Akilindogosana
JF-Expert Member
- Jan 12, 2020
- 4,303
- 12,679
Umri wake?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hamfahamu? Huenda nyie ni watoto na hamsikilizi redio wala kusoma magazeti, mpompo tu humu huku hamjui mambo mengiHATUMFAHAMU
Pole sana kwa kumpoteza classmate wako,class of 1955.R.i.P Classmate....😪
Hakika tulikua karibu sana...😥
TakhbiiiiiiiirrrrUislam ndio njia ya kuingia peponi.
HawauakbaruTakhbiiiiiiiirrrr
Nimeshtuka mno kuondokewa na Ahmed Rajabu ambaye mara kadhaa nimekuwa naye kwenye kipindi cha maoni cha meza ya duara cha Sauti ya Ujerumani (DW), tukichambua masuala mbalimbali duniani kote. Nimeumia sana!BBC Swahili wanaripoti kuwa mwandishi wao wa zamani na mchambuzi wa siasa hasa za middle east Mzee Ahamad Rajabu ameaga dunia muda mfupi.
Ahamad Rajabu alikuwa kinara wa taarifa za mashariki ya kati na dunia kwa ujumla
USSR
=
BBC wameandika kuwa Taarifa zilizowafikia hivi punde kutoka chumba chetu cha Habari zinasema mwandishi wa Habari wa gazeti la Africa Event, pia mtangazaji wa zamani wa BBC, bwana Ahmed Rajab amefariki dunia jioni hii huko London, Uingereza.
Taarifa zaidi zinatarajiwa kutolewa baadaye na familia zikiwemo taratibu maziko.
View attachment 3225293
Ahmed Rajab alijiunga na BBC mwazoni mwa miaka ya 1960.
Baada ya kustaafu Ahmed Rajab alikuwa mmoja wa wachambuzi wa kutegemewa wa masuala ya kimataifa wa BBC si chache ziliopita.
Mara ya mwisho alifanya uchambuzi kuhusu mzozo wa Gaza Januari 30 mwaka huu.
Source: BBC swahili
Gwiji wa Siasa za duniaBBC Swahili wanaripoti kuwa mwandishi wao wa zamani na mchambuzi wa siasa hasa za Mashariki ya Kati (Middle East) Mzee Ahamed Rajabu ameaga dunia muda mfupi.
Ahamed Rajabu alikuwa kinara wa taarifa za mashariki ya kati na dunia kwa ujumla
USSR
=
BBC wameandika kuwa Taarifa zilizowafikia hivi punde kutoka chumba chetu cha Habari zinasema mwandishi wa Habari wa gazeti la Africa Event, pia mtangazaji wa zamani wa BBC, bwana Ahmed Rajab amefariki dunia jioni hii huko London, Uingereza.
Taarifa zaidi zinatarajiwa kutolewa baadaye na familia zikiwemo taratibu maziko.
View attachment 3225293
Ahmed Rajab alijiunga na BBC mwazoni mwa miaka ya 1960.
Baada ya kustaafu Ahmed Rajab alikuwa mmoja wa wachambuzi wa kutegemewa wa masuala ya kimataifa wa BBC si chache ziliopita.
Mara ya mwisho alifanya uchambuzi kuhusu mzozo wa Gaza Januari 30 mwaka huu.
Source: BBC swahili
R.I.PBBC Swahili wanaripoti kuwa mwandishi wao wa zamani na mchambuzi wa siasa hasa za Mashariki ya Kati (Middle East) Mzee Ahamed Rajabu ameaga dunia muda mfupi.
Ahamed Rajabu alikuwa kinara wa taarifa za mashariki ya kati na dunia kwa ujumla
USSR
=
BBC wameandika kuwa Taarifa zilizowafikia hivi punde kutoka chumba chetu cha Habari zinasema mwandishi wa Habari wa gazeti la Africa Event, pia mtangazaji wa zamani wa BBC, bwana Ahmed Rajab amefariki dunia jioni hii huko London, Uingereza.
Taarifa zaidi zinatarajiwa kutolewa baadaye na familia zikiwemo taratibu maziko.
View attachment 3225293
Ahmed Rajab alijiunga na BBC mwazoni mwa miaka ya 1960.
Baada ya kustaafu Ahmed Rajab alikuwa mmoja wa wachambuzi wa kutegemewa wa masuala ya kimataifa wa BBC si chache ziliopita.
Mara ya mwisho alifanya uchambuzi kuhusu mzozo wa Gaza Januari 30 mwaka huu.
Source: BBC swahili
Rubawa alifariki lini?. Mara ya mwisho alihamia Sauth Africa na tuliwasiliana.Rubawa naye si alifariki?
Asante ni msiba mzito huu.
Kuna uzi wake humu..cheki.Rubawa alifariki lini?. Mara ya mwisho alihamia Sauth Africa na tuliwasiliana.
P
Kabisa Yaani jamaa akiwepo lazima nisikilizeHakuna MTU aliyemfiki huyu jamaa kwenye mambo ya uchambuzi aisee hapa wazee wa DW kiswahili tumepata pigo
Alifariki 28,November 2023 nchini Marekani na mwili wake ulirejeshwa 25,December 2023 na kuzikwa kijijini kwao huko Kisarawe,Pwani 26,December 2023.Rubawa alifariki lini?. Mara ya mwisho alihamia Sauth Africa na tuliwasiliana.
P
Duh...!. RIP Rubawa!.Alifariki 28,November 2023 nchini Marekani na mwili wake ulirejea 25,December 2023 na kuzikwa kijijini kwao huko Kisarawe,Pwani 26,December 2023.
Pole sana ndugu...Nimeshtuka mno kuondokewa na Ahmed Rajabu ambaye mara kadhaa nimekuwa naye kwenye kipindi cha maoni cha meza ya duara cha Sauti ya Ujerumani (DW), tukichambua masuala mbalimbali duniani kote. Nimeumia sana!