Ilikuwa unaweza kuwaacha watoto wakiangalia peke bila hofu ya maujinga ya siku hizAsee. Apumzike kwa amani. Kwa wakati wao kama KAOLE SANAA GROUP ! walitupa burudani kwa hakika , siyo maigizo au sinema za wakati huu ni mambo ya mapenzi tu
Mzee Yusufu Kaimu mchekeshaji mkongwe maarufu kama Pembe afariki dunia alasiri ya leo jijini Dar es Salaam. Taarifa zimethibitishwa na Msanii wa Filamu, Vincent Kigosi “Ray” na taratibu za mazishi zinafuat,pole kwa ndugu jamaa na marafiki wote
Si ilikuwa juzi leo jpiliSi juzi tuu hapa walikua na yule mwaisa sijui wamepewa ubalozi gani..
Liwe linatumika kupigia wasanii wanaoimba nyimbo za ki pdiddy p diddy😃Rungu lake likatunzwe either Makumbusho au ofisi za BASATA
Kama kawaida yao,Unafki time sasa
Ngoja tuwasikie wanafki sasa
Ova