Mchawi kazi yake ni kuroga urudi nyuma, jilinde

Still wapo wengi tu ni matajiri bila nguvu za giza bali jitihada zao wenyewe. Ingekuwa tu ni rahisi kutajirika tu kwa ndumba hakuna mwafrika angekuwa masikini. 90% ya watz ni fukara huku kutwa wakibadili waganga kuuwa thinking capacity zao, badala ya kuwekeza kwenye fikra Ili waondokane na umasikini. Utajiri ni kujifunza wapi ulipoanguka na urekebishe makosa.
 
Hapa kwa imani means,
Huwezi kuwa tajiri bila kuloga.
Hii ni logic isiyo na mashiko.
Ushirikina ni imani binafsi,
 
[emoji769]Wazungu wanatumia Freemasonry kama ndio muongozo wao wa maisha. Uchawi ulaya upo sana, lakini sio wa kurudishana nyuma kama Africa
 
Jiite mwenyewe mpumbavu, maana umefungwa kwenye maagano ya nguvu za giza.
mbona swali zuri tu hilo mwambie hivi ''akiwa mrembo kwangu na msafi km jokate! kwa nini usivae kwani kuna ukaguzi mtaani huko unakotembea!.... hata km mkaguzi yupo unamwambia nampenda mke wangu!........

hata mume akiwa msafi hana fungus! chupi zake hazina ukoko kwa nini mkewe asivae? tena hata mashati yanavaliwa kabisaaaaaaaa, anaenda kwenye vikoba me wangapi huvaa khanga za mkewe sebuleni?? tena waziri kabisaaaaao!!

yeye huyo jamaa limke lake chafu chafu mikanga inanuka maziwa all of de time!...mkeo huvai gauni lake tu baasi make litakupwaya lkn km ana mashati bomba unavaa tu! mke/mume ni rafiki pia!
 
Mkuu ushauri wako ni sahihi kabisa Mimi nikepatwa na Hali hii nilipojitenga na mbaya wangu akajiifunua yeye mwenyewe sasahiv wanaona aibu kinoma
 
Nisome kwa mamillion ya hela Ya babangu eti! jitu-jamaa tu ambalo hata halikuwahi nipa hela ya maji njiani humo!! lilikuwa lina kula vi hepe tu... kutoka Mara mpaka Mtwara...

tena sometimes kiuanafunzi kuna kuanguka kuna kusimama, na hao hao nilipo kijikwaa kimasomo ndo walinicheka na kunikejeli aloo kila mtu afe lwake!( si Mnajua wanafunzi tulivokuwa tunapata shida za usafiri Mikoani huko mara train,

mara ulale Stand, mara huna ada, mara telegram imechelewa, mara mzazi hana hela usubilie. mara umekimbizana na mwalimu wa zamu. mara umefungiwa nje ya drsa) Sasa eti kuna

hilo lina-jiita li-mtu ndg eti lije kunichezea kiulozi na uchawi wa sh. miatano! ......kweli???? aseee acheni utani bana! asee! pata chimbika mpaka ahela vita yake si vya Dunia hii.... tena hata nikikuhisi tu! tena live

nitakusindikiza nazo bin kukuchakaza na za utosini! hutokaa uamini! km ni mimi! ukanisimulie vizuri ahera huko! kwa sababu nimeumbwa kwa mfano wa Mungu, atanisamehe! nikipita kuombaomba! humo kwa ndg nasimangwa!

ndg wengine wanakusimanga live!! bila kumeza mate '''eti leo umefanikiwa unaringa nini?? nilikupaga Nauri ya ndege wende shule, ambayo hujawahi kupanda unalinga nini??''tena basi nauri yenyewe alotoa siyo ya go en return air ticket!
 
Duh pole sana, wachungaji wenye nguvu kali za Mungu wakimuombea huyo kigagula kila kitu kitakuwa sawa,uchawi wake wote utavumbuluka na utaangamizwa .it's just a matter of time
 
Kisasi sio lazima ufanye wewe hata pesa unaweza tumia kulipa kisasi unamla kichwa chap
 
Imeandikwa hakuna uchawi wala uganga juu ya Yakobo, hili andiko unalielewa vipi?
Aliandika maandiko haya, akimaaanisha kwamba Hakuna uchawi kwa yakobo, wala uganga juuu ya aridhi ya Israel.
Maana ake kwamba ukiamini kuwa wewe ni mwana wa yakobo na mzaliwa wa aridhi ya Israel uwezi sumbuliwa na ushirikina. Kutoka Mstari wa Bible Hesabu 23:23
 
Maada inafikirisha, lakini uchawi unatoka katika makanisa ya kilokole
 
Nina jamaa zangu hawakauki kwa waganga lakini nimewazidi maendeleo mara elfu,wamechoka wamechakaa .
Kuna wengine wao hawakauki makanisani kila kukicha kazi ni kubadili makanisa lakini maisha yao hayaeleweki.
Sikatai uchawi upo na Mungu yupo ila usipofanya kazi kwa bidii kila siku utasema unarogwa ....,unaamka saa 4 asubuhi,unachagua kazi,kazi hutaki kufanya hata uende kuchukua uchawi kwa shetani kuzimu hautoboi ng'ooo.
 
Hivi mtu anaweza kukuchezea mpaka katika elimu?

Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
tena huko ndo watubwanafanyiwa vitindi kupita maelezo nilisoma form 4 nikaenda chet then diploma na nikikuonyesha vyeti vyangu utajua nlikuwa na uwezo gani ila hko bachelor mzee nlokutana nayo mungu mwenyewe atanilipa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…