Sendoro Mbazi
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 3,329
- 2,169
Yaani hata baada ya kufungua soko la nje hawapati faida?Kinacho wagharimu wakulima wapo kimya hawasemi ukweli kama hakuna faida wanazopata
Serikali inawaangalia wakulima wakubwa wakubwa tu
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Unafikiri ni wakulima basi ndo hufanya hivi ni walanguzi na madalaliKwa Bei ya 3,600? [emoji3][emoji3] kiberiti kilikuwa kinatingishwa [emoji44] acheni tule wa plastic na ninyi mtakula wa kuzalisha wenyewe na familia zenu, tatizo wakulima wetu hawajifunzi au sijui NI wasahaulifu maana kwa awamu ya nne walifanya hivi hivi Tena walimjibu mbovu mpaka Raisi, ulipoletwa mchele wakaanza kulalamika hakuna soko, nashukuru Serikali haikujibu kitu walishusha wenyewe Sasa wajiandae Yale Yale yanajirudia.
Ni bore uje nje ili kuwe na equilibrium katika bei maanake Sasa ni kama watu wanafanya kusudi
Nimecheka sana kwa hiyo mchele unaopelekwa nchini ni makapi lakini mchele wanauza wao nje ya nchi sio makapi 🤣🤣🤣Una uhakika gani kama huo mchele unaoletwa ni makapi? Nyinyi mchele mnao wauzia Wakenya na Wasomali ni makapi?
Wewe kijana wa Moo mbona unaleta story za kufikirika! Unataka kusema hakuna mamlaka ya chakula na dawa nchini kwa ajili ya kuchunguza ubora wa huo mchele!
Kama hamtaki mchele wa nje why huwa mnalalamika mfumuko wa bei? Ila hii nchi no wonder JPM alikua anafanya maamuzi anavyojiskia sababu hamueleweki mnataka Nini.Kwa hiyo kwako bora tuanze kula makapi ya bei rahisi, umenikumbusha wale sangara na sato wa ziwa Victoria waliokuwa wakipandishwa ndege kwenda ulaya, huku wabongo tunakula mapanki, hakika tumeshazoeshwa kula mitumba, afya kwetu sio issue tena, muhimu tumbo lijae!.
Kwanza hakuna kitabu Cha ngono kinatumika mashuleni acheni kupotosha. Pili ni shule Gani ya Kitanzania inatumia hivyo vitabu vya wimpy kid? Yaani kitabu kilichopo IST pekee ndio ulitaka serikali ikijue? Ingekua kinatumika Kila shule mfano Mabala the farmer n.k.obviously serikali ingezuia mapema maana ipo public.Kwani wizara ya elimu haikuwepo hadi vitabu vya ngono vimeingizwa mashuleni ndio wanakuja kujua?
Mchele wa kwetu ni mchele bora sana ukilinganisha na huo wa kutoka nje.Mtanzania hawezi kuzalisha mchele mbovu kwa ladha na harufu na wakati yeye mwenyewe ni mtumiaji wa zao hilo.Tunatakiwa kujua kwa Nini sisi tuwe na Michele wabei kubwana wa nje uje kwa bei ya chini?
Kwa Nini hatuwezi kuzalisha Michele wa bei ya chini ili pia wananchi wasiumie na bei kubwa na tuweze kuuza nje kma huo unaotoka huko?
Waziri wa viwanda anatakiwa kutuambia ni kwa nini?
[emoji23][emoji23][emoji23]Utafikiri ulishawahi kula huo mchele wa nje na ukafurahia ladha yake.Wenye pesa zetu tutaendelea kula mchele bora wa ndani kwa bei yoyote.Bei ingepanda kwa shilingi 50 tu au 100 tungesema ni kawaida. Wewe mchele unapanda bei kwa 100% yaani kutoka 2000 kwa kilo hadi 4000 halafu unasema nini hapo?!
Hapa suluhu ni mchele kuingizwa tena tani nyingi hadi kilo iuzwe 1000 ili watu wapate chakula. Watu wanakula kwa hofu sana. Food security ipo very low yaani kwasasa tunawasi wasi sambamba na wakimbizi wa huko sudani au watu wanaoishj taifa lenye ukame mkali.
Ungejiuliza pia ni sababu zipi zinawapelekea watu wa mataifa mengine kununua mchele wa Tz wa gharama kubwa na kuacha mchele wa nchi zingine wa gharama ndogo ili hali hupo?.Yaani unaacha kuwaonea huruma raia ambao hawana hatia wanaishi mjini na kutegemea chakula kitokea shamba unawaonea huruma hawa wachuuzi wanao nunua mchele kwa bei ya chini na kuuza mipakani kwa bei ya juu kisha uhaba umetokea wameenda kuuficha mchele ili mfumuko wa bei uwafaidishe.
Naomba tu upambane na hali yako but mchele uigizwe tena mara 100 ya mahitaji ili tukomeshe huu mfumuko wa bei maana tunashindwa kuwaza maendeleo tunawaza tutakula nini leo au familia itakula nini.