Mchawi anawezaje kuingia ndani ya nyumba iliyofungwa?

Mchawi anawezaje kuingia ndani ya nyumba iliyofungwa?

duh,basi,basi elewa haya ni maneno mawili ila maana moja,
Ikiwa physics na mechanics ni maneno mawili yenye maana tofauti kama tunavyoona kwenye hii screenshot hapa chini basi hata quantum physics na quantum mechanics nayo yatakuwa ni maneno mawili yenye maana tofauti.Umeelewa?
083342.jpg
 
Ikiwa physics na mechanics ni maneno mawili yenye maana tofauti kama tunavyoona kwenye hii screenshot hapa chini basi hata quantum physics na quantum mechanics nayo yatakuwa ni maneno mawili yenye maana tofauti.Umeelewa?View attachment 1752405
kaka hiki kitu nimekisoma,nimefundisha na ninafundisha hadi sasa,hivyo nakijua vilivyo,quantum physics inaitwa pia quantum mechanics kwa kuwa kwenye quantum physics tunasoma mechanical behaviour za particle ndogo,hivyo usichanganye physics na mechanics hapa tunasema quantum physics na quantum mechanics;
leo nimeamua tu kukuuliza hili jambo angalau nipate machache,kama kitu hauna hakika nacho ni heri kukubali tu,sio kuleta maana tofauti;
nashukuru kwa kuwa hili titaliacha,tukajenge tanzania sasa;
 
kaka hiki kitu nimekisoma,nimefundisha na ninafundisha hadi sasa,hivyo nakijua vilivyo,quantum physics inaitwa pia quantum mechanics kwa kuwa kwenye quantum physics tunasoma mechanical behaviour za particle ndogo,hivyo usichanganye physics na mechanics hapa tunasema quantum physics na quantum mechanics;
leo nimeamua tu kukuuliza hili jambo angalau nipate machache,kama kitu hauna hakika nacho ni heri kukubali tu,sio kuleta maana tofauti;
nashukuru kwa kuwa hili titaliacha,tukajenge tanzania sasa;
Kwa hiyo msimamo wako ni kwamba hakuna tofauti kati ya quantum physics na quantum mechanics?Nikuwekee tofauti zake pamoja na references?
 
Kuna unga fulani hivi (siri) hujipaka hao watu mara nyingi hupitia kwenye kona za nyumba mlangoni sijajua yani ukianza kutoweka unakufyonza kama unavutwa na sumaku na kukupekeka sehemu uliyo nuuwia ni speed ya sekunde kwa sekunde naweza diliki kutamka speed ya mwanga.
 
Kuna unga fulani hivi (siri) hujipaka hao watu mara nyingi hupitia kwenye kona za nyumba mlangoni sijajua yani ukianza kutoweka unakufyonza kama unavutwa na sumaku na kukupekeka sehemu uliyo nuuwia ni speed ya sekunde kwa sekunde naweza diliki kutamka speed ya mwang

Kuna unga fulani hivi (siri) hujipaka hao watu mara nyingi hupitia kwenye kona za nyumba mlangoni sijajua yani ukianza kutoweka unakufyonza kama unavutwa na sumaku na kukupekeka sehemu uliyo nuuwia ni speed ya sekunde kwa sekunde naweza diliki kutamka speed ya mwanga.
Unapatikana wapi huo unga?🤔
 
utaingia kwenye biashara za watu kirahis. mtu anaweza kuleta mada na kuichagiza kwa id tofaut tofaut. hakuna kitu kama hicho.
yani mtu unabisha kabisa kama uko timamu vile? ninyi ndo mnaambiwaga hii simu mnabisha mnakazania kuonja
 
Binadamu ana mwili na roho.

Wachawi wana uwezo wa kuzitoa roho zao kutoka kwenye miili yao kwa kutumia nguvu za shetani na majini.

Kinachoingia nyumbani kwako ni roho ya mchawi na sio mwili wake.

Mwili anauacha kitandani, anaenda kuwanga kwa kutumia roho yake ya uchawi.

Roho inapenya popote maana sio kitu cha kushikika (matter).

Ndio maana hata mkeo akiwa mchawi huwezi kumjua asilani.

Ataenda kuwanga anaacha mwili kitandani ukidhani amelala.
Nimekulewa vizur na aya maelezo yako mwili una baki ndani inayitoka ni roho OK na vipi pale akishkwa au kunasa kwa wa babe vipi ana uvuta mwili fasta uje kule au sas inakua mili miwili?! Inakuaje hapa mkuu?
 
Mhm
Kuna dawa nilipewa na bi mkubwa ilikuwa yakuweka chini ya mto
Basi ilipo fika usiku wakati nimelala pale kitandani nikamuona anaingia kupitia mlangoni akiwa amevaa nguo nyeusi na alikuwa mwanamke basi nikajikuta napiga kelele tokaaa na pale kitandani kukawa kuna mabadiliko fulani

Pia kuna nyumba niliwahi panga na ktk nyumba ile tulikuwa tumepanga na mama mmoja hivi kutoka kigoma yaani muhaa, aisee yule mama alikuwa mchawi sana na moja ya tukio ambalo siwezi kulisahau ni pale nilipomuona mwanae anaingia chumba cha jirani bila mlango kufunguliwa, anyway inavyosemekana kuna mafuta wanatumia yaani akinipaka anakua haonekani pia anakuwa na uwezo wa kuingia sehemu yoyote ile hata kama kuna geti kali

Mchawi mwingine nilimshudia akiingia kupitia kona ya mlango kinyume nyume aisee nilimkunja akawa anaomba msamaha huku akitaka nimfile theni nikaamf*l* halafu nikamluhusu aende.
Mhm apo kwenye kuf;;;;;;;; ayo mafuta ni ya msukule wachawi walioacha huwa wanayataja sana ukijipak uonekani popote labda mwenye nguvu ya mungu au mweny dawa
 
Hizi ni sanaa tu kuna haja BASATA kuweka warning kwa ma director wasiigize nje scene

Kuna idadi kubwa ya watu mtaani waliojulikana kama wachawi wako jela zaidi ya miaka kumi wananyea makasha tu ilikuwaje wakashindwa kupenya kwenye ile concrete wakaja uraiani?
 
Binadamu ana mwili na roho.

Wachawi wana uwezo wa kuzitoa roho zao kutoka kwenye miili yao kwa kutumia nguvu za shetani na majini.

Kinachoingia nyumbani kwako ni roho ya mchawi na sio mwili wake.

Mwili anauacha kitandani, anaenda kuwanga kwa kutumia roho yake ya uchawi.

Roho inapenya popote maana sio kitu cha kushikika (matter).

Ndio maana hata mkeo akiwa mchawi huwezi kumjua asilani.

Ataenda kuwanga anaacha mwili kitandani ukidhani amelala.
Na wale wachawi wanaoangukaga na nyungo inakuaje wakiwa wanaenda au wanarudi kuloga inakuwaga roho au??
 
Back
Top Bottom