Mchawi kazi yake ni kuroga urudi nyuma, jilinde

Mchawi kazi yake ni kuroga urudi nyuma, jilinde

Still wapo wengi tu ni matajiri bila nguvu za giza bali jitihada zao wenyewe. Ingekuwa tu ni rahisi kutajirika tu kwa ndumba hakuna mwafrika angekuwa masikini. 90% ya watz ni fukara huku kutwa wakibadili waganga kuuwa thinking capacity zao, badala ya kuwekeza kwenye fikra Ili waondokane na umasikini. Utajiri ni kujifunza wapi ulipoanguka na urekebishe makosa.
 
Wapo ambao hata hawajui mitishamba na wanaishi poa Ila maisha Yao Ni ya kawaida Sana...

Ila wapo ambao wanatumia miti Shamba na maisha yao yanaenda poa...

Ko jaribu kuangalia wewe na background ya familia yako, hustle zako na mafanikio yakooo... Uhusiano wako na watu! Mana Kuna watu wanakualibia mpaka ukipita mbele za watu harufu ya mavi hisikika so Jitahidi kujitambua kujua Kuna watu wangapi hawalali kwa ajili yako...

Maamuzi Ni yako.... Bye
Hapa kwa imani means,
Huwezi kuwa tajiri bila kuloga.
Hii ni logic isiyo na mashiko.
Ushirikina ni imani binafsi,
 
Mungu alimuumba mwanadamu akiwa kakamilika kwa kumpatia akili Ili avitawale vyote vilivyomo.
Shetani kupitia majini ndio waliomfunza mwanadamu uchawi kwa lengo kuu moja ni kuupunguza uwezo wa kufikiri wa mwanadamu aache kutumia akili zake alizopewa na Mwenyezi Mungu bali ategemee ushirikina ktk kutatua changamoto zake.Washirikina na wachawi wameharibu mindset za waafrika wengi kwa kuwaamisha huwezi fanya jambo iwe biashara,kilimo, elimu, mahusiano, kuchimba madini nk bila ndumba huu ni uwongo mkubwa kabisa lengo lake ni kufifisha uwezo wa kufikiri, wenzetu wazungu baada ya kuijua Siri hii ya kwamba ushirikina unapunguza uwezo wa kufikiri kwa kuleta utegemezi wa fikra wakaamua kuachana na fikra za kuamini ushirikina ikiwemo hata kuwaua na kuharibu kabisa Kazi za wachawi lengo kuu lilikuwa ni kupata Jamii inayotumia akili ilizopewa na Mwenyezi Mungu Ili kutatua changamoto mbalimbali.
Unapokuja mtazamo wa maendeleo waliotumia akili zao wenyewe Wana maendeleo makubwa Sana sababu wanatumia akili zao wenyewe tofauti na sisi waafrika tunaotumia akili na mawazo ya kishirikina.
Mtu yeyeto au Jamii yeyeto inayohusudu ushirikina uwezo wake wa kufikiri upo chini sana.
[emoji769]Wazungu wanatumia Freemasonry kama ndio muongozo wao wa maisha. Uchawi ulaya upo sana, lakini sio wa kurudishana nyuma kama Africa
 
Jiite mwenyewe mpumbavu, maana umefungwa kwenye maagano ya nguvu za giza.
mbona swali zuri tu hilo mwambie hivi ''akiwa mrembo kwangu na msafi km jokate! kwa nini usivae kwani kuna ukaguzi mtaani huko unakotembea!.... hata km mkaguzi yupo unamwambia nampenda mke wangu!........

hata mume akiwa msafi hana fungus! chupi zake hazina ukoko kwa nini mkewe asivae? tena hata mashati yanavaliwa kabisaaaaaaaa, anaenda kwenye vikoba me wangapi huvaa khanga za mkewe sebuleni?? tena waziri kabisaaaaao!!

yeye huyo jamaa limke lake chafu chafu mikanga inanuka maziwa all of de time!...mkeo huvai gauni lake tu baasi make litakupwaya lkn km ana mashati bomba unavaa tu! mke/mume ni rafiki pia!
 
Hama mji na acha kwenda kwa unaowaona ni wazuri

Wakati mwingine sio uchawi bali ni jicho la hasidi linakupata
Ndugu anaumia unavyopata akikuangilia tu ile husda inakupata

Kaa nao mbali kwa mda na utamjua mbaya wako

Huenda ni huyo unaeishi nae pia maana hata wake/waume huwa wanakurudisha pia labda kisa huwasaidii kwao
Mkuu ushauri wako ni sahihi kabisa Mimi nikepatwa na Hali hii nilipojitenga na mbaya wangu akajiifunua yeye mwenyewe sasahiv wanaona aibu kinoma
 
Nisome kwa mamillion ya hela Ya babangu eti! jitu-jamaa tu ambalo hata halikuwahi nipa hela ya maji njiani humo!! lilikuwa lina kula vi hepe tu... kutoka Mara mpaka Mtwara...

tena sometimes kiuanafunzi kuna kuanguka kuna kusimama, na hao hao nilipo kijikwaa kimasomo ndo walinicheka na kunikejeli aloo kila mtu afe lwake!( si Mnajua wanafunzi tulivokuwa tunapata shida za usafiri Mikoani huko mara train,

mara ulale Stand, mara huna ada, mara telegram imechelewa, mara mzazi hana hela usubilie. mara umekimbizana na mwalimu wa zamu. mara umefungiwa nje ya drsa) Sasa eti kuna

hilo lina-jiita li-mtu ndg eti lije kunichezea kiulozi na uchawi wa sh. miatano! ......kweli???? aseee acheni utani bana! asee! pata chimbika mpaka ahela vita yake si vya Dunia hii.... tena hata nikikuhisi tu! tena live

nitakusindikiza nazo bin kukuchakaza na za utosini! hutokaa uamini! km ni mimi! ukanisimulie vizuri ahera huko! kwa sababu nimeumbwa kwa mfano wa Mungu, atanisamehe! nikipita kuombaomba! humo kwa ndg nasimangwa!

ndg wengine wanakusimanga live!! bila kumeza mate '''eti leo umefanikiwa unaringa nini?? nilikupaga Nauri ya ndege wende shule, ambayo hujawahi kupanda unalinga nini??''tena basi nauri yenyewe alotoa siyo ya go en return air ticket!
 
Mwanamke Ni mtu hatari sana, Mimi ni mfano Hai wa Matendo ya ukatili wa Mwanamke:

Hii naongea kutoka Moyoni mwangu wanao Bisha tabia za wanawake hawazijui.

Sikia hii story ya kweli katika Familia yangu,

Mama mkubwa mke wa Baba yangu walio oana na Baba yangu bonge la Harusi ujanani wali Dumu katika ndoa yao kwa miaka 5tu na wakazaa watoto wa3. Ila ugomvi ulikuwa daily tatizo mwanamke Alikuwa hafanyi majukumu yake ya nyumbani bali alipenda sana starehe na waganga kumchezea mume, Mume akapewa taarifa na majirani akafuatilia aka kuta kweli mkewe na vitu vya ajabu kwenye kabati la nguo na kitandani kwenye mto wa Baba na uvunguni kaweka dawa za mitishamba..

Mume kufuatilia vizuri aka gundua Mwanamke pia alikuwa anaiba hela ndani na kujenge kwao.. Wakaachana ndai ya miaka mi5 ya ndoa.

Mzee akachiwa watoto wa3 wadogo sana, akaishi bila mke kwa miaka4 , wazazi wake wakamshauri Aowe mke mwingine baada ya taarifa za yule mke wake kusambaa kuwa anaishi na mawanaume Mwingine Arusha na nimja mzito, wakati kamuachia watoto tena kwenye Nyumba ya kupanga uja nani akiwa na hali ya kawaida sana kimaisha kwa maana ya kipato cha kawaida.

Mzee kweli akajiongeza aka chukua mke mwingin ambaye ndio mama Yangu, tukazaliwa sisi, baada ya miaka kama 25 kupita tukiwa tusha zaliwa watoto6, Baba alisha pandishwa cheo na kusoma zaidi maisha yakawa makubwa na akawa msaidizi wa mkurugenzi wa Bank kuu ya tanzania na baadaye mkuu wa Azina, akawa kesha wekeza sana kila kona ya jiji la Dar na kwao Mkoani..

Ghafl mauza uza ya ugomvi ndani yakaibuka mzee kawa kama anachanganyikiwa haishi kumpiga mama kila mara yaani akawa kama siyo yeye tena.. Mara afukuze watoto mara hili mara lile, Baadaye Mama yangu akaugua ugonjwa wa ajabu sana akabaki mifupa tupu mm nikiwa ndio nimezaliwa nina mwaka 1 , mzee akawa hajali huduma wala hataki kuangali watoto,

Mama akaja kuchukuliwa apelekwe matibabuni, walizunguka mahospitali yote tanzania na ukumbuke hadi kenya na South africa alipelekwa lakini haponi wala ugonjwa hauonekani, Mwishoe akawa anakaribia kukata roho kabaki mifupa tu waka mrudisha Kijijini kwao asubirie kufa tu. Lakini kule kijijini wazee wa upande wa Mama wakajiongeza wakampeleka kwa mtaalamu wa Jadi aka aguliwa na ukweli ukajulikana alitupiwa jini na mke mkubwa na mambo mengine mengi tu.. bahati nzuri akatibiwa akapona akarudi kwenye hali yake baadaye Wakati anarudishwa nyumbani kwa wazazi wake maana alitokea kwa Matibabu ya jadi.. aka kuta watoto wote wame teletwa na kutelekezwa kwa wazazi wote. . wamekonda nusu ya kufa yule mkubwa kuliko wote aliye kuwa ana mika15 ndio kachangnyikiwa wengine wote wameacha shule na hawataki kabisa kusikia shule wala hawajielewi. Wazee wakoo waka jiongeza kuwapokea na kuwalea.

Mama alipo fuatilia aka ambiwa alivyo ondoka tu kwenda matibabuni, Week ile ile Mke mkubwa aliyekuwa ame achana na baba kwa miaka 25 alirudi na kugina ndani kwenye nyumba aliyejenga Mama yetu na Baba, na wakati huo Mzee hajitambui tena kawa kama mjinga wala hakumbuki watoto ana itwa ustawi wa jamii anaulizwa matumizi ya watoto ana sema mbona yeye hana watoto zaidi ya watatu aliyo nao nyumbani,?? watu wakadhani ni utani, kuja kumbana sana wakaagundua kweli hana kumbukumbu .. ila kesi ikaenda mahakamani ika amuliwa ahudumie watoto na aangaliwe kama akili ziko sawa. baadaye Ikaisha kienyeji Majaji wakapewa hongo na yule mke kubwa maana sasa yeye ndio alishikilia account zote za baba na mzee alifukuzwa kazi maana alikuwa haeleweki tena..

Baada ya Muda Baba kaja kufa kiajabu ajabu tu.. tuka mzika, mama mkubwa kaendelea kuishi ndani na wanawe, Ukoo ukasema kuwa kila kitu kwenye nyumba aliyokimbilia kuishi Mke mkubwa nicha watoto wa mke mdogo kwa kuwa Marehemu alisha Andika na kuwambia Wazazi wake kuwa Nyumba ya ujanani aliyo jenga kabla ya mama yangu kuishi naye na kuzaa naye ni ya watoto wake watatu aliye zaa n mke wake wandoa, ila hii mpya aliyojenga akiwa na mke mdogo yaan maa yang ni ya watoto 6 aliyo zaa na mama yangu.. Una ambiwa kile kikao cha ukoo kilivurugika kwa ugomvi mke mkubwa akawa moto na yule aliye kuwa kiongozi wa ukoo alikufa ndani ya week iliyofuata, Kukawa na viongozi wengine wanao chaguliwa Kushika nafasi ya Ukoo ila wakigusia haki za watoto wa mama yangu tu wanakufa, mpaka sasa Ninavyo ongea Baba wakubwa wa5 wote wamekufa kimaajabu. . na haki yetu hatuja ipata .. ndugu zangu karibia wote ni vichaa . nime baki mm tu ndio angalao nina jitambua..ingawa vita ya maisha yangu ni kubwa kama siyo kujificha katika maombi wangesha ni maliza..

Lakin kikubwa kinacho ni shangaza ni kuwa Baba anaonekana kule kijijin watu kazaa wana muona akiwa mchafu na manywele ila waki msogelea anapotea, mwanzoni tulidhani ni utani tukasema labda watu wanongea tu kwa kuwa yaliyotokea kweye familia yangu yameumiza watu wengi hadi majirani wa kule kijiji hivyo wanazusha tu kwa hasira walizo nazo juu ya mateso wanayo yaona kwa ndugu zangu.. Lakin sasa Hivi ni navyo ongea juzi tu mwezi wa kumi na moja mwaka huu uliyoisha. Kaka yangu mkubwa akiwa ndani kwake Katokewa na baba, kaamka zake aka kojoe ghafla akamuona mzee kakaa kwenye kochi ila haongei kitu alipo piga kelele mzee kapotea.


Jamani Uchawi Upo.. Ila naku hakikishia siku nikiingia kwenye Uchawi.. Nita angamizaa kizazi cha huyu Mwanamke mpaka kitukuu cha mwisho.. Naupima tu Uvumilivu wangu katika maombi.. Mungu aniongoze maana naijua nafsi yangu ilivyochoka na siku nikihamia kwa Shetani nitakuwa Shetani Halisi wala sita Igiza kabisa.
Duh pole sana, wachungaji wenye nguvu kali za Mungu wakimuombea huyo kigagula kila kitu kitakuwa sawa,uchawi wake wote utavumbuluka na utaangamizwa .it's just a matter of time
 
Mwanamke Ni mtu hatari sana, Mimi ni mfano Hai wa Matendo ya ukatili wa Mwanamke:

Hii naongea kutoka Moyoni mwangu wanao Bisha tabia za wanawake hawazijui.

Sikia hii story ya kweli katika Familia yangu,

Mama mkubwa mke wa Baba yangu walio oana na Baba yangu bonge la Harusi ujanani wali Dumu katika ndoa yao kwa miaka 5tu na wakazaa watoto wa3. Ila ugomvi ulikuwa daily tatizo mwanamke Alikuwa hafanyi majukumu yake ya nyumbani bali alipenda sana starehe na waganga kumchezea mume, Mume akapewa taarifa na majirani akafuatilia aka kuta kweli mkewe na vitu vya ajabu kwenye kabati la nguo na kitandani kwenye mto wa Baba na uvunguni kaweka dawa za mitishamba..

Mume kufuatilia vizuri aka gundua Mwanamke pia alikuwa anaiba hela ndani na kujenge kwao.. Wakaachana ndai ya miaka mi5 ya ndoa.

Mzee akachiwa watoto wa3 wadogo sana, akaishi bila mke kwa miaka4 , wazazi wake wakamshauri Aowe mke mwingine baada ya taarifa za yule mke wake kusambaa kuwa anaishi na mawanaume Mwingine Arusha na nimja mzito, wakati kamuachia watoto tena kwenye Nyumba ya kupanga uja nani akiwa na hali ya kawaida sana kimaisha kwa maana ya kipato cha kawaida.

Mzee kweli akajiongeza aka chukua mke mwingin ambaye ndio mama Yangu, tukazaliwa sisi, baada ya miaka kama 25 kupita tukiwa tusha zaliwa watoto6, Baba alisha pandishwa cheo na kusoma zaidi maisha yakawa makubwa na akawa msaidizi wa mkurugenzi wa Bank kuu ya tanzania na baadaye mkuu wa Azina, akawa kesha wekeza sana kila kona ya jiji la Dar na kwao Mkoani..

Ghafl mauza uza ya ugomvi ndani yakaibuka mzee kawa kama anachanganyikiwa haishi kumpiga mama kila mara yaani akawa kama siyo yeye tena.. Mara afukuze watoto mara hili mara lile, Baadaye Mama yangu akaugua ugonjwa wa ajabu sana akabaki mifupa tupu mm nikiwa ndio nimezaliwa nina mwaka 1 , mzee akawa hajali huduma wala hataki kuangali watoto,

Mama akaja kuchukuliwa apelekwe matibabuni, walizunguka mahospitali yote tanzania na ukumbuke hadi kenya na South africa alipelekwa lakini haponi wala ugonjwa hauonekani, Mwishoe akawa anakaribia kukata roho kabaki mifupa tu waka mrudisha Kijijini kwao asubirie kufa tu. Lakini kule kijijini wazee wa upande wa Mama wakajiongeza wakampeleka kwa mtaalamu wa Jadi aka aguliwa na ukweli ukajulikana alitupiwa jini na mke mkubwa na mambo mengine mengi tu.. bahati nzuri akatibiwa akapona akarudi kwenye hali yake baadaye Wakati anarudishwa nyumbani kwa wazazi wake maana alitokea kwa Matibabu ya jadi.. aka kuta watoto wote wame teletwa na kutelekezwa kwa wazazi wote. . wamekonda nusu ya kufa yule mkubwa kuliko wote aliye kuwa ana mika15 ndio kachangnyikiwa wengine wote wameacha shule na hawataki kabisa kusikia shule wala hawajielewi. Wazee wakoo waka jiongeza kuwapokea na kuwalea.

Mama alipo fuatilia aka ambiwa alivyo ondoka tu kwenda matibabuni, Week ile ile Mke mkubwa aliyekuwa ame achana na baba kwa miaka 25 alirudi na kugina ndani kwenye nyumba aliyejenga Mama yetu na Baba, na wakati huo Mzee hajitambui tena kawa kama mjinga wala hakumbuki watoto ana itwa ustawi wa jamii anaulizwa matumizi ya watoto ana sema mbona yeye hana watoto zaidi ya watatu aliyo nao nyumbani,?? watu wakadhani ni utani, kuja kumbana sana wakaagundua kweli hana kumbukumbu .. ila kesi ikaenda mahakamani ika amuliwa ahudumie watoto na aangaliwe kama akili ziko sawa. baadaye Ikaisha kienyeji Majaji wakapewa hongo na yule mke kubwa maana sasa yeye ndio alishikilia account zote za baba na mzee alifukuzwa kazi maana alikuwa haeleweki tena..

Baada ya Muda Baba kaja kufa kiajabu ajabu tu.. tuka mzika, mama mkubwa kaendelea kuishi ndani na wanawe, Ukoo ukasema kuwa kila kitu kwenye nyumba aliyokimbilia kuishi Mke mkubwa nicha watoto wa mke mdogo kwa kuwa Marehemu alisha Andika na kuwambia Wazazi wake kuwa Nyumba ya ujanani aliyo jenga kabla ya mama yangu kuishi naye na kuzaa naye ni ya watoto wake watatu aliye zaa n mke wake wandoa, ila hii mpya aliyojenga akiwa na mke mdogo yaan maa yang ni ya watoto 6 aliyo zaa na mama yangu.. Una ambiwa kile kikao cha ukoo kilivurugika kwa ugomvi mke mkubwa akawa moto na yule aliye kuwa kiongozi wa ukoo alikufa ndani ya week iliyofuata, Kukawa na viongozi wengine wanao chaguliwa Kushika nafasi ya Ukoo ila wakigusia haki za watoto wa mama yangu tu wanakufa, mpaka sasa Ninavyo ongea Baba wakubwa wa5 wote wamekufa kimaajabu. . na haki yetu hatuja ipata .. ndugu zangu karibia wote ni vichaa . nime baki mm tu ndio angalao nina jitambua..ingawa vita ya maisha yangu ni kubwa kama siyo kujificha katika maombi wangesha ni maliza..

Lakin kikubwa kinacho ni shangaza ni kuwa Baba anaonekana kule kijijin watu kazaa wana muona akiwa mchafu na manywele ila waki msogelea anapotea, mwanzoni tulidhani ni utani tukasema labda watu wanongea tu kwa kuwa yaliyotokea kweye familia yangu yameumiza watu wengi hadi majirani wa kule kijiji hivyo wanazusha tu kwa hasira walizo nazo juu ya mateso wanayo yaona kwa ndugu zangu.. Lakin sasa Hivi ni navyo ongea juzi tu mwezi wa kumi na moja mwaka huu uliyoisha. Kaka yangu mkubwa akiwa ndani kwake Katokewa na baba, kaamka zake aka kojoe ghafla akamuona mzee kakaa kwenye kochi ila haongei kitu alipo piga kelele mzee kapotea.


Jamani Uchawi Upo.. Ila naku hakikishia siku nikiingia kwenye Uchawi.. Nita angamizaa kizazi cha huyu Mwanamke mpaka kitukuu cha mwisho.. Naupima tu Uvumilivu wangu katika maombi.. Mungu aniongoze maana naijua nafsi yangu ilivyochoka na siku nikihamia kwa Shetani nitakuwa Shetani Halisi wala sita Igiza kabisa.
Kisasi sio lazima ufanye wewe hata pesa unaweza tumia kulipa kisasi unamla kichwa chap
 
Imeandikwa hakuna uchawi wala uganga juu ya Yakobo, hili andiko unalielewa vipi?
Aliandika maandiko haya, akimaaanisha kwamba Hakuna uchawi kwa yakobo, wala uganga juuu ya aridhi ya Israel.
Maana ake kwamba ukiamini kuwa wewe ni mwana wa yakobo na mzaliwa wa aridhi ya Israel uwezi sumbuliwa na ushirikina. Kutoka Mstari wa Bible Hesabu 23:23
 
Mkuu hujanielewa!

Mie sijazungumzia mafanikio ya kuloga au kutumia majini. Kuna mabalaa na mikosi ambayo tunategewa na ndugu jamaa au marafiki tunaoishi nao.

Kuna madawa ya asili ambayo kazi yake ni kuondosha hizo negative energies yapo madukani. Sio lazima uende kwa Mganga. So unaweza ukawa unaomba Mungu kwa imani yako kisha unatumia dawa za kusafisha nuksi na mikosi na mambo yakaenda vyema tu.

Ukifungwa kichawi hata ukeshe madhabauni utateseka. Wapo watu ni wagonjwa wamemaliza makanisa kwa mahospitali ila wamepona kwa tiba za asili.
Maada inafikirisha, lakini uchawi unatoka katika makanisa ya kilokole
 
Nina jamaa zangu hawakauki kwa waganga lakini nimewazidi maendeleo mara elfu,wamechoka wamechakaa .
Kuna wengine wao hawakauki makanisani kila kukicha kazi ni kubadili makanisa lakini maisha yao hayaeleweki.
Sikatai uchawi upo na Mungu yupo ila usipofanya kazi kwa bidii kila siku utasema unarogwa ....,unaamka saa 4 asubuhi,unachagua kazi,kazi hutaki kufanya hata uende kuchukua uchawi kwa shetani kuzimu hautoboi ng'ooo.
 
Hivi mtu anaweza kukuchezea mpaka katika elimu?

Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
tena huko ndo watubwanafanyiwa vitindi kupita maelezo nilisoma form 4 nikaenda chet then diploma na nikikuonyesha vyeti vyangu utajua nlikuwa na uwezo gani ila hko bachelor mzee nlokutana nayo mungu mwenyewe atanilipa
 
Back
Top Bottom