Mchawi kazi yake ni kuroga urudi nyuma, jilinde

Mchawi kazi yake ni kuroga urudi nyuma, jilinde

Sawa usijari!
Unaweza kuwa na biashara Fulani sawa sawa na mtu X...

Wewe ukawa mchapakazi Sana Tena mwenye Hofu ya Mungu ..

Lakini mfanyabiashara X akawa na mtaji wa kawaida Sana Tena Sana.. rakini baada ya muda unashangaa anakupiga gape. Hapo huwa Kuna Siri! Ila Wengi hawataki kusema na wanaficha, Hakuna motivation speaker anaezungumzia kuhusu chuma ulete wao wanaamini katika pay yourself first ya the richest man in the Babylon....

Usione utajiri wa Mo ukajua Ni kurithi tu, ukiacha Mali Kuna vitu vingi sana amerithi...

So wewe Kama mfanyabiashara au mfanyakazi lazima uwe na akili ya kuchangamka...


Nina ndugu yangu Ana hardware zaidi za 10 dar es salaam.
Na migodi shinyanga, Ana mashamba mengi sana...

Ila kila mwaka lazima aende kwa wataalamu kujitapishwa dawa za limbwata anazopewa na wake zake guess what???

Wewe na ukapuku wako bado unamwamini mwanamke!!!!

Uchawi upo hasa wa kurudishana nyuma...

Nakupa my experience!
Nilikuwa na tabia ya kutumi fedha hovyo na pesa yangu huwa inapotea bila kuacha impact yoyote...

Nilijitahidi kusoma Sana vitabu na kubadilisha tabia lakini wapi kitabu Kama... The richest man in the Babylon... Poor Dad rich dad... The mirrioner in the next door na The money formula!!!

Bila manufaaa... Ila baada ya kwenda kwa mtaalamu kujisafisha nilibaini kuwa... Kuna ndugu zangu wanaamini Mimi nitakuja kuwa faraja kwa mzazi wangu

Kwaiyo wkaamua kuweka mazingira kuwa hela yangu isiwe na mchango wowote kwangu na kwa mama Yangu....

Nilikuwa sivai vizuri, sinywi pombe Sina makundi na makundi na hela sina...

Nakupa Siri, huwa Kuna mashetani wao kuja wakati una pesa kukushawishi kwa matumizi yasio na mbele Wala nyuma...

Hii Siri huwezi kusikika kwa mfanyabiashara Au motivation speaker yoyote..

Mwisho#
Miti imeubwa na Mungu Kama Tiba... Tumieni mitishamba...

Mfano baada ya kuweka au kulaza gari lako car parking kwa Malipo Kuna dawa ya mti Shamba unaweka kwenye gari. Au pikipiki

Mwizi akija wewe una amua afe baada ya siku moja .. au akute jiwe kubwa.....

Huoni Nina reduce cost ya kulaza gari kwa kununua mti Shamba????

Mwisho [emoji2]
Kwema mzee
 
Kaka ina uma sana.. Napitia magumu sana
Ulitakiwa uwe mtu mkubwa mno now, ila ona umekuwa wa kawaida(si wa kishua tens), kweli mchawi mbaya. Hapo ukikutana na mtu ukamuambia sisi tulikuwa wa kishua atakataa, mchawi mbaya. Sorry kama nakosea, ila nimewaza tu kaka. Utasimama tena kwa kishindo.

Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
 
Nilikua siamini uchawi kabisa mimi na baba yangu, ila kilicho mtokea mdogo wangu mbele ya macho yangu 2009, ndipo nikaamini uchawi upo baba katika maisha yake hakuwai kutoa chozi alipofiwa na bibi na babu, lakini siku hiyo machozi yalimtoka,hivi vitu visikie kwa wenzio.
 
Sawa usijari!
Unaweza kuwa na biashara Fulani sawa sawa na mtu X...

Wewe ukawa mchapakazi Sana Tena mwenye Hofu ya Mungu ..

Lakini mfanyabiashara X akawa na mtaji wa kawaida Sana Tena Sana.. rakini baada ya muda unashangaa anakupiga gape. Hapo huwa Kuna Siri! Ila Wengi hawataki kusema na wanaficha, Hakuna motivation speaker anaezungumzia kuhusu chuma ulete wao wanaamini katika pay yourself first ya the richest man in the Babylon....

Usione utajiri wa Mo ukajua Ni kurithi tu, ukiacha Mali Kuna vitu vingi sana amerithi...

So wewe Kama mfanyabiashara au mfanyakazi lazima uwe na akili ya kuchangamka...


Nina ndugu yangu Ana hardware zaidi za 10 dar es salaam.
Na migodi shinyanga, Ana mashamba mengi sana...

Ila kila mwaka lazima aende kwa wataalamu kujitapishwa dawa za limbwata anazopewa na wake zake guess what???

Wewe na ukapuku wako bado unamwamini mwanamke!!!!

Uchawi upo hasa wa kurudishana nyuma...

Nakupa my experience!
Nilikuwa na tabia ya kutumi fedha hovyo na pesa yangu huwa inapotea bila kuacha impact yoyote...

Nilijitahidi kusoma Sana vitabu na kubadilisha tabia lakini wapi kitabu Kama... The richest man in the Babylon... Poor Dad rich dad... The mirrioner in the next door na The money formula!!!

Bila manufaaa... Ila baada ya kwenda kwa mtaalamu kujisafisha nilibaini kuwa... Kuna ndugu zangu wanaamini Mimi nitakuja kuwa faraja kwa mzazi wangu

Kwaiyo wkaamua kuweka mazingira kuwa hela yangu isiwe na mchango wowote kwangu na kwa mama Yangu....

Nilikuwa sivai vizuri, sinywi pombe Sina makundi na makundi na hela sina...

Nakupa Siri, huwa Kuna mashetani wao kuja wakati una pesa kukushawishi kwa matumizi yasio na mbele Wala nyuma...

Hii Siri huwezi kusikika kwa mfanyabiashara Au motivation speaker yoyote..

Mwisho#
Miti imeubwa na Mungu Kama Tiba... Tumieni mitishamba...

Mfano baada ya kuweka au kulaza gari lako car parking kwa Malipo Kuna dawa ya mti Shamba unaweka kwenye gari. Au pikipiki

Mwizi akija wewe una amua afe baada ya siku moja .. au akute jiwe kubwa.....

Huoni Nina reduce cost ya kulaza gari kwa kununua mti Shamba????

Mwisho [emoji2]
Mr p pengine unayosema ni kweli tupu lakini siku izi matepeli wengi ni wapi unaweza ukampata mtu wa ukweli atakaye kuwa tayari kukusaidia bila kutanguliza hela mbele

Sent from my SM-J700F using JamiiForums mobile app
 
Kulitokea nini?
Nakumbuka ilikuwa mwezi wa 11 ,2009 saa kumi na moja kasoro alfajiri dogo kapandisha akawa mavitu ya ajabu, misuli ya kichwa imemtoka anatokwa na jasho anaongea vitu vya ajabu, kwa kifupi tulichanganyikiwa wote. Ila bi mkubwa kidogo alikuwa na ujasiri akaingia ndani akachukua maji ya baraka akamwagia akatulia, ikapita robo saa akapandisha tena hapo ndipo baba machozi yalimtoka,dogo akawa anaongea vitu vya ajabu viki muhusisha jirani yetu ambaye tuna mtreat kama ndugu yetu.

Mama akamwagia tena chupa nzima ya maji ya baraka, ndipo akatulia tukamchukua na kumpeleka kanisani,bahati nzuri kulikuwa na padri ambaye alikuwa na karama, akamwombea akamwagia maji ya baraka na kumpa ekaristi ndipo akatulia. Baadae tuna mama yetu mdogo yeye ni mkaristimatiki akawa anaenda nae kwenye ibada zao kila siku kama mwezi ndipo akatulia.

Hivi vitu vipo na husiombee vikutokee halafu hauna idea.

Mimi nina mwanangu yupo vizuri sana kwenye mambo ya IT kila akijaribu kuapply kazi zina buma, anaishia kupata vitempo. Kuna ostazi mmoja akamchana nenda kwa shekhe fulani akakufanyie dua. Jamaa mwanzo alikuwa anakaza, ila hali ilivyozidi kuwa ngumu akaenda, akapigwa dua,huwezi amini ndani ya mwezi huo huo aliitwa interview na kupata kazi mpaka leo yupo kwenye ajira anakunja 2.9m ni mtaalam wa Database.Mwisho wa siku alikuja kugundua aliye mchezea ni shangazi yake, hakupiga bao ila aliota shangazi yake anamvuta arudi ndani, ikawa kila akimsalimia shangazi yake mwezi mzima haitikii salam yake.

Hawa wazee wetu wa zamani walio ipigania uhuru nchi hii,nao kwenye harakati zao walikuwa wanaenda sana kuchungulia na kujipa kinga. Nilitizama kipindi cha Mswahili na Zembwela Wasafi TV,Nyerere kipindi kile kabla ya uhuru alikuwa anaenda sana kwa Shekhe Ramia na alipelekwa na wazee wenzake.
 
Hua nashangaa sana hizi mentality za kijinga mkuu

Ni amani na furaha ipi mtu anaipata kwa kuteseka miaka 25 ?! Ukimwambia maisha sio pesa ..

Kuna mentality fulan ya kijinga sana baadhi ya watu hudhani wenye pesa hawana amani na furaha ...
Watoto wake watamchapa mwenyewe[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]
 
Kwamba unamwomba Mungu huku umefunga booster, hahahaha........wewe jamaa bhana, Mungu hachanganywi na uganga wala ulozi. Ukisoma biblia waisreali walitakiwa kujitakasa kwanza kwa kutubu dhambi na kutupa hirizi na masanamu ya miungu yao kabla Mungu hajashuka. Huwezi kuita nguvu au uwepo wa Mungu huku umefunga hirizi na mitishamba, that will be suicidal.......ukikutana na waisraeli waliokuwepo kipindi Mungu anashuka mlima Sinai waulize mtiti wake ulikuwaje.......
Unawaongelea vipi kina mwendazake waliokua wanaombewa na wachungaji, machifu, waganga , wachawi n.k
Kwenye mikutano yao?
 
Back
Top Bottom