Kalunya
JF-Expert Member
- Oct 5, 2021
- 13,322
- 18,609
Ushirikina ni chanzo kikuu cha kuzalisha negative energy kwenye Jamii na Jamii ikishakuwa negative Hakuna maendeleo. Lengo kuu la uchawi ni kuwafanya watu wawe masikini na kutokana na umasikini tabia zote chafu uzaliwa. Ukahaba, wizi, roho mbaya, matusi, ukorofi, vurugu nk.
Ndo maana wenzetu waliua wachawi wote Ili kupata Jamii bora
Ndo maana wenzetu waliua wachawi wote Ili kupata Jamii bora