hellefay
Senior Member
- May 16, 2018
- 116
- 203
Haya mambo ni mazito sana kuyaelezea yakaeleweka vizuri,lakin nijuavyo binadam anaetaka kukufanyia jambo baya ana uwezo wa kujigeuza akawa mdudu kama sisimiz siafu mende.n.k..hujivua ule uhalisia wa kawaida.. hivyo unaweza kuona wadudu ndan kumbe ndo majamaa wamekutembelea.