Ujamaa ni mhimu
JF-Expert Member
- Sep 30, 2022
- 1,203
- 1,011
Takwimu zipii sasaHakuna anaelia, ila iwe na takwimu sahihi ili ifanye maamuzi sahihi kutokana na takwimu na sio kelele za mitandaoni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Takwimu zipii sasaHakuna anaelia, ila iwe na takwimu sahihi ili ifanye maamuzi sahihi kutokana na takwimu na sio kelele za mitandaoni
Uje tu mana tuliyataka wenyewe.... 20kg elfu 60000 MbeyaMchele kutoka nje Je tumejiridhisha kwamba uliopo nchini hautoshi?
Je uzalishaji wetu wa mchele ni kiasi gani, mahitaji kiasi gani na upungufu kiasi gani
Hizo tani elf 90 za mchele zitaingizwa kwa muda gani
Je wakulima walioko shamba kwa sasa mchele wao watauza wapi wakikutana na huo wa nje?
Mchele wa nje inaweza kuwa jambo jema ila nakumbuka wosia wa Mwigulu bungeni hivi majuzi alisema mambo ya dharura ni lazima kuwa nayo makini vinginevyo unaweza kubeba na Deal za watu.
Hiyo sasa ndiyo kilimo biashara. Ila Watanzania wamewadharau sana wakulima wanawafanya kama wanalima for charitySidhani kama uko sahihi. Kanuni za kibiashara zinaruhusu uuze e.g. kwa Juma kwa bei kubwa halafu ununue kwa Massawe kitu hicho hicho kwa bei ya chini. Na mzunguko unaendelea.
Yaani nchi au wakulima wanaweza kununua mahindi Iringa kwa bei ya chini kisha kuuza mahindi hayo Himo kwa bei ya juu ile margin wanayopata ndo faida. Vivyo hivyo Tanzania inaweza kuuza mchele Congo DRC kwa bei kubwa halafu Tanzania ikanunua au kuagiza mchele kwa bei ndogo kutoka Japan.
Ni suala la Fursa tu na kuangalia ni kipi cha kufanya ili upate faida.
"You produce what you don't eat and you eat what you don't produce".
Naskia wote wameingiziwa 10% zao tayari.Waziri wa viwanda na biashara na waziri wa kilimo wanagombea fito wakati wanajenga nyumba moja...😂🤣
Yaani hii nchi inaenda utadhani kila waziri anaserikali yake..😜😛
Ndio vizuri kuwe na ushindaniUjuha huo,msimu wa mavuno umefika tena mnaingiza mchele wa nje.
Mtakoma nyie wakulima kama hamuwezi kuungana kuwa na maamuzi kwenye uchaguzi imewakataUjuha huo,msimu wa mavuno umefika tena mnaingiza mchele wa nje.
Wakulima ndio wameamua kujidharau,bila kuwa na chombo Chao Cha sauti wataisoma namba.Hiyo sasa ndiyo kilimo biashara. Ila Watanzania wamewadharau sana wakulima wanawafanya kama wanalima for charity
Tatizo una taswira ya mkulima wa 1990,pole sanaHivyo vibanda vyenu vya kuishi ni telemka tukaze, ndiyo mtaweza kuwa na Maghala ya kuhifadhiwa chakula!? Yaani Wakulima siku hizi mmekua Chawa wa Walanguzi wa chakula sijui kwa nini!!!
Hebu kuwa wazi tu kwa ku declare interest!!kwani TZ ndio nchi ya kwanzq Africa kuagiza mchele nje?miaka yote ZANZIBAR ndio chakula chao na maisha yanakwenda,nenda Rwanda,congo japo sawa ladha yake sio sio kama huu wa kwetu.Hakuna popote nilipokwambia mimi ni mkulima, nimekuzungusha tu kwenye angle upande wa pili naona wewe ndio una panic, kutegemea quality toka nje ya bei rahisi ni ndoto, hapo ni bora kujaza tumbo tu.
Jiandae kuota kitambi cha mchele kitumbo.
Kwamba ndo unatumika mara ya kwanza?Mchele wa nje mnaujua lakini!?
Wenye hela zao wataendelea kula mchele bora na mtamu toka hapahapa ndani.
Lazima tu wakulima watakutana na huo mcheleNadhani kilichofanyika ni kutafuta njia ya muda mfupi kutatua tatizo la mfumko wa bei sokoni.
Ni juzi tu tumelalamika kuwa Serikali imeshindwa kukabiliana na mfumko wa bei kwa maana imeonekana bei ya kilogram 1 ya mchele imefika 3,600.
Hii ina maana Demand iliyopo ya Mchele ni kubwa kuliko Supply iliyopo, kwa kuingiza mchele huo tani 90 ina maana yake Supply itaongezeka kuwa count balance Demand hivyo kuweza kupunguza bei ya mchele sokoni pengine kufikia shilingi 2,600 kwa Kilogramu 1.
Na sio kwamba hivyo vibali vya kuingiza mchele vitaendelea kutolewa, No. Wakulima wakishaanza kuvuna mchele Mwezi Juni - Julai mwaka huu Serikali itazuia kutolewa kwa vibali vya kuingiza Mchele kutoka nje hivyo kulinda Soko la ndani la Wakulima wetu.
Sio kila jambo linalofanywa na Serikali ni baya wakuu, Kumbuka huyo Mhe Rais kabla hajakubali kutoa kibali hicho cha kuingiza Mchele ina maana Wataalamu wa Uchumi na Kilimo watakuwa walimshuri na yeye kujiridhisha.
Kumbukeni Mhe Rais hana Nchi nyingine zaidi ya Tanzania, hivyo hawezi kuona Raia wake wana taabika na yeye kama Mkuu wa Nchi asichukue tahadhali kuwalinda.
Sio rahisi MkuuLazima tu wakulima watakutana na huo mchele