Pre GE2025 Mchekeshaji mzee Shayo apiga magoti kupokea bahasha ya maokoto kutoka kwa Rais Samia. Ampigia debe urais 2025

Pre GE2025 Mchekeshaji mzee Shayo apiga magoti kupokea bahasha ya maokoto kutoka kwa Rais Samia. Ampigia debe urais 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Walinzi wa viongozi wa Afrika ni vichekesho tosha
 
Kwa jinsi maisha yalivyo magumu, hata mimi sasa hivi mtu akinipa pesa lazima nitampigia magoti.
Kwa maoni yangu kipindi kile Cha Magu vyuma havikukaza.

NAONA SAFARI HII VYUMA VIMEKAZA KWERI KWERI.

VYUMA VIMEKAZA SIO POA AU MIMI WATU WAMENIROGA DEAL HAZIENDI KABISA 🧐 🤔
 
Wakuu

Hii ni aibu kubwa kwa vijana wa taifa hili. Mpaka rais anafurahia uchawa na kuona ni kitu cha kawaida tu!

===

Huu uchawa sasa umepitiliza, tazama mchekeshaji maarufu mzee Shayo akipiga magoti kupokea bahasha ya Maokoto kutoka kwa Rais Samia baada ya kumpigia debe urais 2025 kwenye tukio la Madhimisho ya Miaka 10 ya Programu ya Mwanamke Kiongozi Ukumbi wa The Super Dome Masaki Dar es Salaam, leo tarehe 21 Februari,2025.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Njaa imefanya wanaume wajishushe dhamani mbele ya jamii, uchawa umekuwa ni new way ya kutafuta hela

Na jamii ipo inatazama
 
Ujinga
Umaskini
Maradhi
Uchawa
Ni laana Kwa taifa hili
Wakuu

Hii ni aibu kubwa kwa vijana wa taifa hili. Mpaka rais anafurahia uchawa na kuona ni kitu cha kawaida tu!

===

Huu uchawa sasa umepitiliza, tazama mchekeshaji maarufu mzee Shayo akipiga magoti kupokea bahasha ya Maokoto kutoka kwa Rais Samia baada ya kumpigia debe urais 2025 kwenye tukio la Madhimisho ya Miaka 10 ya Programu ya Mwanamke Kiongozi Ukumbi wa The Super Dome Masaki Dar es Salaam, leo tarehe 21 Februari,2025.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

 
Wakuu

Hii ni aibu kubwa kwa vijana wa taifa hili. Mpaka rais anafurahia uchawa na kuona ni kitu cha kawaida tu!

===

Huu uchawa sasa umepitiliza, tazama mchekeshaji maarufu mzee Shayo akipiga magoti kupokea bahasha ya Maokoto kutoka kwa Rais Samia baada ya kumpigia debe urais 2025 kwenye tukio la Madhimisho ya Miaka 10 ya Programu ya Mwanamke Kiongozi Ukumbi wa The Super Dome Masaki Dar es Salaam, leo tarehe 21 Februari,2025.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Sasa utampigia mahoti kibaraka Lisu choka mbaya Ili akusaidie nini?
 
Samia anatakiwa akemee hii tabia ya kuabudiwa.
 
Kwa jinsi maisha yalivyo magumu, hata mimi sasa hivi mtu akinipa pesa lazima nitampigia magoti.
ephen magoti gani kama hayo ya shayo ama haya nayofikiria mimi..?🤣
 
Back
Top Bottom