Mchambuzi: Yanga inaishi Kijima kwenye nyakati za Kibepari

Timu ya Wananchi.
 
Two words: Superiority complex.
 
Mchambuzi uchwara unaona kuna bond kwa sababu wanashinda. Wakiwa wanapewa vipigo Gamond atageuka Luc eymel na majina kama utopolo uzaliwa.
Sema usemayo lakini Yañga ni wavumilivu wa mapito ..hebu Kumbuka 2012 kwenye Ile 5 ,au 2018/19 kwenye zile 4 !
Walilia yakapita sisi hizi 5 imekuwa kama Ndio mwisho wa Dunia!
 
Sema usemayo lakini Yañga ni wavumilivu wa mapito ..hebu Kumbuka 2012 kwenye Ile 5 ,au 2018/19 kwenye zile 4 !
Walilia yakapita sisi hizi 5 imekuwa kama Ndio mwisho wa Dunia!
[emoji23][emoji23]
 
Sema usemayo lakini Yañga ni wavumilivu wa mapito ..hebu Kumbuka 2012 kwenye Ile 5 ,au 2018/19 kwenye zile 4 !
Walilia yakapita sisi hizi 5 imekuwa kama Ndio mwisho wa Dunia!
Kumbe walilia yakapita kwani sisi tutalia milele?
 
Kuitwa vile na luc eymel ni kweli ni mashabiki tofauti.
Yaaah mkuu... haiwezekani makolo muanze kusema viongozi wajiuzulu...

Sasa Nan atawaongoza[emoji23][emoji23]
 
man dunga umeongea uharo, umesahau kipindi cha bakuli.
(1) Metacha Mnata aliwahi watukana mashabiki wa yanga kwa kuwanyoshea kidole cha kati mlipokuwa mnamzomea baada ya matokeo mabaya. (2) Mzee Mpiri aliwahi utukana uongozi wa yanga mlipokuwa mnaambiwa mchangie bakuli. (3) Luc eymel aliwatukana mashabiki wa yanga mlipokuwa mnaponda Yikpe. Hakujawahi kuwa na bond kati ya mashabiki na timu/uongozi kama timu inafanya vibaya , ni kujidanganya tu.
 
Yaaah mkuu... haiwezekani makolo muanze kusema viongozi wajiuzulu...

Sasa Nan atawaongoza[emoji23][emoji23]
Mpiri mlimpa umaarufu baada ya kuwatukana viongozi wenu mlipokuwa mnaambiwa mchangie bakuli. Metacha mnata aliwanyoshea kidole cha kati mlipokuwa mnamzomea baada ya matokeo mabaya halafu uto mnajidanganya eti ni wavumilivu.
 
Mpiri mlimpa umaarufu baada ya kuwatukana viongozi wenu mlipokuwa mnaambiwa mchangie bakuli. Metacha mnata aliwanyoshea kidole cha kati mlipokuwa mnamzomea baada ya matokeo mabaya halafu uto mnajidanganya eti ni wavumilivu.
Lkn hatukuwahi watukana viongozi
 
Binadamu ni mwepesi Sana kusahau hawa Yanga si ndio walimfata nchunga nyumbani kwake wamchalaze bakola
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…