Mchawi wa Yanga ni mfumo wa uongozi. Msolla na Mwakalebela waondoke kwanza

Mchawi wa Yanga ni mfumo wa uongozi. Msolla na Mwakalebela waondoke kwanza

Kuna siku niliuliza humu.
Gsm ni nani pale yanga.
Mfadhili,msaidizi,au muwekezaji.watu hawakunielewa.
Inafikia hatua Gsm anakaa na mikataba ya wachezaji.
Analoongea Gsm ndo hilo hilo.
wakiambiwa wawape timu Gsm kama Simba walichofanya wanakimbilia kusema wao ni timu ya wananchi.
Timu yao haiwezi kumilikiwa na MTU mmoja.sasa unajiuliza Gsm anavyotoa hela zake unadhani anasaidia,ana fadhili au anawekeza?hela zake zitarudi vipi?
Hela zake zitarudi vipi hilo mimi sijui, labda waje hapa wanaojua watuambie. Tunachopenda aendele kutoa hiyo sapoti ili huku mtaani pachangamke.
Au nasema uongo ndugu zangu
 
Na hapo ndipo tatizo lilipo pale yanga.
Wana mipango mingi ila hawajui wataitimiza vipi.
Walimchukua senzo kawasaidia nini?
Walidhani mafanikio ya Simba ni senzo ndo kaleta Leo senzo yupo kwao kawasaidia nini?
Hela zake zitarudi vipi hilo mimi sijui, labda waje hapa wanaojua watuambie. Tunachopenda aendele kutoa hiyo sapoti ili huku mtaani pachangamke.
Au nasema uongo ndugu zangu
 
Na hapo ndipo tatizo lilipo pale yanga.
Wana mipango mingi ila hawajui wataitimiza vipi.
Walimchukua senzo kawasaidia nini?
Walidhani mafanikio ya Simba ni senzo ndo kaleta Leo senzo yupo kwao kawasaidia nini?
Senzo ni consertant pale yanga, sijui niko sahihi.ila cheo chake ili kiweze kufanya kazi vizuri inabidi wafanye mabadiliko ya kiuendeshaji.
In short ni kwamba walikurupuka tu kumuajiri. Wacha aendelee kupiga pesa huku akilipa kodi
 
Wakiondoka wakaja wengine mnaanza kuwakumbuka tena. Mtasema bora Msola na. Wakalebela
 
Kuna siku niliuliza humu.
Gsm ni nani pale yanga.
Mfadhili,msaidizi,au muwekezaji.watu hawakunielewa.
Inafikia hatua Gsm anakaa na mikataba ya wachezaji.
Analoongea Gsm ndo hilo hilo.
wakiambiwa wawape timu Gsm kama Simba walichofanya wanakimbilia kusema wao ni timu ya wananchi.
Timu yao haiwezi kumilikiwa na MTU mmoja.sasa unajiuliza Gsm anavyotoa hela zake unadhani anasaidia,ana fadhili au anawekeza?hela zake zitarudi vipi? KAJA PALE KWA MASLAHI KUUZA JEZI NA KUTANGAZA BIDHAA ZAKE ....KAMATI YA UTENDAJI NA UONGOZI WOTE WABOVU HATA AKIJA KOCHA GANI ATASEPA TUUUUU.....
 
Ivi Mo kapewa lini Simba.....hakuna

Kuna ugumu fulani wanamuwekea wale fcc lakini kila kitu kinachohusu mchakato kimemalizika.....

Ipo siku mudi ataundiwa zengwe la hatari na timu kuibwaga hapo hapo....
 
Back
Top Bottom