa ujumla

USSR

=

BBC wameandika kuwa Taarifa zilizowafikia hivi punde kutoka chumba chetu cha Habari zinasema mwandishi wa Habari wa gazeti la Africa Event, pia mtangazaji wa zamani wa BBC, bwana Ahmed Rajab amefariki dunia jioni hii huko London, Uingereza.

Taarifa zaidi zinatarajiwa kutolewa baadaye na familia zikiwemo taratibu maziko.
View attachment 3225293
Ahmed Rajab alijiunga na BBC mwazoni mwa miaka ya 1960.
Baada ya kustaafu Ahmed Rajab alikuwa mmoja wa wachambuzi wa kutegemewa wa masuala ya kimataifa wa BBC si chache ziliopita.
Mara ya mwisho alifanya uchambuzi kuhusu mzozo wa Gaza Januari 30 mwaka huu.

Source: BBC swahili
Nimeshtuka mno kuondokewa na Ahmed Rajabu ambaye mara kadhaa nimekuwa naye kwenye kipindi cha maoni cha meza ya duara cha Sauti ya Ujerumani (DW), tukichambua masuala mbalimbali duniani kote. Nimeumia sana!
 
BBC Swahili wanaripoti kuwa mwandishi wao wa zamani na mchambuzi wa siasa hasa za Mashariki ya Kati (Middle East) Mzee Ahamed Rajabu ameaga dunia muda mfupi.

Ahamed Rajabu alikuwa kinara wa taarifa za mashariki ya kati na dunia kwa ujumla

USSR

=

BBC wameandika kuwa Taarifa zilizowafikia hivi punde kutoka chumba chetu cha Habari zinasema mwandishi wa Habari wa gazeti la Africa Event, pia mtangazaji wa zamani wa BBC, bwana Ahmed Rajab amefariki dunia jioni hii huko London, Uingereza.

Taarifa zaidi zinatarajiwa kutolewa baadaye na familia zikiwemo taratibu maziko.
View attachment 3225293
Ahmed Rajab alijiunga na BBC mwazoni mwa miaka ya 1960.
Baada ya kustaafu Ahmed Rajab alikuwa mmoja wa wachambuzi wa kutegemewa wa masuala ya kimataifa wa BBC si chache ziliopita.
Mara ya mwisho alifanya uchambuzi kuhusu mzozo wa Gaza Januari 30 mwaka huu.

Source: BBC swahili
Gwiji wa Siasa za dunia
 
BBC Swahili wanaripoti kuwa mwandishi wao wa zamani na mchambuzi wa siasa hasa za Mashariki ya Kati (Middle East) Mzee Ahamed Rajabu ameaga dunia muda mfupi.

Ahamed Rajabu alikuwa kinara wa taarifa za mashariki ya kati na dunia kwa ujumla

USSR

=

BBC wameandika kuwa Taarifa zilizowafikia hivi punde kutoka chumba chetu cha Habari zinasema mwandishi wa Habari wa gazeti la Africa Event, pia mtangazaji wa zamani wa BBC, bwana Ahmed Rajab amefariki dunia jioni hii huko London, Uingereza.

Taarifa zaidi zinatarajiwa kutolewa baadaye na familia zikiwemo taratibu maziko.
View attachment 3225293
Ahmed Rajab alijiunga na BBC mwazoni mwa miaka ya 1960.
Baada ya kustaafu Ahmed Rajab alikuwa mmoja wa wachambuzi wa kutegemewa wa masuala ya kimataifa wa BBC si chache ziliopita.
Mara ya mwisho alifanya uchambuzi kuhusu mzozo wa Gaza Januari 30 mwaka huu.

Source: BBC swahili
R.I.P
Huyu kweli mkongwe since 1960
 
Nimeshtuka mno kuondokewa na Ahmed Rajabu ambaye mara kadhaa nimekuwa naye kwenye kipindi cha maoni cha meza ya duara cha Sauti ya Ujerumani (DW), tukichambua masuala mbalimbali duniani kote. Nimeumia sana!
Pole sana ndugu...

Uchambuzi wenu wa masuala ya kimataifa umenivutia mno kukipenda hicho kipindi.

Poleni sana kwa kumpoteza nguli wa habari na uchambuzi wa masuala ya kimataifa.
 
Daa nimechelewa kuona Taarifa daaaa imenigusa sana,
Nilikua namkubali alikua professional sana katika taaluma yake,
Alikua hana mihemko wala kupendelea upande,
Mchambuzi bora sana kwenye vita ya Gaza!

R.I.P
 
RIP Gwiji wa khabari, mtu pekee ambaye anaweza kuandika Tanzia yake ni Mzee Mohammed Said

Maktaba kubwa imeungua
 
Back
Top Bottom