kekule benzene
JF-Expert Member
- Sep 28, 2016
- 1,444
- 3,576
Hawatokuwa radhi mayahudi na manaswara mpaka muige Mila zao (Albaqara)Sasa kama ni utalii tatizo lipo wapi? Mbona wazungu hawaambiani wasije afrika kutalii kutakuza uchumi wa afrika?
Dini zenyewe mmeletewa hizoWe mse............ hija sio utalii ni ibada
Serengeti na Rubondo kwa ajili ya wazungu,sisi wacha twende macca na israel tukakuze uchumiTrillions of usd WaIslam wa dunia yote/ nzima wanakuza uchumi wa Saudiarabia.
Badala ya WaIslam wa Tanganyika,Kenya,Rwanda ....... kwenda kufurahia maisha Serengeti au Rubondo yanakwenda kichwa kichwa Macca kukuza uchumi wa waarabu.
Miafrika ni mijitu ya hovyo sana.Eti inaamini ukienda Washington au Nanjilinji huendi peponi!.
Hawajui wajanja walichomeka hicho kipengele cha kuhiji kwasababu za kiuchumi na si vinginevyo.
Hi argument no ya kifala Sana.Trillions of usd WaIslam wa dunia yote/ nzima wanakuza uchumi wa Saudiarabia.
Badala ya WaIslam wa Tanganyika,Kenya,Rwanda ....... kwenda kufurahia maisha Serengeti au Rubondo yanakwenda kichwa kichwa Macca kukuza uchumi wa waarabu.
Miafrika ni mijitu ya hovyo sana.Eti inaamini ukienda Washington au Nanjilinji huendi peponi!.
Hawajui wajanja walichomeka hicho kipengele cha kuhiji kwasababu za kiuchumi na si vinginevyo.
Kaa hapo hapo usitoke.Trillions of usd WaIslam wa dunia yote/ nzima wanakuza uchumi wa Saudiarabia.
Badala ya WaIslam wa Tanganyika,Kenya,Rwanda ....... kwenda kufurahia maisha Serengeti au Rubondo yanakwenda kichwa kichwa Macca kukuza uchumi wa waarabu.
Miafrika ni mijitu ya hovyo sana.Eti inaamini ukienda Washington au Nanjilinji huendi peponi!.
Hawajui wajanja walichomeka hicho kipengele cha kuhiji kwasababu za kiuchumi na si vinginevyo.
Nawe ni MwafrikaTrillions of usd WaIslam wa dunia yote/ nzima wanakuza uchumi wa Saudiarabia.
Badala ya WaIslam wa Tanganyika,Kenya,Rwanda ....... kwenda kufurahia maisha Serengeti au Rubondo yanakwenda kichwa kichwa Macca kukuza uchumi wa waarabu.
Miafrika ni mijitu ya hovyo sana.Eti inaamini ukienda Washington au Nanjilinji huendi peponi!.
Hawajui wajanja walichomeka hicho kipengele cha kuhiji kwasababu za kiuchumi na si vinginevyo.
Unaweza kunisaidia ni mwaka gani serikali ya Saudia iliweka Sheria ya hija? Ilikuwa chini ya Mfalme gani?Hijja ama Hajj ina faida kubwa sana kwa nchi ya saudi arabia.
Baada ya mafuta.. chanzo cha pili cha mapato utalii wa kidini ambao ni Hijja.
Na hiyo ndio sababu saudi arabia inapenda sana waislamu duniani waongezeke wawe wengi.
Maana wanajua kuna nguzo wamewawekea kwamba lazima watembelee saudi arabia na kuleta hela zao via utalii yaani waislam wote lazima waje hijja ndio watakamilisha nguzo tano za uislamu
Unaweza kuziorodhesha nguzo zote tano kwa mpangilio wake?Ila aliyeweka Hijja ya Mecca na Madina, na ile ya Israel (Nchi Takatifu) aliwaza mbali sana!
Tena kama hiyo ya Uarabuni imewekwa kabisa kwenye Nguzo 5 za Uislam! Yaani inashauriwa kwa Waislam kuhakikisha wanatimiza hizo Nguzo zote 5 za Uislam katika maisha yao hapa duniani!!
Hakuna trillions of USD kutokana na hajj kama kuna data leta hapa, bali saudi arabia inafadhili waislamu duniani kote wanasoma bure kwenye vyuo vikuu na wanalipwa mishahara, umewahi kuona wapi?.Trillions of usd WaIslam wa dunia yote/ nzima wanakuza uchumi wa Saudiarabia.
Badala ya WaIslam wa Tanganyika,Kenya,Rwanda ....... kwenda kufurahia maisha Serengeti au Rubondo yanakwenda kichwa kichwa Macca kukuza uchumi wa waarabu.
Miafrika ni mijitu ya hovyo sana.Eti inaamini ukienda Washington au Nanjilinji huendi peponi!.
Hawajui wajanja walichomeka hicho kipengele cha kuhiji kwasababu za kiuchumi na si vinginevyo.
Hijja ni manufaa kwa dunia nzima,wanaonufaika ni dini zote zilizopo na wasio na dini,na makabila yote duniani.Na inaongeza ajira kwa watu wa dini zote na wasio na dini.Anayekwenda Hija anaongeza uchumi wa nchi anayotoka,kwa mfano yupo Kigoma,atapanda bajaji,kwenda stand ya mabasi,kule standi atakata tickets ya bus,atakula njiani,atafika Dar,atalala guest house,atakula kwa mama lishe,atakodisha Tax,kwenda sehemu mbali mbali,atakata ticket ya ndege,na matumizi mengine,mote humo watu wa dini tofauti na makabila tofauti,wanapata kipato na nchi inapata kodi.Fikiria wakiwa mahujaji mia tatu,ni kipato kikubwa,ndani ya nchi moja,bado hatujaweka idadi ya dunia nzima.Tofauti na nchi nyingi Kusini Kwa jangwa la Sahara zinazotegemea ufadhili na Tozo. Nchi ya Saudi Arabia Ina vyanzo vingi vya mapato ikiwemo HIJJA kila mwaka. Nani anaweza kutuwekea data za mchango wa HIJJA kila mwaka kwenye lato la Taifa hili kubwa duniani?
Wenye dini yao watakuorodheshea. Na kama na wewe ni mmoja wao, unaweza pia kuziorodhesha. Mimi hapana.Unaweza kuziorodhesha nguzo zote tano kwa mpangilio wake?
Ni utalii, ibabda gani ambayo lazima uifanyie Macca!!!???We mse............ hija sio utalii ni ibada
Haaa! Kwamba huko Vikindu ulipozaliwa ni ardhi ya laana ila Macca pekee ndo ardhi iliyobarikiwa!Mashaallah Holyland.
Kama siyo lazima kwanini iwekwe kati ya nguzo 5 za Uislam!?Hijja sio utalii wewe kafiri Acha ubishi
Hijja ni moja kati ya nguzo za uislamu
Nguzo hii inafanywa kwa mwenye uwezo tu kama hana uwezo sio lazima na pia ina masharti maalumu ya kuifanya sio kama utalii uliozea wewe kwenda beach, selous usiwe mjingamjinga
Wewe kafiri Huna akili ..Hijja ni moja kati ya nguzo za uislamu ila ...kama kumudu gharama za hijja inakuwa lazima kwake ila kama hana uwezo kwake inakuwa sio lazimaKama siyo lazima kwanini iwekwe kati ya nguzo 5 za Uislam!?
Usihakikishe kitu usichokifahamu. Hijja haikuanza na Mtume Muhammada SAW, yeye aliikuta ila alikujabadilisha baadhi ya mambo wakati wake kama vile kuondoa masanamu kwenye Kaaba.Hajj ya kuhiji mecca na madina ilianzishwa na mtume Muhammad.
Zuia na wazungu wasije hijja huku Serengeti maana watakuza uchumi wa tzWewe Pimbi hizi dini zilizoletwa na majahazi zimefubaza akili yako.Hijja ni utalii kama utalii usiwe mjinga na mpuuzi.Wacha kukuza uchumi wa waarabu.
Usihakikishe kitu usichokifahamu. Hijja haikuanza na Mtume Muhammada SAW, yeye aliikuta ila alikujabadilisha baadhi ya mambo wakati wake kama vile kuondoa masanamu kwenye Kaaba.