figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
- #41
hapo ni uethiei
hahahahaaa...!!!. mia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hapo ni uethiei
mbona si tuko bongo na tunasaka mahela na mafanikio yetu.....
tatizo wanadhani huko kuna shortcut ya good life
mkuu kujivua uraia sio kujivua undugu. je wakiwa huko wanapata wazo la kusema kuna ndugu zangu wamebaki Tanzania. Nasikia wengine wakienda wanapotea kiasi kwamba hata ukiwatumia email au msg hawajibu. Yaani akishakanyaga ulaya hata kama hana hela anajiita billionea, akikaa mwaka akirudi anajifanya kasahau kiswahili kwa kujikosesha maneno. mia
Mkuu, hayo yote ni tisa! Sasa pokea kumi, Sawa siye twaiona bongo ni pana maisha magumu NO water,No Umeme,nk au siyo? Lakini wapo humu nchini wahamiaji kibao wanaiona kwa mwelekeo wao kuwa ni shamba la Bibi !! Wengi wananufaika na kujenga makwao. Ninaongea na mgeni mmoja anaiambia kesha jenga properties 3 hapo kenya tu. Sasahuyu safi sana! na inafurahisha kusikia maendeleo mazuri kiasi hiki..
kuna kina mange bana..what do they brought? na ndiyo wanaoongoza kujifil
ni big deal kwa watu kama wakina Natalia ambao kutwa wapo kusifia mali za mume alizorithi
lafu akija bongo eti ananishangaa " figganigga yaani bado unapanda daladala!?" na kuishia kukodi taxi impeleke salon kusafisha kucha ili aonekane yupo juu. sijui kwanini inakua hivi. mia
Huu mjadala nilitegemea uwe mzuri lakini naona uko "low profile"
huwezi jua anachofanya..but i wish kama mmoja hapa angejieleza..
Mkuu jaribu kuufanya uwe high. toa mchango wako mkuu sababu haya ni mawazo ya watu na wana uhuru wa kusema. kwa upande wako unasemeaje?. uwepo wa wakinadada majuu umebadilisha vipi maisha ya mtanzania na africa kwa ujumla? nazungumzia wanawake sababu wanaume wapo na mifano hai ambao wamerudi na kufungua miradi pamoja na kufanya mambo ya maana kama kuwajengea wazazi na kusomesha ndugu. mia
hahaha hapa unanikumbusha rafiki yangu peter anaye ishi na kibibi kizee cha kizungu jijini stockholm.kule maisha mteremko kwa sababu vile vizee ukivikubalia mnakula pension wote na hicho ndo kinawapa jeuri,ila hawana tija kwa taifa letu zaidi sana ni mafanikio binafsi ingawa sio wote wanaofanikiwa.
Huu mjadala nilitegemea uwe mzuri lakini naona uko "low profile"
ooh! ngoja nikienda huko USA alafu nione mambo yanavyo kwenda, then nitakuja kutoa jibu kwa yale nitayo shuhudia huko.
hahaha hapa unanikumbusha rafiki yangu peter anaye ishi na kibibi kizee cha kizungu jijini stockholm.
mimi nipo simiyu hapa ...hapa ni UK ama USA? nijibuni kwanza