Mchango wa Hijja kwenye Uchumi wa Saudia

Sasa kama ni utalii tatizo lipo wapi? Mbona wazungu hawaambiani wasije afrika kutalii kutakuza uchumi wa afrika?
Wazungu waje kutalii si kuwadanya eti utaenda peponi.
 
Aliyeanzisha ni Ibrahimu au Abrahamu,uliza vimepita vizazi vingapi mpaka uje upinge wewe unayeishi miaka 60? Mitume yote Daudi,Musa Yesu huo utaratibu wameukuta
 
Kwahiyo Mungu ni mbaguzi.
Unaposema mwenye uwezo tu,maana yake asiye na uwezo chance ya kwenda mbinguni ni zero.
Hapana, kwani wapi palipoelezwa kwamba njia ya kwenda mbinguni ni kwa kwenda kuhiji tu?
 
Wewe Pimbi hizi dini zilizoletwa na majahazi zimefubaza akili yako.Hijja ni utalii kama utalii usiwe mjinga na mpuuzi.Wacha kukuza uchumi wa waarabu.
Hijja sio utalii wewe kafiri Acha ubishi
Hijja ni moja kati ya nguzo za uislamu
Nguzo hii inafanywa kwa mwenye uwezo tu kama hana uwezo sio lazima na pia ina masharti maalumu ya kuifanya sio kama utalii uliozea wewe kwenda beach, selous usiwe mjingamjinga
 
Sasa unaongea mambo ya maana,usiwe mjinga kama wafia dini
Wafia dini ni watu wa taifa gani?

Afrika tuna maliasili nyingi ila tumeshindwa kuzifanya zitunufaishe inavyopaswa badala ya kulitizama hilo na kuulizana ujinga wetu upo wapi ila wewe unaona watu wajinga kwenda Macca et wananufaisha Saudia Arabia.
 
Kilaza mkubwa wee, kumbe unauliza wakati heading yako inaonyesha unataka kutoa data!

Pumbavu!
 
Miafrika ni mijitu ya hovyo sana.Eti inaamini ukienda Washington au Nanjilinji huendi peponi!.
Wa ovyo wa kwanza ni wewe, kwani kwenda Washington ndiyo peponi?

Na kwa nini nyinyi wakristo munakwenda hijja Jerusalem kufanya nini kama siyo kuiga waislamu?
 
Hiyo ndiyo faida ya ukoloni wa kimila. Badala ya watu waende kuhiji kwenye makaburi ya mababu zao, wanakwenda kwenye makaburi ya waarabu na waisrael yaani watumwa wao wa kimila!
 
Hivi hii source #1 na source #2 inamaana gani ?inakera sana kila uzi unaiweka pumbavu
 
We mse............ hija sio utalii ni ibada
Acha jaziba na jiulize kwanini hija isiwe Serengeti au Rubondo na iwe mecca au madina?Afrika yoooote hatuna eneo takatifu kweli?basi tumelaaniwa!
 
Aliyeanzisha ni Ibrahimu au Abrahamu,uliza vimepita vizazi vingapi mpaka uje upinge wewe unayeishi miaka 60? Mitume yote Daudi,Musa Yesu huo utaratibu wameukuta
Nitajie mtume Mwafrika,je kwanini kusiwe na mtume Mhondi,mchina,mjapani,n.k?

Umewahi kujiuliza kwanini mitume wawe wazungu na warabu tu ambao walitutawala?
 
Juma1967 unakufuru unataka wavaa kubadhi wenzako wasiende Hijja.
Nami niongeze swali hapohapo na hilo pato linarudi vipi kwa waislamu kama thanks giving

Wanajengewa misikiti mipya via taasisi za kidini.

Waislamu hawachangishani kujenga misikiti. Huwa wanajengewa na taasisi za waarabu.
 
Aliyeanzisha ni Ibrahimu au Abrahamu,uliza vimepita vizazi vingapi mpaka uje upinge wewe unayeishi miaka 60? Mitume yote Daudi,Musa Yesu huo utaratibu wameukuta

Utaratibu wa Hijja. Na hata dini zima ya kiislamu umekuja miaka 600 after crist.

Musa, abraham, daudi walikuja before crist.

Thibitisha kama enzi za Musa, daudi na Abraham kwamba watu waislamu walikuwa wanaenda ku hijj mecca na madina

Mtume muhammad ndie alieanzisha uislamu , na mtume muhammad amezaliwa miaka mingii mbele ya kina musa, daudi na abraham
 
acha uongo unaijua trilion usd wewe? pato la saudia ni Bilioni 883 usd sembuse Hija?
 

Si kaulize ubalozini kwao ??
 
si kweli, Hijja ipo kabla ya mtume, alichofanya Mtume ni kutoa tu masanamu na kuiacha iwe sehemu ya Kuabudu mungu, vyema usome historia kabla ya kupotosha mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…