Mchangiaji Malumbano ya Hoja ITV na Radio One: Wanawake wengi Walioajiriwa Maofisini walitoa na wanatoa bado Rushwa ya Ngono

Mchangiaji Malumbano ya Hoja ITV na Radio One: Wanawake wengi Walioajiriwa Maofisini walitoa na wanatoa bado Rushwa ya Ngono

Ndio maana kuna jamii haziruhusu wake zao au watoto wa kike kuajiliwa labda iwe family business au ndugu wa karibu au family friend na sio vinginevyo.

WaAfrica tumefail saana kuwaacha dada zetu na mama zetu kutoka na kuzurura hovyo hovyo kutafuta vipato.

Afghanistan mwanamke haruhusiwi kutoka zaidi ya 50km bila muangalizi.
 
Ni Cheo kipi kinapatikana kwa Urahisi?? Rushwa ya ngono ipo na itaendelea kuwepo. Kuwahusisha wanawake wote wenye vyeo na rushwa ya ngono ni fikra zilizojaa chuki sio kila Boss wa kiume ni Bazazi anayetanguliza sex dhidi ya kazi kuna Maboss wengi wanaojitambua wanaangalia utendaji wa mtu.

Kusingiziwa skendo ni sehemu ya kazi kwa maana wanaume pia ni victim wa chuki makazini ambazo zinatokana na uswahili wetu.

Kwa dunia ya sasa ambayo wanawake wameelimika na wanajua haki zao ukitaka dunia uione chungu msumbue mwanamke anayejitambua kwa kumuomba ngono ili umpe favor brother utapoteza kila kitu tena kwa sasa palivyo na NGo nyingi zinazolinda maslahi ya kazi na wanawake.
Unazungumzia wanawake wa bongo au Ulaya?
 
Sidhani kama ukiongelea ofisi utaiweka JF kuwa ni miongoni.

Sidhani kuwa ukiongelea ofisi na jinsi majukumu ya ofisi yanavyotambulika na wengu (mfano ofisi za idara flani, ofisi za wakuu wa shule, ofisi za serikali kama halmashauri) pia utaiainisha JF hii.

Unataka kusema kuwa tunavyowasiliana hapa JF tuko ofisini?
Kwa hiyo unataka tupelekane hadi lunch ndiyo ujuwe hii ni office isiyo na Malipo!!??
 
Malays ni malaya hata awe mama wa nyumbani full time abatement hata na muuza genge akiaha kwenda kusuka nywelw.anamalizana huko.huko,akienda sokoni anamalizana huko huko,ukitoka kidogo tu hesabu maumivu

Kifupi vigumu kudhibiti mwanamke malaya
Hata kama siyo Malaya kama ameumbika vizuri aiseeee hawa viumbe hupitia changamoto nyingi sana za kutongozwa na vishawishi mpaka utawaonea huruma. Nilipokuwa chuo kuna dada mmoja mrembo wa haja na mcha Mungu mzuri tuu ma lecturers fulani kwa nyakati tofauti walimtia majaribuni mpaka akachanganyikiwa. Lecturer aliyekuwa supervisor wake akamtafutia grant kwenye research yake ya karibia milioni 7, yaani alikuwa mgumu but eventually alimegwa daah...
 
Ukweli siku zote unauma
Nasiku zote msema kweli hapendwi
Mke wako au demu wako kashakuwaga demu wa mtu,tena kaliwa sana,,
Bikra umemvunja wewe??
Sasa unajitamba nini kama haujamvusha bikra??

Siku ukikuwa utaamini nacho kisemo wewe bado mtoto huwezi pewa siri za kikubwa
So we umepewa two options za kuoa. Demu kaishia la Saba ana bikra she's 25 Hana kazi yupo nyumbani tu au 25 years old woman ana masters ana kazi, nani utamuoa?
 
Ndio maana kuna jamii haziruhusu wake zao au watoto wa kike kuajiliwa labda iwe family business au ndugu wa karibu au family friend na sio vinginevyo.

WaAfrica tumefail saana kuwaacha dada zetu na mama zetu kutoka na kuzurura hovyo hovyo kutafuta vipato.

Afghanistan mwanamke haruhusiwi kutoka zaidi ya 50km bila muangalizi.
So unataka tuishi Kama Afghanistan? Nipe sababu why mwanamke afugwe Kama kuku?
 
Wanawake wa Tanzania Mkuu. Tatizo bado mna mindset za zamani mambo yamebadilika Wanawake sasa wana nguvu ya uchumi na mamlaka anatoa penzi kwa kutaka mwenyewe sio kwa kufosi
Akiwa polygon sawa; tofauti na hapo kuna ushawishi mkubwa sana
 
Mwanamke ni Victim katika kila upande. Binti kapiga zake msuli kapata division one kaenda zake Udsm kapata zake degree kapambana mtaani mungu sio Athumani kapata zake kazi kawa Strong, Smart and Independent Woman.

Ghafla anatokea mtu asiyejua hatma yake ya maisha anaenda kutafuta attention kwenye vituo vya kitaifa vya habari na kuongea Nonsense kuhusu Wanawake kwa sababu anawaonea wivu.

Mkuu akili yako usiifanye kama gari la taka kubeba kila unachosikia fanya tathmini ya kina kwanza.
Huu ulioeleza ndio ukweli.Na nina uhakika kakuelewa.
 
"Wanaume mlioko hapa katika hiki Kipindi cha Malumbano ya Hoja naomba niwaambieni Ukweli kama una Mke au Mpenzi wako anafanya Kazi Ofisi yoyote ile jua ya kwamba kapata hiyo Kazi na Cheo kama anacho kwa kutoa Rushwa ya Ngono na bado anaendelea kuitoa mpaka sasa ili Kulinda hiyo Ajira yake na hicho Cheo chake" amesema Dada Mchangiaji wa Kipindi cha Malumbano ya Hoja cha ITV na Radio One ambacho kwa Siku ya Leo kilijikita zaidi katika Suala zima la Rushwa na Udhibiti wake.

Sasa kama Mwanamke Mwenyewe ameshakiri kuwa Wake za Watu na Mademu zao Walioko Maofisini wamepata Kazi (Ajira) hizo na Vyeo walivyonavyo kwa Kubanduliwa na Wakubwa ( Mabosi ) na kwamba mpaka leo bado (Wanabanduliwa) bila Huruma Mimi GENTAMIYCINE ni nani nibishe au nimpinge?

Mlio na Wake na Mademu zenu huko Maofisini huku Wengine wakiwa ni Mabosi nawapeni Pole nyingi kwani huenda Usiku mkiwa nao Majumbani mwenu huwa mnakula Makombo tu kwani tayari naniliu zao zinakuwa zimechakazwa na kutifuliwa mno na Mabosi zao huko Maofisini.

Ndiyo maana wenye Akili hatutaki Wake na Mademu zetu wakafanye Kazi Maofisini ila tutajichanga na Kuwafungulia Miradi Majumbani au Kushirikiana nao Ng'adu kwa Ng'adu katika Shughuli zetu huku tukiwa tunawaona na Kuwadhibiti kiurahisi.

Yaani kabisa GENTAMIYCINE niwe na Mke / Demu mkali kama Shunie na cocastic ambaye Boss adriz anawatamani katika Kampuni / Ofisi yake halafu nimruhusu akatafute Ajira (Kazi) kule?

Hivi siionei Huruma kweli hiyo ( Naniliu ) yake kwa jinsi itakavyochakatwa bila Huruma kisha Jioni ikirejea Kwangu nakuta Makombo tu ya Mabosi / Wakubwa wa Maofisini?

Kesho tarehe 7 July ni Public Holiday ( Sikukuu ya Saba Saba ) hivyo zinapumzishwa na Mabosi hawazipati hivyo GENTAMIYCINE nawasihi kuanzia Usiku huu zitumieni vizuri tu huko Majumbani / Maghettoni mwenu kwani kuanzia Jumatatu ijayo hadi Ijumaa ijayo itakuwa ni zamu za Mabosi / Wakubwa zao Maofisini na nyie Waume na Mabwana Kula tu Makombo na wakati mwingone hata ukipangiwa Idadi ya Mabao ya Kupiga kwakuwa anakuwa ameshachoshwa sana Kingono Ofisini na Mkubwa / Bosi.
Hata mimi itakuwa ngumu sana kuna Mke ambaye mfanya kazi maofisini, kwa hakika hautokuwa rahisi.
 
secta mbaya ni mkeo awe nesi, shida. Ukizingatia madaktari ofisini mwao kuna vitanda harafu wanaaminiana kuwa utaalam wa afya, kuepuka mimba ni wao! Huwa wanatibuana kavu kavu hasa night shift
 
Back
Top Bottom