I am Groot
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,929
- 10,747
Mkuu hao ni wataalamu haswa. Hapa ninapoishi kuna mtu amekaliwa na mchawi livelive na kuongea anaongea kabisa kutoa vitishoKitu hicho hakipo mtu apenye kwenye ukuta!!. Mtu anaweza kuingia ndani ya nyumba kupitia mlangoni kwa njia ya viini macho au wewe mwenyewe bila kujielewa unaweza kumfungulia mlango hichi ndicho wachawi hufanya ili kuingia ndani ya nyumba.
Mkuu hao ni wataalamu haswa. Hapa ninapoishi kuna mtu amekaliwa na mchawi livelive na kuongea anaongea kabisa kutoa vitisho
Nikajua nitasalimika kwenye hii mada[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wanakosea utaalamu wa kujivua roho ndio maana wanakamatwa!Na wale wachawi wanaoangukaga na nyungo inakuaje wakiwa wanaenda au wanarudi kuloga inakuwaga roho au??
Zingine huwa ni stori za uongo tu!Nimekulewa vizur na aya maelezo yako mwili una baki ndani inayitoka ni roho OK na vipi pale akishkwa au kunasa kwa wa babe vipi ana uvuta mwili fasta uje kule au sas inakua mili miwili?! Inakuaje hapa mkuu?
HahahahaKuna dawa nilipewa na bi mkubwa ilikuwa yakuweka chini ya mto
Basi ilipo fika usiku wakati nimelala pale kitandani nikamuona anaingia kupitia mlangoni akiwa amevaa nguo nyeusi na alikuwa mwanamke basi nikajikuta napiga kelele tokaaa na pale kitandani kukawa kuna mabadiliko fulani
Pia kuna nyumba niliwahi panga na ktk nyumba ile tulikuwa tumepanga na mama mmoja hivi kutoka kigoma yaani muhaa, aisee yule mama alikuwa mchawi sana na moja ya tukio ambalo siwezi kulisahau ni pale nilipomuona mwanae anaingia chumba cha jirani bila mlango kufunguliwa, anyway inavyosemekana kuna mafuta wanatumia yaani akinipaka anakua haonekani pia anakuwa na uwezo wa kuingia sehemu yoyote ile hata kama kuna geti kali
Mchawi mwingine nilimshudia akiingia kupitia kona ya mlango kinyume nyume aisee nilimkunja akawa anaomba msamaha huku akitaka nimfile theni nikaamf*l* halafu nikamluhusu aende.