Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaoumia sio wakulima ila ni matapeli wanaojificha nyuma ya mgongo wa mkulima..Tatizo lilianza pale bei ya mchele ilipopanda, solution ikawa kuruhusu mchele wa nje kuingia. Kwa hiyo wanaoumia ni wakulima kwa sababu mchele utakapoingia utashusha bei ya mchele masokoni
Serikali si inasema ina takwimu? Ndio izifanyie kazi sasaTakwimu zipii sasa
Unadhani hawataomba tena?Sio rahisi Mkuu
Leo hii tutachat hapa ni Mwezi February, hadi muda wakulima wanakuja kuvuna inakuwa tayari ni Julai, ambapo huo Mchele wa kibali unakuwa umeshaisha.
Kwann usije babuuuu.....huo mchele nautafuta balaa usawa huu"Msije kutuletea tena ule wa Thailand Nusu kilo manakula watu 18 na unabaki kiporo cha chai"🙌.......pitia Account za Instagram na Facebook za ITV zilizopost hii taarifa usome maoni utajifunza vitu vingi sana. hiyo ni moja ya comment
Wanao nufaika na mchele wa 4000 kwa kg sio wakulima ni walanguzi na wafanya biashara tuu.Tatizo lilianza pale bei ya mchele ilipopanda, solution ikawa kuruhusu mchele wa nje kuingia. Kwa hiyo wanaoumia ni wakulima kwa sababu mchele utakapoingia utashusha bei ya mchele masokoni
Tunatakiwa kujua kwa Nini sisi tuwe na Michele wabei kubwana wa nje uje kwa bei ya chini?Mchele kutoka nje Je tumejiridhisha kwamba uliopo nchini hautoshi?
Je uzalishaji wetu wa mchele ni kiasi gani, mahitaji kiasi gani na upungufu kiasi gani
Hizo tani elf 90 za mchele zitaingizwa kwa muda gani
Je wakulima walioko shamba kwa sasa mchele wao watauza wapi wakikutana na huo wa nje?
Mchele wa nje inaweza kuwa jambo jema ila nakumbuka wosia wa Mwigulu bungeni hivi majuzi alisema mambo ya dharura ni lazima kuwa nayo makini vinginevyo unaweza kubeba na Deal za watu.
MmmmmmhSerikali si inasema ina takwimu? Ndio izifanyie kazi sasa
Mazao siku zote hayamnufaishi mkulima, anaye nufaika ni dalali na mfanyabiashara basi.Tatizo lilianza pale bei ya mchele ilipopanda, solution ikawa kuruhusu mchele wa nje kuingia. Kwa hiyo wanaoumia ni wakulima kwa sababu mchele utakapoingia utashusha bei ya mchele masokoni
Madalali ndio wenye mpunga wakulima wapo shamba mnafikiria sisi tunatoka Yemen hatuijui nchi yetu na tabia za wakulima wetu.Acha ujinga wewe,Mimi mpunga nimeuza February hii unasema hatuna mpunga!!..na si peke yangu,mmeshupalia walanguzi walanguzi...yaani wakulima hatuwezi kuhifadhi mazao yetu!!?
Yaani unaacha kuwaonea huruma raia ambao hawana hatia wanaishi mjini na kutegemea chakula kitokea shamba unawaonea huruma hawa wachuuzi wanao nunua mchele kwa bei ya chini na kuuza mipakani kwa bei ya juu kisha uhaba umetokea wameenda kuuficha mchele ili mfumuko wa bei uwafaidishe.Tatizo lilianza pale bei ya mchele ilipopanda, solution ikawa kuruhusu mchele wa nje kuingia. Kwa hiyo wanaoumia ni wakulima kwa sababu mchele utakapoingia utashusha bei ya mchele masokoni
Hii 23,000 ni kilo au bei ya debe haujaeleweka.Wote waliofucha michele kwenye maghala after hiyo kauli watatoa michele Yao sioni mchele itakuwa inachezea 23000
Yaani hapa mkulima anachezeshwa muziki kwa lazima na hawa madalali na walanguzi.Hiki kilio sio cha wakulima bali madalali na walanguzi,wakulima chakula washamaliza kuuza tokea mwaka jana, sasa hivi wapo mashambani wanalima.
Kwangu mimi naona sawa ,ila serikali watakadilia kiwango cha chakula cha kuagizwa let's say kwa miezi miwili au mitatu kwani naamini baada ya miezi hyo hali ya chakula itatengemaa.Yaani hapa mkulima anachezeshwa muziki kwa lazima na hawa madalali na walanguzi.
Muda sio mrefu wakulima wataanza kuvuna.. kutokana na uagizaji wa mchele kutoka nje,kwa hiyo bei ya mpunga/mchele itakuwa chini sana.
Hapa bado mkulima ataumia pia.
Hapa tatizo sio wakulima,tunawaonea sana wakulima. Tatizo ni hawa watu wa kati..madalali na walanguzi, tena humo humo wamo hadi wanasiasa na wafanyabiashara wakubwa.Kwa Bei ya 3,600? [emoji3][emoji3] kiberiti kilikuwa kinatingishwa [emoji44] acheni tule wa plastic na ninyi mtakula wa kuzalisha wenyewe na familia zenu, tatizo wakulima wetu hawajifunzi au sijui NI wasahaulifu maana kwa awamu ya nne walifanya hivi hivi Tena walimjibu mbovu mpaka Raisi, ulipoletwa mchele wakaanza kulalamika hakuna soko, nashukuru Serikali haikujibu kitu walishusha wenyewe Sasa wajiandae Yale Yale yanajirudia.
Comment za Facebook? Yaani maoni ya vil.aza ndio unachukulia ni facts?"Msije kutuletea tena ule wa Thailand Nusu kilo manakula watu 18 na unabaki kiporo cha chai"🙌.......pitia Account za Instagram na Facebook za ITV zilizopost hii taarifa usome maoni utajifunza vitu vingi sana. hiyo ni moja ya comment