Mchango wa Hijja kwenye Uchumi wa Saudia

Mchango wa Hijja kwenye Uchumi wa Saudia

Je waliokuwa wanahiji hayo masanamu ya Kaaba walikuwa waislamu ama imani zingine ?

Kwani uislamu na quran alipewa nani kama sio mtume Muhammad, useme kabla ya Muhammad waislamu walikuwepo wanaenda hadi Kuhiji kwenye Kaaba
Al kaaba iko tangu enzi ya aadam amani iwe juu yake, na ibraahiym amani iwe juu yake aliimarisha tu jengo lake.
 
Je waliokuwa wanahiji hayo masanamu ya Kaaba walikuwa waislamu ama imani zingine ?

Kwani uislamu na quran alipewa nani kama sio mtume Muhammad, useme kabla ya Muhammad waislamu walikuwepo wanaenda hadi Kuhiji kwenye Kaaba
Huu utamaduni ni tangu enzi ya Nabii Ibrahim lakini baadae ndiyo yakasogea mpaka enzi ya Mtume Muhammad.

Hijja yenyewe inahusu sana historia ya Nabii Ibrahim mwenyewe, mfano: pale mke wake alipoachwa jangwani na mtoto akawa anatafuta maji mpaka kikatokezea kisima cha maji jangwani (ndiyo hicho kisima cha zamzam). Hiyo safari yake yale masafa ndiyo hayo yanaitwa Safaa na Marwa.

Kuna na ibada nyingine ndio zimeongezwa wakati wa Mtume.
 
Huu utamaduni ni tangu enzi ya Nabii Ibrahim lakini baadae ndiyo yakasogea mpaka enzi ya Mtume Muhammad.

Hijja yenyewe inahusu sana historia ya Nabii Ibrahim mwenyewe, mfano: pale mke wake alipoachwa jangwani na mtoto akawa anatafuta maji mpaka kikatokezea kisima cha maji jangwani (ndiyo hicho kisima cha zamzam). Hiyo safari yake yale masafa ndiyo hayo yanaitwa Safaa na Marwa.

Kuna na ibada nyingine ndio zimeongezwa wakati wa Mtume.

Hujajibu swali langu nielewe.

Soma swali tena kwa umakini

Je waliokuwa wanahiji hayo masanamu ya Kaaba walikuwa waislamu ama imani zingine ?

Je kabla ya mtume Muhammad hajazaliwa , waislamu walikuwepo duniani na waislamu hao walikuwa wanaenda hadi Kuhiji kwenye Kaaba, mecca na Madina
 
Ni abdullahi mtoto wa abdul muttalib na alikufa katika dini ya jamaa zake, dini ya ushirikina.
Mkuu swali lingine kabla ya Muhammad kuupata utume na unabii alikuwa ni muislam yeye pamoja na jamaa zake? au tangu mdogo yeye anamuabudu Mungu na sio masanamau yaliyokuwepo Makka
 
Mkuu swali lingine kabla ya Muhammad kuupata utume na unabii alikuwa ni muislam yeye pamoja na jamaa zake? au tangu mdogo yeye anamuabudu Mungu na sio masanamau yaliyokuwepo Makka
Ni sawa, kabla ya kupata utume alikuwa anafanya ibada zake kwa kufuata athari iliyoachwa na nabii ibraahiym kwasababu mwanae ismail alikuwa ni mkazi hapo na yeye mtume muhammad ni katika kizazi cha ibrahiym.
 
Back
Top Bottom