Mchawi anawezaje kuingia ndani ya nyumba iliyofungwa?

Mchawi anawezaje kuingia ndani ya nyumba iliyofungwa?

raslimali

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2014
Posts
1,958
Reaction score
1,744
Wakuu habari

Siku hizi Nina interest kubwa na quantum physics au quantum mechanics na nilikuwa najaribu kuhusianisha hizi habari za wachawi kupita kati ya kuta za nyumba na kuingia ndani na kitu kinachoitwa quantum tunnelling kwenye quantum physics.

Si wachawi tu Ila kuna simulizi katika biblia la Yesu kuingia ndani ya nyumba ilivyokuwa imefungwa na kuongea na kula na wafuasi wake.

Miaka ya zamani Kuna mganga wa kienyeji alikuja nyumbani kumtibu mgonjwa kwa mitishamba. Mama akawa ana mashaka na ufanisi wake.

Yule mganga akasema kama huamini Mimi ni mganga acha nitoke nje halafu funga milango yote nami nitaingia humu ndani. Mama alikataa kufanya hivyo.

Sasa sijui yule mganga alikuwa na uwezo huo au ilikuwa mikwara tu. Wenye ujuzi au waliowahi kushuhudia haya mambo please let us share some insights.
 
Samahani hapo kwenye title Kuna typing error. Unatakiwa kusomeka anawezaje siyo anaeezaje
 
Sasa tutajuaje kama hatuna hiyo teknolojia ya uchawi! 🤔

Hizo ni imani potofu tu. Hakuna kitu kama hicho.
 
Wakuu habari

Siku hizi Nina interest kubwa na quantum physics au quantum mechanics na nilikuwa najaribu kuhusianisha hizi habari za wachawi kupita kati ya kuta za nyumba na kuingia ndani na kitu kinachoitwa quantum tunnelling kwenye quantum physics.

Si wachawi tu Ila kuna simulizi katika biblia la Yesu kuingia ndani ya nyumba ilivyokuwa imefungwa na kuongea na kula na wafuasi wake.

Miaka ya zamani Kuna mganga wa kienyeji alikuja nyumbani kumtibu mgonjwa kwa mitishamba. Mama akawa ana mashaka na ufanisi wake.

Yule mganga akasema kama huamini Mimi ni mganga acha nitoke nje halafu funga milango yote nami nitaingia humu ndani. Mama alikataa kufanya hivyo.

Sasa sijui yule mganga alikuwa na uwezo huo au ilikuwa mikwara tu. Wenye ujuzi au waliowahi kushuhudia haya mambo please let us share some insights.


Kitu hicho hakipo mtu apenye kwenye ukuta!!. Mtu anaweza kuingia ndani ya nyumba kupitia mlangoni kwa njia ya viini macho au wewe mwenyewe bila kujielewa unaweza kumfungulia mlango hichi ndicho wachawi hufanya ili kuingia ndani ya nyumba.
 
Mimi nasafiri kwa teleportation, njoo nikuonyeshe mkuu.
 
Mimi nasafiri kwa teleportation, njoo nikuonyeshe mkuu.
Wewe umejibu vema. Naomba nikutafute. Siyo kila kitu tusichokielewa tuite ni uchawi. Kama ndege tunazotumia Leo zingeonekana mahali miaka 3000 iliyopita ingesemwa pia ni uchawi. Nakutafuta mkuu
 
Kwamba waganga wanatumia quantum physics pamoja na quantum mechanics katika kufanya mambo yao?Wewe umechanganyikiwa siyo bure!
Mkuu hayo ni majina tu ya hayo maarifa mapya. Huenda Kuna watu Wana haya maarifa wameyapata kwa njia nyingine na si lazima yaitwe quantum physics. Si kila kitu kinafundishwa kwenye lecture rooms za universities. Tuache mawazo yetu yawe huru na kuchunguza hoja zingine badala ya kujivika kilemba cha usomi na kupuuza hoja ambazo baadhi yao zina mashiko. Hilo ndilo lengo langu mkuu Wala sijachanganyikiwa. Asante😊
 
CC Mshana Jr
Wakuu habari

Siku hizi Nina interest kubwa na quantum physics au quantum mechanics na nilikuwa najaribu kuhusianisha hizi habari za wachawi kupita kati ya kuta za nyumba na kuingia ndani na kitu kinachoitwa quantum tunnelling kwenye quantum physics.

Si wachawi tu Ila kuna simulizi katika biblia la Yesu kuingia ndani ya nyumba ilivyokuwa imefungwa na kuongea na kula na wafuasi wake.

Miaka ya zamani Kuna mganga wa kienyeji alikuja nyumbani kumtibu mgonjwa kwa mitishamba. Mama akawa ana mashaka na ufanisi wake.

Yule mganga akasema kama huamini Mimi ni mganga acha nitoke nje halafu funga milango yote nami nitaingia humu ndani. Mama alikataa kufanya hivyo.

Sasa sijui yule mganga alikuwa na uwezo huo au ilikuwa mikwara tu. Wenye ujuzi au waliowahi kushuhudia haya mambo please let us share some insights.
 
Wakuu habari

Siku hizi Nina interest kubwa na quantum physics au quantum mechanics na nilikuwa najaribu kuhusianisha hizi habari za wachawi kupita kati ya kuta za nyumba na kuingia ndani na kitu kinachoitwa quantum tunnelling kwenye quantum physics.

Si wachawi tu Ila kuna simulizi katika biblia la Yesu kuingia ndani ya nyumba ilivyokuwa imefungwa na kuongea na kula na wafuasi wake.

Miaka ya zamani Kuna mganga wa kienyeji alikuja nyumbani kumtibu mgonjwa kwa mitishamba. Mama akawa ana mashaka na ufanisi wake.

Yule mganga akasema kama huamini Mimi ni mganga acha nitoke nje halafu funga milango yote nami nitaingia humu ndani. Mama alikataa kufanya hivyo.

Sasa sijui yule mganga alikuwa na uwezo huo au ilikuwa mikwara tu. Wenye ujuzi au waliowahi kushuhudia haya mambo please let us share some insights.
Quantum physics bdo ni imagination yaan ni makadirio movie ya anti man au spider man home coming walionyesha hvo vitu lkn mambo bdo yapo jikon naamin quantum physics inaweza kumuwezesha mtu kupita kwenye ila ni hatar sn na madhara makubwa kiafya
 
Sasa tutajuaje kama hatuna hiyo teknolojia ya uchawi! 🤔

Hizo ni imani potofu tu. Hakuna kitu kama hicho.
Kuna jamaa yangu wa karibu sana na huwa namuamini sana

Iko siku aliniijia Asubuhi sana na kunisimulia kisa cha kushangaza alisema alipokuwa akijaribu kulala alisikia kama kuna Mtu chumbani mwake

Anasema ikambidi aamke achunguze ni nani huyo anasema alipowasha taa ghafla anamuona Bibi Kizee wa Mtaa wa jirani akiwa mtupu kama alivyozaliwa.

Nikamwambia labda hakufunga vizuri mlango wake akasema milango huwa niwili na yote aliifunga

Anasema baada kama ya dakika Ishirini yule kikongwe akapotelea Ukutani.
 
Quantum physics bdo ni imagination yaan ni makadirio movie ya anti man au spider man home coming walionyesha hvo vitu lkn mambo bdo yapo jikon naamin quantum physics inaweza kumuwezesha mtu kupita kwenye ila ni hatar sn na madhara makubwa kiafya
Sijui Kama bado ni imagination maana Sasa wanatengeneza quantum computers kwa kutumia nadharia ya superposition. Nadhani Kuna moja tayari imetengenezwa ina 64 quantum bits
 
Sayansi haina jibu juu ya mambo ya kichawi ile ni elimu nyingine ya nje ya ufahamu wa mwanadamu.
Hata Mimi naamini hivyo. Sema hili jina uchawi labda ndio limewaweka wengine mbali na sayansi hii. Maana Mambo aliyofanya Yesu na nitume yamepewa jina la miujiza. Wewe ukifanya leo unaitwa mchawi🤔🤔
 
Hata Mimi naamini hivyo. Sema hili jina uchawi labda ndio limewaweka wengine mbali na sayansi hii. Maana Mambo aliyofanya Yesu na nitume yamepewa jina la miujiza. Wewe ukifanya leo unaitwa mchawi🤔🤔
Lakini hata Yesu nyakati zake ni wengi walimuita mchawi kwa hiyo ni vema kuyachunguza Mambo haya na kuwa open minded.
 
Back
Top Bottom