Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Endelea kuamini hivyohivyo lakini tu nikuambie uchawi upo...Mungu alimuumba mwanadamu akiwa kakamilika kwa kumpatia akili Ili avitawale vyote vilivyomo.
Shetani kupitia majini ndio waliomfunza mwanadamu uchawi kwa lengo kuu moja ni kuupunguza uwezo wa kufikiri wa mwanadamu aache kutumia akili zake alizopewa na Mwenyezi Mungu bali ategemee ushirikina ktk kutatua changamoto zake.Washirikina na wachawi wameharibu mindset za waafrika wengi kwa kuwaamisha huwezi fanya jambo iwe biashara,kilimo, elimu, mahusiano, kuchimba madini nk bila ndumba huu ni uwongo mkubwa kabisa lengo lake ni kufifisha uwezo wa kufikiri, wenzetu wazungu baada ya kuijua Siri hii ya kwamba ushirikina unapunguza uwezo wa kufikiri kwa kuleta utegemezi wa fikra wakaamua kuachana na fikra za kuamini ushirikina ikiwemo hata kuwaua na kuharibu kabisa Kazi za wachawi lengo kuu lilikuwa ni kupata Jamii inayotumia akili ilizopewa na Mwenyezi Mungu Ili kutatua changamoto mbalimbali.
Unapokuja mtazamo wa maendeleo waliotumia akili zao wenyewe Wana maendeleo makubwa Sana sababu wanatumia akili zao wenyewe tofauti na sisi waafrika tunaotumia akili na mawazo ya kishirikina.
Mtu yeyeto au Jamii yeyeto inayohusudu ushirikina uwezo wake wa kufikiri upo chini sana.
Mkuu kwa mchawi hashindwi kitu.
Hao wachawi wapo huku tu, ulaya hawapo? Mambo ya kudingizia uchawi ulaya waliacha zamani sana.
Uchawi upo na matokeo yake yanaonekanaEndelea kuamini hivyohivyo lakini tu nikuambie uchawi upo...
True wachawi waganga na washirikina wote inatakiwa waondolewe kwenye Jamii kwani kundi hili ndilo liletalo mafarakano na migogoro yote kwenye Jamii.walishavuka hiyo primitive stage, japo kuna karne zamani huko waliua sana wachawi..
sisi bado tuko primitive stage, tunapaswa kuanza kuwau wachawi, wajue jamii haiwapendi ili nao wapotee kabisa na jamii ipone..
Kwanii imekua ivo?Katika watu wenye mafanikio makubwa hapa duniani ni mashoga, hawa ndio wameikakamata dunia na ndio wanacontrol uchumi wa dunia.
Aliyekulisha hayo matangopori amekudanganya, wacha Mungu ndio wanaosulubika hapa duniani kwa maisha magumu.
Jiulize wewe sasa, shetani na Mungu hapa duniani nani kiboko?Ni
Kwanii imekua ivo?
Kwahiyo mkuu unataka watu wawe mashoga ili wafanikiwe?Katika watu wenye mafanikio makubwa hapa duniani ni mashoga, hawa ndio wameikakamata dunia na ndio wanacontrol uchumi wa dunia.
Aliyekulisha hayo matangopori amekudanganya, wacha Mungu ndio wanaosulubika hapa duniani kwa maisha magumu.
Shetani ana kila kitu cha ku offer..ila tu umtumikie..Jiulize wewe sasa, shetani na Mungu hapa duniani nani kiboko?
Wapi nimesema hivyo? Hebu nioneshe.Kwahiyo mkuu unataka watu wawe mashoga ili wafanikiwe?