Sema mi naona bora utafte SanLG tu ukiwa porini gari upaki mzeeNataka kujua experience walizokutana nazo, kuna wana wangu nawafahamu wamezinunua wamepaki na wengine waziuza faster.. hapa nachukua addition kabla ya kuamua la kuamua. Disco 4 bei za kawaida sana ina cha level gani asee?
Yeah bebi i see it the man playing with flamesπ€©Extrovert see this hun[emoji23][emoji23][emoji91][emoji91]
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Hahahahah GLE za 2019 naziona ona sana town wahuni hawa playsema SUV za benz bezi zimesimama ππππ.. hakuna unyonge kabisa hiyo GLE hazicheki na nyani..
kamba zao ndefu hao ππ yule mshikaji wangu alikuwa na ile VW mwana wake alikuwa na GLE 350d kaiuza majuzi jamaa 86 million so kisu kikali hichoHahahahah GLE za 2019 naziona ona sana town wahuni hawa play
Hahahahah 86M mzee sio kipole poleπkamba zao ndefu hao ππ yule mshikaji wangu alikuwa na ile VW mwana wake alikuwa na GLE 350d kaiuza majuzi jamaa 86 million so kisu kikali hicho
Kidude kama hiki nshakutana nacho Mikocheni πkamba zao ndefu hao ππ yule mshikaji wangu alikuwa na ile VW mwana wake alikuwa na GLE 350d kaiuza majuzi jamaa 86 million so kisu kikali hicho
jamaaa alikunja mkononi chap ππHahahahah 86M mzee sio kipole poleπ
pesa ipo kwa watu.. tuisake tu πππKidude kama hiki nshakutana nacho Mikocheni π View attachment 2102442 nikaona kweli ambaye sina mawe ni mimi tu
Aisee wanawezaje hao jamaapesa ipo kwa watu.. tuisake tu πππ
itakuwa wamenunua kamba ndefuu sanaaa.. ila one day Yes.. tukaze kila kitunkinawezekanaAisee wanawezaje hao jamaa
Hio GLE450 haipungui 250Mitakuwa wamenunua kamba ndefuu sanaaa.. ila one day Yes.. tukaze kila kitunkinawezekana
ππππ bei nzuriHio GLE450 haipungui 250M
Hv kuna tofauti ya range rover na land rover?
Ndo mana mwamba Jay Z anakamsemo "if you can't buy it twice you can't afford it"Ohoo.. kuna mwana wangu mmoja kaipaki miezi miwili.. ndio maana na collect data hata mikoani sasa hivi anaenda na bus zamani ilikuwa ni chuma tu.. ππ
Hali zetu za maisha watanzania unazijua.. hata crown unazoziona watu wameshindwa kununu mala mbili.. mtu unakuta ana ka crown kama ka dawaNdo mana mwamba Jay Z anakamsemo "if you can't buy it twice you can't afford it"
Kuna jamaa angu anayo kama hii 350d, namba DH...Kidude kama hiki nshakutana nacho Mikocheni [emoji28]View attachment 2102442 nikaona kweli ambaye sina mawe ni mimi tu
Ushuru wa disco 4 umepoa kivipi mzee?vitu vya kawaida sana hivi kwa wapambanaji.. maana hata ushuru wa disco 4 umepoa.. sio mkali sana.. na hata bezi zake hazina maajabu.. Wakili msomi naona leo anaendelea kumwaga moto kwa Urio hadi anatia huruma..
26million nafuu kidogo ( japo sio ndogo) maana hiyo 26 unapata Crown GRS200.. ila kuna gari kama ma benz, na porche mengine ya huo mwaka ukitazama ushuru wake utachoka mwenyewe..Ushuru wa disco 4 umepoa kivipi mzee?
Hv kuna tofauti ya range rover na land rover?