Mchawi kazi yake ni kuroga urudi nyuma, jilinde

Mchawi kazi yake ni kuroga urudi nyuma, jilinde

Sipo hapa kumshawishi mtu aingie kwenye ushirikina, sipo hapa kudharau Imani ya dini ya mtu yoyote... Ila Nipo hapa kusema ukweli...

Watu wanatupa moyo kuhusu mafanikio, wengi wao husema kufanya kazi kwa bidii ndio njia ya mafanikio! Wao huita hiyo ndio Siri!

Lakini Ndugu zangu nipo hapa kuwapa Siri ingine ya mafanikio! Sio kuua mzazi wa kutoa kafara Ila Ni kukulinda...Katina mafanikio au katika biashara yoyote.

Mtu asikuambie mtaji wa laki Tano ndio ulionifanya niwe na nyumba na magari! Tena wanasema nilifanya kazi Sana kwa bidii, na siri ya mafanikio yangu Ni kufanya kazi kwa bidiii! Huo Ni uongo mtupu...

Siri za mafanikio zipo kwenye Siri ya ushirikina moja, Ni wewe kujikinga kupitia ushirikina! Au kukinga biashara yako kwa ushirikina, usipozingatia Ayo maisha yako yatakuwa chini miaka nenda miaka rudi huku ukiona wengine wanashaini

Mchawi kazi yake sio kuroga tu kazi yake ingine Ni kurudisha nyuma maisha yako....

Karibuni 2022.
Imeandikwa hakuna uchawi wala uganga juu ya Yakobo, hili andiko unalielewa vipi?
 
walishavuka hiyo primitive stage, japo kuna karne zamani huko waliua sana wachawi..

sisi bado tuko primitive stage, tunapaswa kuanza kuwau wachawi, wajue jamii haiwapendi ili nao wapotee kabisa na jamii ipone..
Kuwaua wachawi sindio haki za binadamu zitaingilia kati, kwamba mnaua watu bila sababu
 
Sio Elimu tu, mpaka uhusiano na ndugu jamaa na marafiki zako!
Mchawi mtu mbaya Sana!
Unaweza kuwa umesoma sana, au unasoma Sana but you haverst Nothing jua tayari Kuna mkono wa mtu...

Wanajua kabisa ukifanikiwa wewe Basi ukoo wako umefanikiwa...

Yani mtangulize Mungu pia usishau kutembea Mana hata waganga wa jadi hutumia miti ambayo imeubwa na Mungu .
Hapa ni kumtanguliza Mungu tu kwa bidii,hiyo ya kutembea kwa waganga unaweza kukuta unazidi kujifunga...
 
Mimi nilikuwa na rangi yangu kumbe mchawi unachukua pesa yangu ananitumia kwenye mambo yake kila jambo lina mwisho nikagundua baada miaka 9 .sasa kuna siku kuna hela ilipotea jamaa akanielekeza kwa mtaalmu cha kushangaza namwona jamaa live kwenye kioo da nilishikwa na butwaa .huyo mtalaama anakuonyesha live no lamli .marafiki hawafai
 
Hilo andiko linaonyesha uchawi is not an ultimate power, ni takataka ambazo zina limitations......ndo maana kuna watu ambao wanamtegemea Mungu pekee na bado wana survive pamoja na attack ya hizo evil spirits, do you know why?
I know mkuu ila ukumbuke kutegemea Mungu ili ufanikiwe unatakiwa uwe clean 100% ufate amri zote kikamilifu! Kwenye maisha ya mapambano vipengele ni vingi ntataka nitmbe, ntakunywa pombe, ntatukana hayo ya kufata amri zote ntayawezea wapi!

Roho mtakarifu unatakiwa uwe naye ili kujikinga na mabalaa na huyu hakai kwako kama hufuati misingi ya kuishi kwa amri za mungu so utaatakiwa tu pamoja na imani yako ambayo itakuwa hafifu.

Mwisho wa siku kila mtu anapambana na njia ambayo anaona itamletea matokeo. Kama mitishamba ni dawa pia basi wapo wanaotumia inawafaa waachwe.
 
I know mkuu ila ukumbuke kutegemea Mungu ili ufanikiwe unatakiwa uwe clean 100% ufate amri zote kikamilifu! Kwenye maisha ya mapambano vipengele ni vingi ntataka nitmbe, ntakunywa pombe, ntatukana hayo ya kufata amri zote ntayawezea wapi! Roho mtakarifu unatakiwa uwe naye ili kujikinga na mabalaa na huyu hakai kwako kama hufuati misingi ya kuishi kwa amri za mungu so utaatakiwa tu.

Mwisho wa siku kila mtu anapambana na njia ambayo anaona itamletea matokeo. Kama mitishamba ni dawa pia basi wapo wanaotumia inawafaa waachwe.
Aliyekwambia kuna binadamu mkamilifu ni nani? binadamu toka anazaliwa siyo mkamilifu lakini ukijibidiisha kuishi makusudi ya Mungu unapata ulinzi kutoka kwake......mfalme Daudi alikuwa na mapungufu yake hadi anakiri hatia mbele za Mungu lakini Mungu alikuwa anamlinda na kumwezesha kushinda vita dhidi ya maadui zake, do you know why? ni kwa sababu aliweka tumaini lake kwa bwana. Ndo maana kwenye baadhi ya maneno kwenye zaburi zake anasema "Bwana alikuwa tegemeo langu, akanitoa akaniweka panapo nafasi, aliniponya kwa kuwa alipendezwa nami"
 
Aliyekwambia kuna binadamu mkamilifu ni nani? binadamu toka anazaliwa siyo mkamilifu lakini ukijibidiisha kuishi makusudi ya Mungu unapata ulinzi kutoka kwake......mfalme Daudi alikuwa na mapungufu yake hadi anakiri hatia mbele za Mungu lakini Mungu alikuwa anamlinda na kumwezesha kushinda vita dhidi ya maadui zake, do you know why? ni kwa sababu aliweka tumaini lake kwa bwana. Ndo maana kwenye baadhi ya maneno kwenye zaburi zake anasema "Bwana alikuwa tegemeo langu, akanitoa akaniweka panapo nafasi, aliniponya kwa kuwa alipendezwa nami"
Ndio maana nikasema if it works for you komaa nayo! Nachoamini watu wengi wanaomba Mungu na kuna wanaoona matokeo wengine hawaoni ila kimsingi wapo wanaotumia na njia za asili wanafanikwa vizuri tu.
 
Ndio maana nikasema if it works for you komaa nayo! Nachoamini watu wengi wanaomba Mungu na kuna wanaoona matokeo wengine hawaoni ila kimsingi wapo wanaotumia na njia za asili wanafanikwa vizuri tu.
Si kweli kusema kwamba ukimtegemea Mungu huwezi kufanikiwa, hakuna binadamu yoyote katika historia aliyeishi kikamilifu na Mungu akakosa kufanikiwa. Kama vitu vyote ni vya kwake atashindwa vipi kukufanikisha. Ikiwa nguvu za giza ndo zimekupa mafanikio, basi wewe ni mfuasi wa hizo nguvu za giza na huna sehemu katika Mungu Mwenyezi, kimsingi unakuwa umepotea gizani ingawaje wewe utaona umefanikiwa........kuna habari za kufanikiwa kwa kuku kudonoa punje za mahindi kwa mganga kule Iringa nafikiri, ambapo unaweza kuwa tajiri wa kutisha ukaishi miaka idadi ya punje alizodonoa kuku, nafikiri ndo mafanikio ya aina hii unayoongelea hapa......​
 
Si kweli kusema kwamba ukimtegemea Mungu huwezi kufanikiwa, hakuna binadamu yoyote katika historia aliyeishi kikamilifu na Mungu akakosa kufanikiwa. Kama vitu vyote ni vya kwake atashindwa vipi kukufanikisha. Ikiwa nguvu za giza ndo zimekupa mafanikio, basi wewe ni mfuasi wa hizo nguvu za giza na huna sehemu katika Mungu Mwenyezi, kimsingi unakuwa umepotea gizani ingawaje wewe utaona umefanikiwa........kuna habari za kufanikiwa kwa kuku kudonoa punje za mahindi kwa mganga kule Iringa nafikiri, ambapo unaweza kuwa tajiri wa kutisha ukaishi miaka idadi ya punje alizodonoa kuku, nafikiri ndo mafanikio ya aina hii unayoongelea hapa......​
Mkuu hujanielewa!

Mie sijazungumzia mafanikio ya kuloga au kutumia majini. Kuna mabalaa na mikosi ambayo tunategewa na ndugu jamaa au marafiki tunaoishi nao.

Kuna madawa ya asili ambayo kazi yake ni kuondosha hizo negative energies yapo madukani. Sio lazima uende kwa Mganga. So unaweza ukawa unaomba Mungu kwa imani yako kisha unatumia dawa za kusafisha nuksi na mikosi na mambo yakaenda vyema tu.

Ukifungwa kichawi hata ukeshe madhabauni utateseka. Wapo watu ni wagonjwa wamemaliza makanisa kwa mahospitali ila wamepona kwa tiba za asili.
 
Mkuu hujanielewa!

Mie sijazungumzia mafanikio ya kuloga au kutumia majini. Kuna mabalaa na mikosi ambayo tunategewa na ndugu jamaa au marafiki tunaoishi nao.

Kuna madawa ya asili ambayo kazi yake ni kuondosha hizo negative energies yapo madukani. Sio lazima uende kwa Mganga. So unaweza ukawa unaomba Mungu kwa imani yako kisha unatumia dawa za kusafisha nuksi na mikosi na mambo yakaenda vyema tu.

Ukifungwa kichawi hata ukeshe madhabauni utateseka. Wapo watu ni wagonjwa wamemaliza makanisa kwa mahospitali ila wamepona kwa tiba za asili.
Umemaliza kila kitu[emoji91]
 
Mkuu hujanielewa!

Mie sijazungumzia mafanikio ya kuloga au kutumia majini. Kuna mabalaa na mikosi ambayo tunategewa na ndugu jamaa au marafiki tunaoishi nao.

Kuna madawa ya asili ambayo kazi yake ni kuondosha hizo negative energies yapo madukani. Sio lazima uende kwa Mganga. So unaweza ukawa unaomba Mungu kwa imani yako kisha unatumia dawa za kusafisha nuksi na mikosi na mambo yakaenda vyema tu.

Ukifungwa kichawi hata ukeshe madhabauni utateseka. Wapo watu ni wagonjwa wamemaliza makanisa kwa mahospitali ila wamepona kwa tiba za asili.
Unamaanisha nguvu za Mungu ni limited hadi uzi boost na dawa za kienyeji za kuondoa mikosi na nuksi........kwamba nguvu za Mungu zinakuwa limited na vifungo vya kichawi!? mkuu unahitaji kujielimisha zaidi kwenye kujua nguvu na mamlaka ya Mungu Mwenyezi.........
 
Back
Top Bottom