Mchango wa Hijja kwenye Uchumi wa Saudia

mapato ya Hija ni usd 30B sawa na asilimia 3.6 ya Pato la Saudia
 
Sio wafrika pekee hudhuru huko mekka

Kuna race nyingi kutoka pande tofauti tofauti za ulimwengu huwenda huko kwa ajili ya kukamilisha moja ya nguzo za kiislamu
 
Mungu yupi?
si kweli, Hijja ipo kabla ya mtume, alichofanya Mtume ni kutoa tu masanamu na kuiacha iwe sehemu ya Kuabudu mungu, vyema usome historia kabla ya kupotosha mkuu.
 
Wa ovyo wa kwanza ni wewe, kwani kwenda Washington ndiyo peponi?

Na kwa nini nyinyi wakristo munakwenda hijja Jerusalem kufanya nini kama siyo kuiga waislamu?
Wakristo Wanaoenda Israel ni kwa ajili ya utalii tu hakuna cha maana wanachopata wakikanyaga Israel

Ukienda Hijja Saudi Arabia unatimiza moja ya nguzo tano za Uislam,unapokanyaga ile ardhi takatifu dhambi zako zinafutwa na unapata thawabu kumbuka ni kwa wenye uwezo kifedha ukiwa masikini ukinuia kwenda tu tayari Allah anafahamu kuwa una mpango wa kwenda

Mashaallah
Ommy Dimpoz poz kwa poz akiwa Makka
Saudi Arabia ,Maulidi Kitenge pia amefika
DJ Khaleed na Mike Tyson pia wamefika Makkah
 
Siyo kweli ndugu yangu labda hauna hiyo Elimu ya hijja,kwa kukusaidia ingia kwenye Google uliza historia ya hijja na muanzilishi wake
 
Saudia wajanja Sana wanajipatia tozo kiulaiiiini kwa watu wanaokwenda kumponda shetani asiyeonekana kwa mawe
Kwa hiyo mkuu unamaanisha kwamba shetani yupo Makkah ndo wanapoenda kurusha mawe kwann wasiende kurusha Ujiji Kigoma
 
Yaani wewe unaamini Mungu yuko Macca tu si Kibiti au Mchambawima.
kuna hekma ya kila kitu, nitakupa Mfano, MAlCOM X ni zao la Hija, baada ya kwenda Hajj na kuona watu mbalimbali wa rangi tofauti wakiacha mali zao na tabia zao na kujishusha mbele ya mwenyez mungu akawa mwana harakati mzuri tu duniani,

 
Umeuliza swali zuri sana,kwanza lazima ujue Mwenyezi Mungu amekuwa akipeleka mitume na manabii palipo na zambi,tena zilizokithiri yaani zimepitiliza,na jumla Mwenyezi Mungu amewaleta duniani manabii na Mitume 124,000. Wa kwanza Adamu na Mwisho Mtume Muhamad (S.A.W)
 
Hiyo ndiyo faida ya ukoloni wa kimila. Badala ya watu waende kuhiji kwenye makaburi ya mababu zao, wanakwenda kwenye makaburi ya waarabu na waisrael yaani watumwa wao wa kimila!
Ila huko Macca hawaendi waafrika tu, kuna wahindi wazungu wachina.
 
Saudia wajanja Sana wanajipatia tozo kiulaiiiini kwa watu wanaokwenda kumponda shetani asiyeonekana kwa mawe
Ndio wajanja ndio maana wenzetu wana mafuta na yanawatajirisha ila sie tuna maliasili nyingi ila masikini, si ajabu hata hiyo hijja ingekuwa bongo basi tusingeweza kutumia vizuri fursa hiyo na kupata manufaa kwa taifa.
 
Link yangu Imeandika nini , kwamba Hajj waislamu walikuwa wanakwenda kuhiji mecca kabla ya madina??
kwamba hujui kusoma ama? soma picha hio ina majibu yote unayobisha, ama unaweza ukaamua kuendeleza ligi
 
kwamba hujui kusoma ama? soma picha hio ina majibu yote unayobisha, ama unaweza ukaamua kuendeleza ligi

Mbona hoja unakimbia kuijibu.

Nimeona neno pre islamic arabia . Ambavyo kwa kiswahili maana yake ni arabia kabla ya uislamu

Arabia kabla ya uislamu makabila ya wapagani walikuwa wanasali kaaba.

Je wapagani ni waislamu?

Na je neno pre islamic arabia maana yake sio arabia kabla ya uislamu??
 
mkuu juu hapo pameandikwa Ibrahim na Mwanae Ismail wakaijenga Kaaba, kisha Mwenyez Mungu akamwambia Ibrahim akaitangaze Hijja kwa Wanadamu,

hio pre Islamic Arabia wameikuta tayari Kaaba ipo, Ila Historia ni toka kwa Ibrahim.

na kwa sisi waisilamu Mitume wote walikuwa waisilamu, na tunafata mila za Ibrahim.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…