Mchawi kazi yake ni kuroga urudi nyuma, jilinde

Mchawi kazi yake ni kuroga urudi nyuma, jilinde

Unamaanisha nguvu za Mungu ni limited hadi uzi boost na dawa za kienyeji za kuondoa mikosi na nuksi........kwamba nguvu za Mungu zinakuwa limited na vifungo vya kichawi!? mkuu unahitaji kujielimisha zaidi kwenye kujua nguvu na mamlaka ya Mungu Mwenyezi.........
Mkuu kila mtu ashinde mechi zake, pengine na battle na baba paroko bila kujua. Nimekupa fact kama huamini we endelea tu mkuu.

Kuna tofauti kubwa sana ya watu mliozaliwa na kukulia masaki na sisi wa uswahilini huku Tembomgwaza!
 
Output wanayopata kwa kukuumiza wewe ni nini hasa? nilitarajia wakuone wewe ni asset kwao na hivyo wawe na shauku ya kuona umefanikiwa ili nao wafaidike.
Ukikulia Masaki ama Oysterbay shule IST, kanisani Cardinal Rugambwa hospitali Aga Khan huwezi kaa ukaamini kama kuna mambo ya shiriki!

Hizo akili wanazo wa ushuani tu ila sie wa Kisukuru ulizia uambiwe habari yake. Mshana Jr naomba uje umueleweshe huyu kijana
 
Uchawi uchawi uchawi aaagh ptuu inachosha sasa..kila sehemu watu wanalia na madhara yatokayo na uchawi.
Mm nashindwa hata kuandika,nimeamua kumuachia Mungu tu kama ataamua kuniacha niendelee kuteswa,kunyanyaswa na kuonja joto ya jiwe na wachawi sawa tu si ameamua iwe hivyo bhana Ila mm nimechoka na sina msaada wowote kutoka popote zaidi yake.

Nimechoka kuona wenzangu wakisonga mbele mm nikiwa nyuma na wamwisho kila siku, nimechoka kudharaulika sababu sina maendeleo kama wenzangu,nimechoka pesa zangu kuishia kwenye matibabu,nimechoka na kuugua maradhi yasiyoisha mwilini mwangu.

Nimechoka kutibia wazazi,nimechoka kutibia wadogo zangu,nimechoka kutibia familia,nimechoka kuishi kwa huzuni na mateso.

Nimechoka kujaza namba za simu za madaktari na manesi,nimechoka kitembelea maduka yamadawa,nimechoka kunywa dawa,nimechoka kugeuza dawa mbadala wa Chakula.

Nimechoka dharau,kebehi,masengenyo na vijembe juu ya uduni wangu unaosababishwa na wao wenyewe,nimechoka nimechoka nimechoka.

Eeh Mungu Mwenyezi,Mfalme wa falme,Mmiliki wa mbingu na dunia na ukazisimamisha pasipo nguzo,Mfalme wa siku ya Malipo,Mwingi wa Rehma mwnye kurehemu.

Ulieniumba mm ukamuumba baba na mama yangu,ukawaumba bibi na babu zangu, ukaumba wanangu,ukaumba ulimwengu na vyote vilivyomo ndani yake,Nakuomba eeh Rabbi uninusuru mm pamoja na kizazi changu chote dhidi ya udhalimu wa shetani na hila Zake zote.

Ewe Mola wangu mtukufu,usieshindwa na chochote mana vyote ni Mali yako,hakuna kilichopo nje matakwa yako,hakuna linalowezekana ila kwa idhini yako..nakuomba uniponywe mm,waponye wazazi wangu, iponyewe familia yangu,iponye jamii yangu liponye taifa langu dhidi ya uchawi, ulozi,ushirikina,na hila zote ovu za shetani.

Ninakuomba utufungulie milango ya rizki zetu ziwe za halali,za wepesi na uzikinge dhidi ya mabaya yoyote.sisi bila ww hatuwezi kitu Mungu wangu.

Tupe afya tuondolee maradhi,tupe Neema tuondolee ufakiri na umaskini,tupe mioyo safi tuondolee chuki na husda,tupe upendo tuondolee huzuni fitna na majungu.

Eeh mola wetu mlezi,mwenye huruma,mwenye upendo na msikivu, tunaomba usikie Dua yetu,tunakuomba usikie kilio chetu.sisi ni wakosefu tu si wakamilifu,ukamilifu unao ww Mungu wetu mtukufu.

Ninaomba yote haya kwa imani yangu kwangu,na kwa imani za wenzangu ila naamini sisi sote tunakutukuza ww kwa njia tofauti.
Amiiin
Amiiin
Amiiin
 
Mkuu kila mtu ashinde mechi zake, pengine na battle na baba paroko bila kujua. Nimekupa fact kama huamini we endelea tu mkuu.

Kuna tofauti kubwa sana ya watu mliozaliwa na kukulia masaki na sisi wa uswahilini huku Tembomgwaza!
Kwamba unamwomba Mungu huku umefunga booster, hahahaha........wewe jamaa bhana, Mungu hachanganywi na uganga wala ulozi. Ukisoma biblia waisreali walitakiwa kujitakasa kwanza kwa kutubu dhambi na kutupa hirizi na masanamu ya miungu yao kabla Mungu hajashuka. Huwezi kuita nguvu au uwepo wa Mungu huku umefunga hirizi na mitishamba, that will be suicidal.......ukikutana na waisraeli waliokuwepo kipindi Mungu anashuka mlima Sinai waulize mtiti wake ulikuwaje.......
 
Mwanamke Ni mtu hatari sana, Mimi ni mfano Hai wa Matendo ya ukatili wa Mwanamke:

Hii naongea kutoka Moyoni mwangu wanao Bisha tabia za wanawake hawazijui.

Sikia hii story ya kweli katika Familia yangu,

Mama mkubwa mke wa Baba yangu walio oana na Baba yangu bonge la Harusi ujanani wali Dumu katika ndoa yao kwa miaka 5tu na wakazaa watoto wa3. Ila ugomvi ulikuwa daily tatizo mwanamke Alikuwa hafanyi majukumu yake ya nyumbani bali alipenda sana starehe na waganga kumchezea mume, Mume akapewa taarifa na majirani akafuatilia aka kuta kweli mkewe na vitu vya ajabu kwenye kabati la nguo na kitandani kwenye mto wa Baba na uvunguni kaweka dawa za mitishamba..

Mume kufuatilia vizuri aka gundua Mwanamke pia alikuwa anaiba hela ndani na kujenge kwao.. Wakaachana ndai ya miaka mi5 ya ndoa.

Mzee akachiwa watoto wa3 wadogo sana, akaishi bila mke kwa miaka4 , wazazi wake wakamshauri Aowe mke mwingine baada ya taarifa za yule mke wake kusambaa kuwa anaishi na mawanaume Mwingine Arusha na nimja mzito, wakati kamuachia watoto tena kwenye Nyumba ya kupanga uja nani akiwa na hali ya kawaida sana kimaisha kwa maana ya kipato cha kawaida.

Mzee kweli akajiongeza aka chukua mke mwingin ambaye ndio mama Yangu, tukazaliwa sisi, baada ya miaka kama 25 kupita tukiwa tusha zaliwa watoto6, Baba alisha pandishwa cheo na kusoma zaidi maisha yakawa makubwa na akawa msaidizi wa mkurugenzi wa Bank kuu ya tanzania na baadaye mkuu wa Azina, akawa kesha wekeza sana kila kona ya jiji la Dar na kwao Mkoani..

Ghafl mauza uza ya ugomvi ndani yakaibuka mzee kawa kama anachanganyikiwa haishi kumpiga mama kila mara yaani akawa kama siyo yeye tena.. Mara afukuze watoto mara hili mara lile, Baadaye Mama yangu akaugua ugonjwa wa ajabu sana akabaki mifupa tupu mm nikiwa ndio nimezaliwa nina mwaka 1 , mzee akawa hajali huduma wala hataki kuangali watoto,

Mama akaja kuchukuliwa apelekwe matibabuni, walizunguka mahospitali yote tanzania na ukumbuke hadi kenya na South africa alipelekwa lakini haponi wala ugonjwa hauonekani, Mwishoe akawa anakaribia kukata roho kabaki mifupa tu waka mrudisha Kijijini kwao asubirie kufa tu. Lakini kule kijijini wazee wa upande wa Mama wakajiongeza wakampeleka kwa mtaalamu wa Jadi aka aguliwa na ukweli ukajulikana alitupiwa jini na mke mkubwa na mambo mengine mengi tu.. bahati nzuri akatibiwa akapona akarudi kwenye hali yake baadaye Wakati anarudishwa nyumbani kwa wazazi wake maana alitokea kwa Matibabu ya jadi.. aka kuta watoto wote wame teletwa na kutelekezwa kwa wazazi wote. . wamekonda nusu ya kufa yule mkubwa kuliko wote aliye kuwa ana mika15 ndio kachangnyikiwa wengine wote wameacha shule na hawataki kabisa kusikia shule wala hawajielewi. Wazee wakoo waka jiongeza kuwapokea na kuwalea.

Mama alipo fuatilia aka ambiwa alivyo ondoka tu kwenda matibabuni, Week ile ile Mke mkubwa aliyekuwa ame achana na baba kwa miaka 25 alirudi na kugina ndani kwenye nyumba aliyejenga Mama yetu na Baba, na wakati huo Mzee hajitambui tena kawa kama mjinga wala hakumbuki watoto ana itwa ustawi wa jamii anaulizwa matumizi ya watoto ana sema mbona yeye hana watoto zaidi ya watatu aliyo nao nyumbani,?? watu wakadhani ni utani, kuja kumbana sana wakaagundua kweli hana kumbukumbu .. ila kesi ikaenda mahakamani ika amuliwa ahudumie watoto na aangaliwe kama akili ziko sawa. baadaye Ikaisha kienyeji Majaji wakapewa hongo na yule mke kubwa maana sasa yeye ndio alishikilia account zote za baba na mzee alifukuzwa kazi maana alikuwa haeleweki tena..

Baada ya Muda Baba kaja kufa kiajabu ajabu tu.. tuka mzika, mama mkubwa kaendelea kuishi ndani na wanawe, Ukoo ukasema kuwa kila kitu kwenye nyumba aliyokimbilia kuishi Mke mkubwa nicha watoto wa mke mdogo kwa kuwa Marehemu alisha Andika na kuwambia Wazazi wake kuwa Nyumba ya ujanani aliyo jenga kabla ya mama yangu kuishi naye na kuzaa naye ni ya watoto wake watatu aliye zaa n mke wake wandoa, ila hii mpya aliyojenga akiwa na mke mdogo yaan maa yang ni ya watoto 6 aliyo zaa na mama yangu.. Una ambiwa kile kikao cha ukoo kilivurugika kwa ugomvi mke mkubwa akawa moto na yule aliye kuwa kiongozi wa ukoo alikufa ndani ya week iliyofuata, Kukawa na viongozi wengine wanao chaguliwa Kushika nafasi ya Ukoo ila wakigusia haki za watoto wa mama yangu tu wanakufa, mpaka sasa Ninavyo ongea Baba wakubwa wa5 wote wamekufa kimaajabu. . na haki yetu hatuja ipata .. ndugu zangu karibia wote ni vichaa . nime baki mm tu ndio angalao nina jitambua..ingawa vita ya maisha yangu ni kubwa kama siyo kujificha katika maombi wangesha ni maliza..

Lakin kikubwa kinacho ni shangaza ni kuwa Baba anaonekana kule kijijin watu kazaa wana muona akiwa mchafu na manywele ila waki msogelea anapotea, mwanzoni tulidhani ni utani tukasema labda watu wanongea tu kwa kuwa yaliyotokea kweye familia yangu yameumiza watu wengi hadi majirani wa kule kijiji hivyo wanazusha tu kwa hasira walizo nazo juu ya mateso wanayo yaona kwa ndugu zangu.. Lakin sasa Hivi ni navyo ongea juzi tu mwezi wa kumi na moja mwaka huu uliyoisha. Kaka yangu mkubwa akiwa ndani kwake Katokewa na baba, kaamka zake aka kojoe ghafla akamuona mzee kakaa kwenye kochi ila haongei kitu alipo piga kelele mzee kapotea.


Jamani Uchawi Upo.. Ila naku hakikishia siku nikiingia kwenye Uchawi.. Nita angamizaa kizazi cha huyu Mwanamke mpaka kitukuu cha mwisho.. Naupima tu Uvumilivu wangu katika maombi.. Mungu aniongoze maana naijua nafsi yangu ilivyochoka na siku nikihamia kwa Shetani nitakuwa Shetani Halisi wala sita Igiza kabisa.
Mkuu pole sana hiki kisa kinatisha sema matatizo aliyaleta baba yenu baada ya kuoa mke mshirikina. Kuna haja ya kuwa makini sana na wanawake tunaooa hawa.

Sikufichi mie mzee katuletea balaa kama hilo mpaka leo maendeleo hamna kwenye familia watoto hamna aliyechomoka kabisa ni majanga tu. Nishafatilia na nikagundua ukweli ndio napambana now huu mwaka kuwe na mabadiliko. Shule tulipiga vizuri tu ila sasa kazi kukutana nayo nahisi mpaka nikavunje nazi njiapanda. Unapanga mambo hayakamiliki mzee yani kila jambo ukiliweka sawa lilete hela hutaipata kuna kitu kitajitokeza tu...Kazi pia ni hivyo hivyo hata mtu mwenye connection anafeli yani acha tu kmmmk!
 
Ukikulia Masaki ama Oysterbay shule IST, kanisani Cardinal Rugambwa hospitali Aga Khan huwezi kaa ukaamini kama kuna mambo ya shiriki!

Hizo akili wanazo wa ushuani tu ila sie wa Kisukuru ulizia uambiwe habari yake. Mshana Jr naomba uje umueleweshe huyu kijana
Hakuna kitu kama hicho, mimi mwenyewe nimekulia na kusoma kijijini na hata huku naishi jirani na watu wanaoaminiwa kwa uchawi lakini sina hofu hiyo....inagawaje sijui mganga wala mitishamba.
 
Kwamba unamwomba Mungu huku umefunga booster, hahahaha........wewe jamaa bhana, Mungu hachanganywi na uganga wala ulozi. Ukisoma biblia waisreali walitakiwa kujitakasa kwanza kwa kutubu dhambi na kutupa hirizi na masanamu ya miungu yao kabla Mungu hajashuka. Huwezi kuita nguvu au uwepo wa Mungu huku umefunga hirizi na mitishamba, that will be suicidal.......ukikutana na waisraeli waliokuwepo kipindi Mungu anashuka mlima Sinai waulize mtiti wake ulikuwaje.......
We jamaa acha uchizi! Booster ndio kitu gani wewe???
Chumvi ya mawe ni uchawi? Magadi ni uchawi?
 
Hakuna kitu kama hicho, mimi mwenyewe nimekulia na kusoma kijijini na hata huku naishi jirani na watu wanaoaminiwa kwa uchawi lakini sina hofu hiyo....inagawaje sijui mganga wala mitishamba.
Shukuru Mungu baba yako hakuoa mshirikina akamleta kwenye familia yenu! Hilo ndio jambo pekee naweza kukwambia kwa sasa.
 
Mwanamke Ni mtu hatari sana, Mimi ni mfano Hai wa Matendo ya ukatili wa Mwanamke:

Hii naongea kutoka Moyoni mwangu wanao Bisha tabia za wanawake hawazijui.

Sikia hii story ya kweli katika Familia yangu,

Mama mkubwa mke wa Baba yangu walio oana na Baba yangu bonge la Harusi ujanani wali Dumu katika ndoa yao kwa miaka 5tu na wakazaa watoto wa3. Ila ugomvi ulikuwa daily tatizo mwanamke Alikuwa hafanyi majukumu yake ya nyumbani bali alipenda sana starehe na waganga kumchezea mume, Mume akapewa taarifa na majirani akafuatilia aka kuta kweli mkewe na vitu vya ajabu kwenye kabati la nguo na kitandani kwenye mto wa Baba na uvunguni kaweka dawa za mitishamba..

Mume kufuatilia vizuri aka gundua Mwanamke pia alikuwa anaiba hela ndani na kujenge kwao.. Wakaachana ndai ya miaka mi5 ya ndoa.

Mzee akachiwa watoto wa3 wadogo sana, akaishi bila mke kwa miaka4 , wazazi wake wakamshauri Aowe mke mwingine baada ya taarifa za yule mke wake kusambaa kuwa anaishi na mawanaume Mwingine Arusha na nimja mzito, wakati kamuachia watoto tena kwenye Nyumba ya kupanga uja nani akiwa na hali ya kawaida sana kimaisha kwa maana ya kipato cha kawaida.

Mzee kweli akajiongeza aka chukua mke mwingin ambaye ndio mama Yangu, tukazaliwa sisi, baada ya miaka kama 25 kupita tukiwa tusha zaliwa watoto6, Baba alisha pandishwa cheo na kusoma zaidi maisha yakawa makubwa na akawa msaidizi wa mkurugenzi wa Bank kuu ya tanzania na baadaye mkuu wa Azina, akawa kesha wekeza sana kila kona ya jiji la Dar na kwao Mkoani..

Ghafl mauza uza ya ugomvi ndani yakaibuka mzee kawa kama anachanganyikiwa haishi kumpiga mama kila mara yaani akawa kama siyo yeye tena.. Mara afukuze watoto mara hili mara lile, Baadaye Mama yangu akaugua ugonjwa wa ajabu sana akabaki mifupa tupu mm nikiwa ndio nimezaliwa nina mwaka 1 , mzee akawa hajali huduma wala hataki kuangali watoto,

Mama akaja kuchukuliwa apelekwe matibabuni, walizunguka mahospitali yote tanzania na ukumbuke hadi kenya na South africa alipelekwa lakini haponi wala ugonjwa hauonekani, Mwishoe akawa anakaribia kukata roho kabaki mifupa tu waka mrudisha Kijijini kwao asubirie kufa tu. Lakini kule kijijini wazee wa upande wa Mama wakajiongeza wakampeleka kwa mtaalamu wa Jadi aka aguliwa na ukweli ukajulikana alitupiwa jini na mke mkubwa na mambo mengine mengi tu.. bahati nzuri akatibiwa akapona akarudi kwenye hali yake baadaye Wakati anarudishwa nyumbani kwa wazazi wake maana alitokea kwa Matibabu ya jadi.. aka kuta watoto wote wame teletwa na kutelekezwa kwa wazazi wote. . wamekonda nusu ya kufa yule mkubwa kuliko wote aliye kuwa ana mika15 ndio kachangnyikiwa wengine wote wameacha shule na hawataki kabisa kusikia shule wala hawajielewi. Wazee wakoo waka jiongeza kuwapokea na kuwalea.

Mama alipo fuatilia aka ambiwa alivyo ondoka tu kwenda matibabuni, Week ile ile Mke mkubwa aliyekuwa ame achana na baba kwa miaka 25 alirudi na kugina ndani kwenye nyumba aliyejenga Mama yetu na Baba, na wakati huo Mzee hajitambui tena kawa kama mjinga wala hakumbuki watoto ana itwa ustawi wa jamii anaulizwa matumizi ya watoto ana sema mbona yeye hana watoto zaidi ya watatu aliyo nao nyumbani,?? watu wakadhani ni utani, kuja kumbana sana wakaagundua kweli hana kumbukumbu .. ila kesi ikaenda mahakamani ika amuliwa ahudumie watoto na aangaliwe kama akili ziko sawa. baadaye Ikaisha kienyeji Majaji wakapewa hongo na yule mke kubwa maana sasa yeye ndio alishikilia account zote za baba na mzee alifukuzwa kazi maana alikuwa haeleweki tena..

Baada ya Muda Baba kaja kufa kiajabu ajabu tu.. tuka mzika, mama mkubwa kaendelea kuishi ndani na wanawe, Ukoo ukasema kuwa kila kitu kwenye nyumba aliyokimbilia kuishi Mke mkubwa nicha watoto wa mke mdogo kwa kuwa Marehemu alisha Andika na kuwambia Wazazi wake kuwa Nyumba ya ujanani aliyo jenga kabla ya mama yangu kuishi naye na kuzaa naye ni ya watoto wake watatu aliye zaa n mke wake wandoa, ila hii mpya aliyojenga akiwa na mke mdogo yaan maa yang ni ya watoto 6 aliyo zaa na mama yangu.. Una ambiwa kile kikao cha ukoo kilivurugika kwa ugomvi mke mkubwa akawa moto na yule aliye kuwa kiongozi wa ukoo alikufa ndani ya week iliyofuata, Kukawa na viongozi wengine wanao chaguliwa Kushika nafasi ya Ukoo ila wakigusia haki za watoto wa mama yangu tu wanakufa, mpaka sasa Ninavyo ongea Baba wakubwa wa5 wote wamekufa kimaajabu. . na haki yetu hatuja ipata .. ndugu zangu karibia wote ni vichaa . nime baki mm tu ndio angalao nina jitambua..ingawa vita ya maisha yangu ni kubwa kama siyo kujificha katika maombi wangesha ni maliza..

Lakin kikubwa kinacho ni shangaza ni kuwa Baba anaonekana kule kijijin watu kazaa wana muona akiwa mchafu na manywele ila waki msogelea anapotea, mwanzoni tulidhani ni utani tukasema labda watu wanongea tu kwa kuwa yaliyotokea kweye familia yangu yameumiza watu wengi hadi majirani wa kule kijiji hivyo wanazusha tu kwa hasira walizo nazo juu ya mateso wanayo yaona kwa ndugu zangu.. Lakin sasa Hivi ni navyo ongea juzi tu mwezi wa kumi na moja mwaka huu uliyoisha. Kaka yangu mkubwa akiwa ndani kwake Katokewa na baba, kaamka zake aka kojoe ghafla akamuona mzee kakaa kwenye kochi ila haongei kitu alipo piga kelele mzee kapotea.


Jamani Uchawi Upo.. Ila naku hakikishia siku nikiingia kwenye Uchawi.. Nita angamizaa kizazi cha huyu Mwanamke mpaka kitukuu cha mwisho.. Naupima tu Uvumilivu wangu katika maombi.. Mungu aniongoze maana naijua nafsi yangu ilivyochoka na siku nikihamia kwa Shetani nitakuwa Shetani Halisi wala sita Igiza kabisa.

Pole mkuu inaumiza mno tena mno …. Uchawi upo ila kaza na maombi have faith mambo yatakaa Sawa tuu mkuu
 
Sijui kwa kweli nambie lengo ni nini?
Kumpunguzia mwanadamu uwezo wa kufikiri yaani awe tegemezi asitumie akili yake kutatua shida.
Hakuna shida yeyeto duniani ambayo huwezi itatua kwa akili yako.Sema akili za wengi zimeisha chaji thus utegemea waganga na manabii kufikiri badala yao.
Mungu alimuumba mwanadamu akiwa kakamilika na wala haitaji msaada toka kwenye nguvu nyingine.
 
Uchawi uchawi uchawi aaagh ptuu inachosha sasa..kila sehemu watu wanalia na madhara yatokayo na uchawi.
Mm nashindwa hata kuandika,nimeamua kumuachia Mungu tu kama ataamua kuniacha niendelee kuteswa,kunyanyaswa na kuonja joto ya jiwe na wachawi sawa tu si ameamua iwe hivyo bhana Ila mm nimechoka na sina msaada wowote kutoka popote zaidi yake.

Nimechoka kuona wenzangu wakisonga mbele mm nikiwa nyuma na wamwisho kila siku, nimechoka kudharaulika sababu sina maendeleo kama wenzangu,nimechoka pesa zangu kuishia kwenye matibabu,nimechoka na kuugua maradhi yasiyoisha mwilini mwangu.

Nimechoka kutibia wazazi,nimechoka kutibia wadogo zangu,nimechoka kutibia familia,nimechoka kuishi kwa huzuni na mateso.

Nimechoka kujaza namba za simu za madaktari na manesi,nimechoka kitembelea maduka yamadawa,nimechoka kunywa dawa,nimechoka kugeuza dawa mbadala wa Chakula.

Nimechoka dharau,kebehi,masengenyo na vijembe juu ya uduni wangu unaosababishwa na wao wenyewe,nimechoka nimechoka nimechoka.

Eeh Mungu Mwenyezi,Mfalme wa falme,Mmiliki wa mbingu na dunia na ukazisimamisha pasipo nguzo,Mfalme wa siku ya Malipo,Mwingi wa Rehma mwnye kurehemu.

Ulieniumba mm ukamuumba baba na mama yangu,ukawaumba bibi na babu zangu, ukaumba wanangu,ukaumba ulimwengu na vyote vilivyomo ndani yake,Nakuomba eeh Rabbi uninusuru mm pamoja na kizazi changu chote dhidi ya udhalimu wa shetani na hila Zake zote.

Ewe Mola wangu mtukufu,usieshindwa na chochote mana vyote ni Mali yako,hakuna kilichopo nje matakwa yako,hakuna linalowezekana ila kwa idhini yako..nakuomba uniponywe mm,waponye wazazi wangu, iponyewe familia yangu,iponye jamii yangu liponye taifa langu dhidi ya uchawi, ulozi,ushirikina,na hila zote ovu za shetani.

Ninakuomba utufungulie milango ya rizki zetu ziwe za halali,za wepesi na uzikinge dhidi ya mabaya yoyote.sisi bila ww hatuwezi kitu Mungu wangu.

Tupe afya tuondolee maradhi,tupe Neema tuondolee ufakiri na umaskini,tupe mioyo safi tuondolee chuki na husda,tupe upendo tuondolee huzuni fitna na majungu.

Eeh mola wetu mlezi,mwenye huruma,mwenye upendo na msikivu, tunaomba usikie Dua yetu,tunakuomba usikie kilio chetu.sisi ni wakosefu tu si wakamilifu,ukamilifu unao ww Mungu wetu mtukufu.

Ninaomba yote haya kwa imani yangu kwangu,na kwa imani za wenzangu ila naamini sisi sote tunakutukuza ww kwa njia tofauti.
Amiiin
Amiiin
Amiiin
Pole sana kwa mengi magumu unayopitia

M. Mungu akufanyie wepesi
 
Sawa usijari!
Unaweza kuwa na biashara Fulani sawa sawa na mtu X...

Wewe ukawa mchapakazi Sana Tena mwenye Hofu ya Mungu ..

Lakini mfanyabiashara X akawa na mtaji wa kawaida Sana Tena Sana.. rakini baada ya muda unashangaa anakupiga gape. Hapo huwa Kuna Siri! Ila Wengi hawataki kusema na wanaficha, Hakuna motivation speaker anaezungumzia kuhusu chuma ulete wao wanaamini katika pay yourself first ya the richest man in the Babylon....

Usione utajiri wa Mo ukajua Ni kurithi tu, ukiacha Mali Kuna vitu vingi sana amerithi...

So wewe Kama mfanyabiashara au mfanyakazi lazima uwe na akili ya kuchangamka...


Nina ndugu yangu Ana hardware zaidi za 10 dar es salaam.
Na migodi shinyanga, Ana mashamba mengi sana...

Ila kila mwaka lazima aende kwa wataalamu kujitapishwa dawa za limbwata anazopewa na wake zake guess what???

Wewe na ukapuku wako bado unamwamini mwanamke!!!!

Uchawi upo hasa wa kurudishana nyuma...

Nakupa my experience!
Nilikuwa na tabia ya kutumi fedha hovyo na pesa yangu huwa inapotea bila kuacha impact yoyote...

Nilijitahidi kusoma Sana vitabu na kubadilisha tabia lakini wapi kitabu Kama... The richest man in the Babylon... Poor Dad rich dad... The mirrioner in the next door na The money formula!!!

Bila manufaaa... Ila baada ya kwenda kwa mtaalamu kujisafisha nilibaini kuwa... Kuna ndugu zangu wanaamini Mimi nitakuja kuwa faraja kwa mzazi wangu

Kwaiyo wkaamua kuweka mazingira kuwa hela yangu isiwe na mchango wowote kwangu na kwa mama Yangu....

Nilikuwa sivai vizuri, sinywi pombe Sina makundi na makundi na hela sina...

Nakupa Siri, huwa Kuna mashetani wao kuja wakati una pesa kukushawishi kwa matumizi yasio na mbele Wala nyuma...

Hii Siri huwezi kusikika kwa mfanyabiashara Au motivation speaker yoyote..

Mwisho#
Miti imeubwa na Mungu Kama Tiba... Tumieni mitishamba...

Mfano baada ya kuweka au kulaza gari lako car parking kwa Malipo Kuna dawa ya mti Shamba unaweka kwenye gari. Au pikipiki

Mwizi akija wewe una amua afe baada ya siku moja .. au akute jiwe kubwa.....

Huoni Nina reduce cost ya kulaza gari kwa kununua mti Shamba????

Mwisho [emoji2]
Mkuu huu mti ni upi na mimi niwe naweka kwemye ka mkweche Kangu kila siku kulipa 2000 imenichosha.
 
Kumpunguzia mwanadamu uwezo wa kufikiri yaani awe tegemezi asitumie akili yake kutatua shida.
Hakuna shida yeyeto duniani ambayo huwezi itatua kwa akili yako.Sema akili za wengi zimeisha chaji thus utegemea waganga na manabii kufikiri badala yao.
Mungu alimuumba mwanadamu akiwa kakamilika na wala haitaji msaada toka kwenye nguvu nyingine.
Akili gani na hela hupati wewe
 
Back
Top Bottom