Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani wakati tunalishwa kitumbo hapakuwepo na mamlaka ya chakula na dawa?Una uhakika gani kama huo mchele unaoletwa ni makapi? Nyinyi mchele mnao wauzia Wakenya na Wasomali ni makapi?
Wewe kijana wa Moo mbona unaleta story za kufikirika! Unataka kusema hakuna mamlaka ya chakula na dawa nchini kwa ajili ya kuchunguza ubora wa huo mchele!
Sasa wewe unasema "let market determine demand" halafu wakati huo huo unasema " Serikali iwapangie bei wafanyabiashara".....una maana gani??Kati ya maamuzi yaliyo fanywa vyema na kwa wakati sahihi ni hii kuagiza mchele. Let market determine demand. Hali ni mbaya huku mtaani.
Serikali iwapangie bei wafanya biashara. Isije kuwa ni hii hii ya 3000+
Mkuu, kuna mkulima ana kahawa yake anataka kuuza Uganda kwenye bei nzuri,Itakuwa ngumu kivipi???Wewe zalisha kwa wingi uwezavyo,nunua kwa wingi uwezavyo,kama faida ipo kuna shida gani?
Sasa c ndio biashara wwe unataka bei iwe juu kama ilivyo ili iweje kwa wananchi wa kawaida,lete mchele mama ili bei za vyakula iweze kuwa salama.Tatizo lilianza pale bei ya mchele ilipopanda, solution ikawa kuruhusu mchele wa nje kuingia. Kwa hiyo wanaoumia ni wakulima kwa sababu mchele utakapoingia utashusha bei ya mchele masokoni
Mbona ni rahisi sana kutofautisha mchele wa plastic na Mchele halisi? Atakayeleta mchele wa plastiki kama hautakuwa umezuiliwa bandarini atakutana na walaji ambao wanaufahamu. Watu wameshajanjaruka wanajua hata kutofautisha fedha feki na fedha halali; sembuse mchele?Mchele wa plastic huo.
Kansa kwa sana. Nunua mchele wetu wa kuzalisha wenyewe.
Tatizo lilianza pale bei ya mchele ilipopanda, solution ikawa kuruhusu mchele wa nje kuingia. Kwa hiyo wanaoumia ni wakulima kwa sababu mchele utakapoingia utashusha bei ya mchele
Mkuu; Walitunyanyasa sana na bei zao; sasa wameanza kupanic. Wanatoa kashfa na kuuhafifisha mchele kutoka nje eti ili ss walaji tuuone ni mchele duni haufai. Watakaa sana.Una uhakika gani kama huo mchele unaoletwa ni makapi? Nyinyi mchele mnao wauzia Wakenya na Wasomali ni makapi?
Wewe kijana wa Moo mbona unaleta story za kufikirika! Unataka kusema hakuna mamlaka ya chakula na dawa nchini kwa ajili ya kuchunguza ubora wa huo mchele!
Mtu hali ladha; Nakumbuka kuliwahi letwa mchele kutoka Japan na watu waliupenda -ulikuwa ni msafi na hauna chuya. Sasa huu wa kwetu ambao wanaoupigia chapuo umejaa mchanga, umevunjika-vunjika n.k. Hata hivyo michele yote (wa nje na wa ndani) itakuwepo sokoni halafu na sisi walaji tutaishindanisha kwa ubora na bei.Mara nyingi mchele wa nje hauna ladha nzuri. !! Walete tu !
Kabisa !Mtu hali ladha; Nakumbuka kuliwahi letwa mchele kutoka Japan na watu waliupenda -ulikuwa ni msafi na hauna chuya. Sasa huu wa kwetu ambao wanaoupigia chapuo umejaa mchanga, umevunjika-vunjika n.k. Hata hivyo michele yote (wa nje na wa ndani) itakuwepo sokoni halafu na sisi walaji tutaishindanisha kwa ubora na bei.
Hata ukiwa mchele wa chuma walete tu!Mchele wa plastic huo.
Kansa kwa sana. Nunua mchele wetu wa kuzalisha wenyewe.
Mkuu; usiwe na presha. Huko sokoni, ikiwa Supply ni kubwa kuliko Demand;Kati ya maamuzi yaliyo fanywa vyema na kwa wakati sahihi ni hii kuagiza mchele. Let market determine demand. Hali ni mbaya huku mtaani.
Serikali iwapangie bei wafanya biashara. Isije kuwa ni hii hii ya 3000+
Kweli aisee watu walishachoka na hizi bei za kupaa za mchele eti ni wa humu nchini na Haupatikani.Hata ukiwa mchele wa chuma walete tu!