Mchele kutoka nje na hatma ya wakulima wetu

Mchele kutoka nje na hatma ya wakulima wetu

Mlipokuwa mnasikiliza ngonjera za Bashe niliwashangaa sana. Mpaka mwishoni mwa Novemba hakuna mkulima aliyekuwa na mpunga Bali walanguzi ambao wana connection na kina Bashe. Kwa sasa wameshauza mizigo yao ndo wanaruhusu mchele toka nje. Msidanganyike kirahisi eti Wakulima wataathirika.
Acha ujinga wewe,Mimi mpunga nimeuza February hii unasema hatuna mpunga!!..na si peke yangu,mmeshupalia walanguzi walanguzi...yaani wakulima hatuwezi kuhifadhi mazao yetu!!?
 
Wakulima uchwara wameshapagawa tayari kutokana na hilo tamko. Maana walijiandaa kutuangamiza kwa bei zao za kubambika. Eti wanataka soko huria kwa upande wao tu! Hopeless kabisa.

Wao wakauze mchele wao Kenya na Somalia kwa bei waitakayo, na sisi tutakula huo mchele wa kutoka nje kwa bei tunayo imudu. Na hii ndiyo maana halisi ya soko huria.
Utaweza kula kitumbo sheikh!?
 
Kama tunaruhusu mchele wa njee, basi turuhusu wakenya na waganda waje kuuza cv zao kwa kazi za Tanzanian.

Haiwezekan mwalim English medium mtanzanua namlipa 600,000 kizungu makengeza, wakati walimu waganda nlikuwa nawalipa 250,000
 
Mchele kutoka nje Je tumejiridhisha kwamba uliopo nchini hautoshi?
Je uzalishaji wetu wa mchele ni kiasi gani, mahitaji kiasi gani na upungufu kiasi gani
Hizo tani elf 90 za mchele zitaingizwa kwa muda gani
Je wakulima walioko shamba kwa sasa mchele wao watauza wapi wakikutana na huo wa nje?

Mchele wa nje inaweza kuwa jambo jema ila nakumbuka wosia wa Mwigulu bungeni hivi majuzi alisema mambo ya dharura ni lazima kuwa nayo makini vinginevyo unaweza kubeba na Deal za watu.
Watu hamna jema hata malaika ashuke na kuwapa kila kitu bure bado tu lawama hazitaisha.
 
Wakulima uchwara wameshapagawa tayari kutokana na hilo tamko. Maana walijiandaa kutuangamiza kwa bei zao za kubambika. Eti wanataka soko huria kwa upande wao tu! Hopeless kabisa.

Wao wakauze mchele wao Kenya na Somalia kwa bei waitakayo, na sisi tutakula huo mchele wa kutoka nje kwa bei tunayo imudu. Na hii ndiyo maana halisi ya soko huria.
Kila mtu ashinde mechi zake, wengine sio wakulima, ni walanguzi, na ndio wana majibu ya ovyo kuhusu bei ya mchele.

Wanasema ukitaka rahisi nenda ukalime, lakini sukari ilivyopanda bei hawkuzalisha ya kwao, na serikali ilipanga bei,

Kila mmoja akitaka kuuza bidhaa yake anapotaka itakuwa ngumu,

Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
 
Mtajua wenyewe. Nyinyi mnaona sawa kutuuzia kilo ya mchele kwa shilingi 3600! Si mlifurahia soko kufunguliwa, na hivyo kuuza chakula chenu nje ya nchi kwa bei mnayotaka!!

Sasa inakuwaje mnaanza tena kupagawa mchele kuingizwa nchini? Si ndiyo soko huria lenyewe hili!!! Nyinyi nendeni mkauze mchele wenu nje ya nchi kwa bei kubwa, na sisi tutanunua huo mchele wq kutoka nje kwa bei nafuu.

Ni wakati sasa wa kila mtu kushinda mechi zake. Msianze kulia lia hapa.
Simba moja Small Simba moja!
 
Nini maana ya soko huria? Kama wakaulima wanafurahia kuuza mazao kokote wapendako, wafurahie pia kupata ushindani kutoka kwa wqzalishaji wenzao kutoka nje.

Sisi ambao siyo wakulima, hatuwezi kufurahia kuuziwa kilo ya mchele kwa 3600! Kilo ya maharage 4000! Huku kipato chetu kikiwa hakijabadilika. Ni bora soko liwe huru ili tupate unafuu.
Kwanini mchele tu? Mbona kwenye bomu la sukari wasiruhusu? Bidhaa za viwandani utasikia tunalinda viwanda vya ndani why not wakulima? Anayeona chakula ni ghali aende shamba akalime chake?
 
Yeye kaupata wapi?
Mwakan atarudi kwa mkulima kwa bei ghani?
Mfanyabiashara anaangalia faida,

Kama ktk kuuza kilo moja 3500 anapata faida ya sh 300 Kwa kg,

Mchele utakapoingia Kutoka nje na Bei ya kuuzia ikashuka Hadi 1800 Kwa kilo, Bado atahakikisha faida yake inabaki 300 Kwa kilo au zaidi ya hapo.

Acha nguvu ya soko ifanye KAZI, inaitwa demand na supply.

Usimhurumie mtu asiyeshika jembe, anatumia ela kupata ela.
 
Nilikula sana tu wakati wa njaa kali ya el nino iliyoikumba nchi mwaka 1998! Na hapa sijaongelea kabisa ugali na uji wa Yanga wakati wa njaa ya mwaka 1984!!! ☹️
El nini mbona palikua na chakula kingi hasa sehemu zenye upungufu wa mvua Kama tabora na shinyanga!!..nakumbuka kwa Mara ya kwanza familia ilivuna gunia 39+ za mpunga,tukala Hadi 2005 maana tulikua tukijazia kila mwaka,hiyo njaa ilikua mkoa gani?
 
Una uhakika gani kama huo mchele unaoletwa ni makapi? Nyinyi mchele mnao wauzia Wakenya na Wasomali ni makapi?

Wewe kijana wa Moo mbona unaleta story za kufikirika! Unataka kusema hakuna mamlaka ya chakula na dawa nchini kwa ajili ya kuchunguza ubora wa huo mchele!
Kwani wizara ya elimu haikuwepo hadi vitabu vya ngono vimeingizwa mashuleni ndio wanakuja kujua?
 
Tatizo lilianza pale bei ya mchele ilipopanda, solution ikawa kuruhusu mchele wa nje kuingia. Kwa hiyo wanaoumia ni wakulima kwa sababu mchele utakapoingia utashusha bei ya mchele masokoni
Wafanyakazi na wafanyabiashara watapata ahueni.
 
Mtajua wenyewe. Nyinyi mnaona sawa kutuuzia kilo ya mchele kwa shilingi 3600! Si mlifurahia soko kufunguliwa, na hivyo kuuza chakula chenu nje ya nchi kwa bei mnayotaka!!

Sasa inakuwaje mnaanza tena kupagawa mchele kuingizwa nchini? Si ndiyo soko huria lenyewe hili!!! Nyinyi nendeni mkauze mchele wenu nje ya nchi kwa bei kubwa, na sisi tutanunua huo mchele wq kutoka nje kwa bei nafuu.

Ni wakati sasa wa kila mtu kushinda mechi zake. Msianze kulia lia hapa.
Safi sana mkuu
 
Kila mtu ashinde mechi zake, wengine sio wakulima, ni walanguzi, na ndio wana majibu ya ovyo kuhusu bei ya mchele.

Wanasema ukitaka rahisi nenda ukalime, lakini sukari ilivyopanda bei hawkuzalisha ya kwao, na serikali ilipanga bei,

Kila mmoja akitaka kuuza bidhaa yake anapotaka itakuwa ngumu,

Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
Itakuwa ngumu kivipi???Wewe zalisha kwa wingi uwezavyo,nunua kwa wingi uwezavyo,kama faida ipo kuna shida gani?
 
Back
Top Bottom