Mchango wa sherehe ya kumaliza Masters itakayofanyika ukumbini. Nini maoni yako kuhusu uchangishaji wa sherehe za namna hii?

Mchango wa sherehe ya kumaliza Masters itakayofanyika ukumbini. Nini maoni yako kuhusu uchangishaji wa sherehe za namna hii?

Hujui kitu mabilionea wote duniani huwa na mifuko ya kuchangisha inaitwa Foundation kusaidia watu

Kuna Billy Gates Foundation, Mo Dewji Foundation, Benjamin Mkapa Foundation nk yote hiyo huchangiwa na watu mbalimbali duniani hata maskini wa kuchangia dola moja

Mchango ni njia mojawapo ya kusema tuko pamoja kwenye hilo jambo lako kwa tendo la kuchangia sio tuko kwa maneno

Donald Trump ni bilionea lakini pesa za kampeni kachangiwa hadi na watu wa chini ni njia yao ya kusema tuko pamoja na wewe

Concept yako ya kusema kuchangisha kuwa mchangishaji maskini haiko sawa

Narudia shida umezaliwa koo na familia malofa na wasio na mshikamano

Hii mada iko juu ya uwezo wa kichwa chako kitalipuka moto bure ngumu kwako kuelewa
Acha ujinga wewe ulishawahi kuwaona hao uliowataja wakichangiwa kwenye sherehe zao
 
Ukiwa na common sense utakuwa mtu common sana wa kawaida mno kunahtajika mtu kuwa na akili above common sense kufanya mambo makubwa

Na wewe kama una common sense kichwa chako kibovu yaani ulienda kusoma ili uwe na common sense pole

Umepoteza muda kusoma
Naamini huelewi maana ya 'common sense'. Vilevile, hujaelewa maana na kazi ya neno 'HATA' katika sentensi yangu.
 
Sasa hapo mwenye sherehe anawaburudisha waalikwa au yeye?

Sherehe ni ndugu na marafiki kumburudisha na kumsherehesha mwenye sherehe yake sio vinginevyo

Hilo la kwako haliko sahihi ujinga mtupu
Watu wakichanga ni kumsherehesha mwenye sherehe sio yeye kuwasherehesha wao

Una mawazo ya kimaskini sana
Mara nyingi mjinga huwaona wengine kuwa wajinga. Kuwa makini kuonyesha ujinga wako kwenye maandishi.

Kumsherehesha mwenye sherehe ni kupitia zawadi tu kwa kuwa yeye mhusika anaandaa sherehe na kuwaalika rafiki wafurahi pamoja naye hatua aliyofika. Pongezi haiombwi kwa lazima. Unapofikia mafanikio fulani usiwape mzigo wengine wa kukupa furaha. Andaa unachoweza wajulishe wana. Wakiamua kuchangia ni maamuzi binafsi sio unachapisha makadi.

Kumsherehesha mhitimu kwa hatua aliyofikia kunapangwa na ndugu na marafiki kwa ghalama zao kuhakikisha siku yake ya kufurahia mafanikio inakuwa nzuri. Hapa jambo linaweza fanyika hata kama mhusika hakujiandaa.
 
Pumbavu... hawa ndio wasomi wetu, yanashangilia kumaliza elimu yao lkn kichwani hamna kitu, na hata lamaana labda lenye mchango kwa taifa hakuna.

Tunasafari ndefu sana waTz kwa kuendekeza upuuzi usio na maana, huyo mpumbavu mwambie hizo pesa angewekeza ktk gunduzi na tafiti za kuisaidia jamii kutatua changamoto mbalimbali, na sio kuendekeza starehe ya dakika chache isiyo na faida.

Bado wahitimu na wasomi wetu haijulikani huko masomoni wanajifunza vitu gani, maana akili zao haziko tofauti na wasio soma.

Narudia tena, huyo mpumbavu au hata kama ni wewe hizo pesa za kufanyia ujinga wa sherehe elekeza nguvu hizo na pesa hizo kutatua mambo ya msingi na sio sherehe.

Hawa ndio wasomi wetu
Achange tu ili kuondoa gubu na chuki. Ila ni mambo ya ajabu kuchangisha pesa za graduation
 
Mm kuna mdada mtoto wake amemaliza std 7 anamfanyia sherehe mwezi ujao anataka nimchangie...yan nimecheka kimoyomoyo nimeshindwa hata kumjibu
Bora huyo kuliko mtu mzima na ndevu
 
Hujui kitu mabilionea wote duniani huwa na mifuko ya kuchangisha inaitwa Foundation kusaidia watu

Kuna Billy Gates Foundation, Mo Dewji Foundation, Benjamin Mkapa Foundation nk yote hiyo huchangiwa na watu mbalimbali duniani hata maskini wa kuchangia dola moja

Mchango ni njia mojawapo ya kusema tuko pamoja kwenye hilo jambo lako kwa tendo la kuchangia sio tuko kwa maneno

Donald Trump ni bilionea lakini pesa za kampeni kachangiwa hadi na watu wa chini ni njia yao ya kusema tuko pamoja na wewe

Concept yako ya kusema kuchangisha kuwa mchangishaji maskini haiko sawa

Narudia shida umezaliwa koo na familia malofa na wasio na mshikamano

Hii mada iko juu ya uwezo wa kichwa chako kitalipuka moto bure ngumu kwako kuelewa
Sasa hizo so called foundation wtu huwa wanatakatishia fedha kwa tafrifa yako!
Harusi sio foundation ni tafrija ya kawaida ambayo imetengenezewa utamaduni wa hovyo wa kuchangiana

Kuna vitu vya kuchangia ambavyo ni makundi maalum yasiyojiweza! Sio mtu kashiba anajiskia kuwashibisha halafu mumchangie Hell No!!!
 
Watu tunaopenda celebresheni mbona tunachanga chapuu kwa haraka...😃😃
 
Jamani kuna jamaa kahitimu masters anataka kusherehekea kwa kuwakaribisha ndugu na jamaa. Hivyo nimeombwa kumchangia katika Sherehe yake hiyo ya kumaliza masters itakayofanyika Ukumbini.

Viwango :
Single Tsh. 30,000/=
Double Tsh.50,000/=

Nini maoni yako kuhusu uchangishaji wa sherehe za namna hii.
Toa Hela kama hauna Nia ya kutoa futa Uzi , period
 
Jamani kuna jamaa kahitimu masters anataka kusherehekea kwa kuwakaribisha ndugu na jamaa. Hivyo nimeombwa kumchangia katika Sherehe yake hiyo ya kumaliza masters itakayofanyika Ukumbini.

Viwango :
Single Tsh. 30,000/=
Double Tsh.50,000/=

Nini maoni yako kuhusu uchangishaji wa sherehe za namna hii.
Yaani mm ni joho, then home full stop!
 
Huna hela tafuta hela lofa wewe yaani kuchangia elfu 50 unaona utafilisika

Elfu 50 nayo ya kupiga yowe lofa wewe
Tatizo siyo kiasi cha kuchangia, ishu unachangia kitu gani, kuna mambo ya kijinga siyo ya kuchangia. Pia unaposema nitafute pesa unajuaje kama sina hizo pesa? Au nimewahi kukuomba pesa?
 
Jamani kuna jamaa kahitimu masters anataka kusherehekea kwa kuwakaribisha ndugu na jamaa. Hivyo nimeombwa kumchangia katika Sherehe yake hiyo ya kumaliza masters itakayofanyika Ukumbini.

Viwango :
Single Tsh. 30,000/=
Double Tsh.50,000/=

Nini maoni yako kuhusu uchangishaji wa sherehe za namna hii.
Yeye ndiye kahitimu na anafurahi kwa kuhitimu, Kama ameamua kufanya sherehe hakupaswa kuomba michango! Aandae mwenyewe aalike watu wafurahi pamoja! Kama hawezi anaweza kufurahia akiwa nyumbani kwa gharama nafuu kabisa!
 
Nadhani umekosea kusoma kadi ya kuomba mchango, huenda jamaa anahitimu cheti.
Mtu anayepata masters hawezi kuwa mjinga wa kiwango cha kuandaa sherehe.
Wabongo hata maprofesa wana mambo ya kipuuzi sana, seuze Masters?
Utashangazwa sana, mkuu.
 
Jamani kuna jamaa kahitimu masters anataka kusherehekea kwa kuwakaribisha ndugu na jamaa. Hivyo nimeombwa kumchangia katika Sherehe yake hiyo ya kumaliza masters itakayofanyika Ukumbini.

Viwango :
Single Tsh. 30,000/=
Double Tsh.50,000/=

Nini maoni yako kuhusu uchangishaji wa sherehe za namna hii.
Huyo anatafuta mchango ajiajiri ajira hazipo tena.
 
Hio michango ya kijinga waliniunga kwenye group lao la WhatsApp la kuchangia harusi nikaleft. Haiwezekani jitu linaoa na kuacha kila siku.
 
Back
Top Bottom