HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Watz kwa kutunga maneno wanaongoza duniani, hapo Zanzibar mchele ni 1900 kwa Kg, wao huagiza njeUna uhakika gani kama huo mchele unaoletwa ni makapi? Nyinyi mchele mnao wauzia Wakenya na Wasomali ni makapi?
Wewe kijana wa Moo mbona unaleta story za kufikirika! Unataka kusema hakuna mamlaka ya chakula na dawa nchini kwa ajili ya kuchunguza ubora wa huo mchele!