implicit memory
JF-Expert Member
- Nov 14, 2024
- 806
- 926
Ahsante sanaPole sana ndugu...
Uchambuzi wenu wa masuala ya kimataifa umenivutia mno kukipenda hicho kipindi.
Poleni sana kwa kumpoteza nguli wa habari na uchambuzi wa masuala ya kimataifa.
Mohamed Said yuko wapi?BBC Swahili wanaripoti kuwa mwandishi wao wa zamani na mchambuzi wa siasa hasa za Mashariki ya Kati (Middle East) Mzee Ahamed Rajabu ameaga dunia muda mfupi.
Ahamed Rajabu alikuwa kinara wa taarifa za mashariki ya kati na dunia kwa ujumla
USSR
=
BBC wameandika kuwa Taarifa zilizowafikia hivi punde kutoka chumba chetu cha Habari zinasema mwandishi wa Habari wa gazeti la Africa Event, pia mtangazaji wa zamani wa BBC, bwana Ahmed Rajab amefariki dunia jioni hii huko London, Uingereza.
Taarifa zaidi zinatarajiwa kutolewa baadaye na familia zikiwemo taratibu maziko.
View attachment 3225293
Ahmed Rajab alijiunga na BBC mwazoni mwa miaka ya 1960.
Baada ya kustaafu Ahmed Rajab alikuwa mmoja wa wachambuzi wa kutegemewa wa masuala ya kimataifa wa BBC si chache ziliopita.
Mara ya mwisho alifanya uchambuzi kuhusu mzozo wa Gaza Januari 30 mwaka huu.
Source: BBC swahili
Wazee kama hawa wanaoshinda kwenye studio zenye viyoyozi lazima homa ya nyumonia inahusika.BBC Swahili wanaripoti kuwa mwandishi wao wa zamani na mchambuzi wa siasa hasa za Mashariki ya Kati (Middle East) Mzee Ahamed Rajabu ameaga dunia muda mfupi.
Ahamed Rajabu alikuwa kinara wa taarifa za mashariki ya kati na dunia kwa ujumla
USSR
=
BBC wameandika kuwa Taarifa zilizowafikia hivi punde kutoka chumba chetu cha Habari zinasema mwandishi wa Habari wa gazeti la Africa Event, pia mtangazaji wa zamani wa BBC, bwana Ahmed Rajab amefariki dunia jioni hii huko London, Uingereza.
Taarifa zaidi zinatarajiwa kutolewa baadaye na familia zikiwemo taratibu maziko.
View attachment 3225293
Ahmed Rajab alijiunga na BBC mwazoni mwa miaka ya 1960.
Baada ya kustaafu Ahmed Rajab alikuwa mmoja wa wachambuzi wa kutegemewa wa masuala ya kimataifa wa BBC si chache ziliopita.
Mara ya mwisho alifanya uchambuzi kuhusu mzozo wa Gaza Januari 30 mwaka huu.
Source: BBC swahili
Alizaliwa Vuga, UngujaMohamed
Mohamed Said yuko wapi?
Huyu ni rafiki na mzee mwenzake. Na sijui alitokea wapi Afrika Mashariki ?
Alitokea Zanzibar, VugaMohamed
Mohamed Said yuko wapi?
Huyu ni rafiki na mzee mwenzake. Na sijui alitokea wapi Afrika Mashariki ?
zanzibar,Tanzania.Mohamed
Mohamed Said yuko wapi?
Huyu ni rafiki na mzee mwenzake. Na sijui alitokea wapi Afrika Mashariki ?
Apana siyo huyoKuna yule aliyefanya mahojiano na Kabendera kuhusu kitabu chake kipya juzi kati hapa; ndiye huyo?