Shetani anazijua Siri za Mungu maana walishiriki wote uumbajiHata Mimi naamini hivyo. Sema hili jina uchawi labda ndio limewaweka wengine mbali na sayansi hii. Maana Mambo aliyofanya Yesu na nitume yamepewa jina la miujiza. Wewe ukifanya leo unaitwa mchawi🤔🤔
Mambo haya tunatakiwa kuyatafiti kwa kina. We might be neglecting a jewel that could be useful🤔Kuna jamaa yangu wa karibu sana na huwa namuamini sana
Iko siku aliniijia Asubuhi sana na kunisimulia kisa cha kushangaza alisema alipokuwa akijaribu kulala alisikia kama kuna Mtu chumbani mwake
Anasema ikambidi aamke achunguze ni nani huyo anasema alipowasha taa ghafla anamuona Bibi Kizee wa Mtaa wa jirani akiwa mtupu kama alivyozaliwa.
Nikamwambia labda hakufunga vizuri mlango wake akasema milango huwa niwili na yote aliifunga
Anasema baada kama ya dakika Ishirini yule kikongwe akapotelea Ukutani.
Ndio Sasa wenye hii teknolojia wanatajiwa kutugawia ujuzi lakini tuutumie kwa mema Teknolojia ikitumika vizuri haitaitwa uchawiHaya mambo ni mazito sana kuyaelezea yakaeleweka vizuri,lakin nijuavyo binadam anaetaka kukufanyia jambo baya ana uwezo wa kujigeuza akawa mdudu kama sisimiz siafu mende.n.k..hujivua ule uhalisia wa kawaida.. hivyo unaweza kuona wadudu ndan kumbe ndo majamaa wamekutembelea.
Ndio maana nimeweka huu uzi Ila watujuze. Labda wana operating principles zao, who knows🤔Mbona huwa hawapenyi kwenye kuta za Benki,ila wanakuja kupenya huku Uswahilini na kutusumbua sisi masikini wenzao
Farao alivuna hizo Nguvu lwa maelfu ya MiakaMambo haya tunatakiwa kuyatafiti kwa kina. We might be neglecting a jewel that could be useful🤔
Kwa nini sisi tunazidharau na kuona Ni dhambi? Au tumepumbazwa?Farao alivuna hizo Nguvu lwa maelfu ya Miaka
Watu kama akina Imhotep alichanganya hizo Nguvu na Dawa za kawaida na kufanya mapinduzi makubwa ya tiba.
Well... ni baada ya uvamizi wa Misri ya Kale na Wayunani na Wapersia na baadae Waroma wakachukua Ile ElimuKwa nini sisi tunazidharau na kuona Ni dhambi? Au tumepumbazwa?
Wakatuachia manyoya wao wakala kuku😁Well... ni baada ya uvamizi wa Misri ya Kale na Wayunani na Wapersia na baadae Waroma wakachukua Ile Elimu
Na sisi kutupumbaza kwa mafundisho yenye nusu ukweli nusu uongo.
Kweli. Kuna mtu aliziita hizi ni operations in the quantum world.Sasa hivi zinaitwa Nguvu za Giza lakini wenzetu waanziita Quantum Machenics
Wanasema Fimbo ya Mussa ilikuja kupigana na hizo Nguvu kwa kutumia Nguvu za MunguWakatuachia manyoya wao wakala kuku😁
Is not imagination, kuna a lot of estabkished facts. Labda hakuielewa vizuriSijui Kama bado ni imagination maana Sasa wanatengeneza quantum computers kwa kutumia nadharia ya superposition. Nadhani Kuna moja tayari imetengenezwa ina 64 quantum bits
Niamin mm quantum bado tena we unadhan mtu kupita kwenye ukuta ni kaz rahis binadamu ni matter sikatai lkn ana cell tissues organ nk naweza kusema kwa sasa quantum is impossibleSijui Kama bado ni imagination maana Sasa wanatengeneza quantum computers kwa kutumia nadharia ya superposition. Nadhani Kuna moja tayari imetengenezwa ina 64 quantum bits
Ebu nipe link ata ya youtube nione jinsi mzungu alivyo nyokoIs not imagination, kuna a lot of estabkished facts. Labda hakuielewa vizuri
hivi unafahamu kuwa quantum physics na quantum mechanics ni maneno mawili yenye maana moja?,Kwamba waganga wanatumia quantum physics pamoja na quantum mechanics katika kufanya mambo yao?Wewe umechanganyikiwa siyo bure!