Uchawi ni against maendeleotena huko ndo watubwanafanyiwa vitindi kupita maelezo nilisoma form 4 nikaenda chet then diploma na kikikuonyesha vyeti vyangu utajua nlikuwa na uwezo gani ila hko bachelor mzee nlokutana nayo mungu mwenyewe atanilipa
Ili kuupunguza uwezo wa kufikiri wa mwanadamu Ili awe masikini Ili amuabudu shetani, umasikini ndio chanzo cha tabia zote chafu ngono,ulevi, vurugu,matusi,wizi nk,fanya study washirikina wengi thinking capacity zao zipo chini sana sawa na kuku hata maeneo yenye imani hizo yapo duni Sana kimaendeleo kuliko Jamii zisizoamini. Uchawi ni negative power.Ulishushwa kwa ajili gani, labda utueleze
Original Poster..!OP ni nani?
Hapa tu sipindui ukinitengeneza si nitalala na viatu.
Original Poster..!
Mbona hata sioni kama umetengenezeka kamanda wangu.??
Dawa ya mchawi ni kuwa mchawi zaidi yake!... sasa wewe kumkomesha changanya na mazingaombwe, akija kukuroga unageuka mnyama tembo kichaa!.....Sipo hapa kumshawishi mtu aingie kwenye ushirikina, sipo hapa kudharau Imani ya dini ya mtu yoyote... Ila Nipo hapa kusema ukweli...
Watu wanatupa moyo kuhusu mafanikio, wengi wao husema kufanya kazi kwa bidii ndio njia ya mafanikio! Wao huita hiyo ndio Siri!
Lakini Ndugu zangu nipo hapa kuwapa Siri ingine ya mafanikio! Sio kuua mzazi wa kutoa kafara Ila Ni kukulinda...Katina mafanikio au katika biashara yoyote.
Mtu asikuambie mtaji wa laki Tano ndio ulionifanya niwe na nyumba na magari! Tena wanasema nilifanya kazi Sana kwa bidii, na siri ya mafanikio yangu Ni kufanya kazi kwa bidiii! Huo Ni uongo mtupu...
Siri za mafanikio zipo kwenye Siri ya ushirikina moja, Ni wewe kujikinga kupitia ushirikina! Au kukinga biashara yako kwa ushirikina, usipozingatia Ayo maisha yako yatakuwa chini miaka nenda miaka rudi huku ukiona wengine wanashaini
Mchawi kazi yake sio kuroga tu kazi yake ingine Ni kurudisha nyuma maisha yako....
Karibuni 2022.
Haha,Tayari nimeiva beki zote hazikabi.
Haha,
Wakati unaweza toboa months bila tabasamu langu na uka survive!?
Nimeishi ulaya na bado nakwenda ulaya, uchawi upo ulaya tena mkubwa sana ila matumizi ndio tofauti.
Hawatumii uchawi kumtia mtu nuksi.
Mfano leo ni mwaka mpya sehemu nyingi ulaya usiku watawasha moto mkubwa sana wa kuni ikiwa ni matambiko ya imani zao lakini ni za kishirikina pia.
Waafrika tutafika mbunguni tukiwa tumechoka sana [emoji51]
Mbona tunasikia huko migodini na uvuvi hutumika ushirikina?True wachawi waganga na washirikina wote inatakiwa waondolewe kwenye Jamii kwani kundi hili ndilo liletalo mafarakano na migogoro yote kwenye Jamii.
Mganga ndie uwapa dawa vibaka,wezi majambazi Ili waisumbue jamii, mganga ndie ufarakanisha ndugu,Jamii, familia zisielewani, mchawi uharibu jamii kwa kuijengea hofu isifanye maendeleo,fikra za wengi zimeharibika,wameacha kuamini wanaweza fanya chochote bila kutegemea nguvu za giza.
Mbona tunasikia huko migodini na uvuvi hutumika ushirikina?
Ilikuaje mkuu?Tena huko baharini ndio kuna vimbwanga vya kila aina. Mim binafsi yalishanikuta
Na mauji hayotoishia hapo tu, tutaanza kufikiria tuwaue na majambazi na mafisadi maana nao wanaturidisha nyuma kimaendeo.Kuwaua wachawi sindio haki za binadamu zitaingilia kati, kwamba mnaua watu bila sababu
Sio kweli, hakuna mtu mzuri kam mchawiSipo hapa kumshawishi mtu aingie kwenye ushirikina, sipo hapa kudharau Imani ya dini ya mtu yoyote... Ila Nipo hapa kusema ukweli...
Watu wanatupa moyo kuhusu mafanikio, wengi wao husema kufanya kazi kwa bidii ndio njia ya mafanikio! Wao huita hiyo ndio Siri!
Lakini Ndugu zangu nipo hapa kuwapa Siri ingine ya mafanikio! Sio kuua mzazi wa kutoa kafara Ila Ni kukulinda...Katina mafanikio au katika biashara yoyote.
Mtu asikuambie mtaji wa laki Tano ndio ulionifanya niwe na nyumba na magari! Tena wanasema nilifanya kazi Sana kwa bidii, na siri ya mafanikio yangu Ni kufanya kazi kwa bidiii! Huo Ni uongo mtupu...
Siri za mafanikio zipo kwenye Siri ya ushirikina moja, Ni wewe kujikinga kupitia ushirikina! Au kukinga biashara yako kwa ushirikina, usipozingatia Ayo maisha yako yatakuwa chini miaka nenda miaka rudi huku ukiona wengine wanashaini
Mchawi kazi yake sio kuroga tu kazi yake ingine Ni kurudisha nyuma maisha yako....
Karibuni 2022.