Mchengelwa uongeze siku za kuandisha daftari la Serikali za Mitaa, Yanga na Simba zimeathiri zoezi

Mchengelwa uongeze siku za kuandisha daftari la Serikali za Mitaa, Yanga na Simba zimeathiri zoezi

Gabeji

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2024
Posts
1,530
Reaction score
1,903
Mh. Mchengelewa bila shaka ni mzima wa afya njema. Nakuomba uongeze siku za kujiandikisha kwa sbb zifuatazo:

1. Kuepo kwa figisu nyingi za kuandikishaji sehemu mbalilmbali.

2. Yanga na simba zimeathiri zoezi zima la kuandikisha watu wote wameenda kuangalia mpira wa simba na yanga, cha kushangaza hata makarani nao wamefunga zoezi kinyume na sheria ,wamefunga saaa kumi na nusu badala ya kumi na mbili.

3.hamasa ndogo ya uandikishaji , ni watu wachache sana wamejitokeza kujiandikisha kwa sbb ya uwepo ndogo wa hamasa. 4. makarani kukosa uwadilifu na uwajibikaji .Mungu ibariki Tanzania.

By mwinjilist Gabeji.
 
Zoezi limebuma Hilo . Msipoteze muda bure
 
Younga ndo nini!?... Hivi mmekunywa nini leo!?,kila anayeanzisha thread ni mwendo wa kuchapia tu..
 
Mh. Mchengelewa bila shaka ni mzima wa afya njema. Nakuomba uongeze siku za kujiandikisha kwa sbb zifuatazo:
1. Kuepo kwa figisu nyingi za kuandikishaji sehemu mbalilmbali.
2. Yanga na simba zimeathiri zoezi zima la kuandikisha watu wote wameenda kuangalia mpira wa simba na yanga, cha kushangaza hata makarani nao wamefunga zoezi kinyume na sheria ,wamefunga saaa kumi na nusu badala ya kumi na mbili.
3.hamasa ndogo ya uandikishaji , ni watu wachache sana wamejitokeza kujiandikisha kwa sbb ya uwepo ndogo wa hamasa. 4. makarani kukosa uwadilifu na uwajibikaji .Mungu ibariki Tanzania.
By mwinjilist Gabeji.
Acha kupotosha hakuna siku iliyo ongezwa
 
Mh. Mchengelewa bila shaka ni mzima wa afya njema. Nakuomba uongeze siku za kujiandikisha kwa sbb zifuatazo:
1. Kuepo kwa figisu nyingi za kuandikishaji sehemu mbalilmbali.
2. Yanga na simba zimeathiri zoezi zima la kuandikisha watu wote wameenda kuangalia mpira wa simba na yanga, cha kushangaza hata makarani nao wamefunga zoezi kinyume na sheria ,wamefunga saaa kumi na nusu badala ya kumi na mbili.
3.hamasa ndogo ya uandikishaji , ni watu wachache sana wamejitokeza kujiandikisha kwa sbb ya uwepo ndogo wa hamasa. 4. makarani kukosa uwadilifu na uwajibikaji .Mungu ibariki Tanzania.
By mwinjilist Gabeji.
Wewe ni mwinjilist feki! wananchi wamesusia zoezi hilo wewe unatoa sababu zisizo na mashiko
 
Mwalimu Acha tamaa wakikuongezea hizo siku mbili au tatu ndio posho itafika milion?
 
Watu wamekuwa na ufahamu wa juu siku hizi na wanahoji vitu kibinafsi.

Wewe mtu mmoja unajiandikisha hata vituo sita ndani ya mitaa inayofutana na wala hakuna shida unadhani wananchi katika hili wata endelea kujiandikisha.?

Kumbuka hata ukiandikisha majina ya marehemi hakuna anejua.

Serikali ikae chini na ijitafakari kuwa hizi pesa wanazozitumia kwenye huu uchaguzi wanaongeza matumizi yasio ya msingi.
 
Mh. Mchengelewa bila shaka ni mzima wa afya njema. Nakuomba uongeze siku za kujiandikisha kwa sbb zifuatazo:
1. Kuepo kwa figisu nyingi za kuandikishaji sehemu mbalilmbali.
2. Yanga na simba zimeathiri zoezi zima la kuandikisha watu wote wameenda kuangalia mpira wa simba na yanga, cha kushangaza hata makarani nao wamefunga zoezi kinyume na sheria ,wamefunga saaa kumi na nusu badala ya kumi na mbili.
3.hamasa ndogo ya uandikishaji , ni watu wachache sana wamejitokeza kujiandikisha kwa sbb ya uwepo ndogo wa hamasa. 4. makarani kukosa uwadilifu na uwajibikaji .Mungu ibariki Tanzania.
By mwinjilist Gabeji.
Karani kesho ndio mwisho hakuna muda utaoongezwa najua unataka posho zaidi.
 
Mh. Mchengelewa bila shaka ni mzima wa afya njema. Nakuomba uongeze siku za kujiandikisha kwa sbb zifuatazo:
1. Kuepo kwa figisu nyingi za kuandikishaji sehemu mbalilmbali.
2. Yanga na simba zimeathiri zoezi zima la kuandikisha watu wote wameenda kuangalia mpira wa simba na yanga, cha kushangaza hata makarani nao wamefunga zoezi kinyume na sheria ,wamefunga saaa kumi na nusu badala ya kumi na mbili.
3.hamasa ndogo ya uandikishaji , ni watu wachache sana wamejitokeza kujiandikisha kwa sbb ya uwepo ndogo wa hamasa. 4. makarani kukosa uwadilifu na uwajibikaji .Mungu ibariki Tanzania.
By mwinjilist Gabeji.
Mwalimu unataka maokoto yaongezeke au sio.....
 
Zoezi limebuma Hilo . Msipoteze muda bure
Wengine tushajiandikisha. Tunasubiri siku ya uchaguzi tukipe ushindi wa kishindo Chama Cha Mapinduzi. Wewe baki eti uandikishaji umebuma halafu utegemee chama chako kishinde! KUMBAVU!!!
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Mh. Mchengelewa bila shaka ni mzima wa afya njema. Nakuomba uongeze siku za kujiandikisha kwa sbb zifuatazo:

1. Kuepo kwa figisu nyingi za kuandikishaji sehemu mbalilmbali.

2. Yanga na simba zimeathiri zoezi zima la kuandikisha watu wote wameenda kuangalia mpira wa simba na yanga, cha kushangaza hata makarani nao wamefunga zoezi kinyume na sheria ,wamefunga saaa kumi na nusu badala ya kumi na mbili.

3.hamasa ndogo ya uandikishaji , ni watu wachache sana wamejitokeza kujiandikisha kwa sbb ya uwepo ndogo wa hamasa. 4. makarani kukosa uwadilifu na uwajibikaji .Mungu ibariki Tanzania.

By mwinjilist Gabeji.
Acha upotoshaji, tatizo sio mechi ya simba na yanga, bali watu wamepuuza hilo zoezi la uchaguzi. Hakuna mtu mjinga tena ataenda kupoteza muda wake kupiga kura ambazo ccm ndio wanapanga nani atangazwe mshindi.

HIvyo hata wakiweka mwaka mzima watu wajiandikishe na hamasa juu, hakuna watu zaidi ya hao waliojotokeza watajitokeza tena. Na siku ya uchaguzi watu ndio watakuwa wachache zaidi.
 
Wengine tushajiandikisha. Tunasubiri siku ya uchaguzi tukipe ushindi wa kishindo Chama Cha Mapinduzi. Wewe baki eti uandikishaji umebuma halafu utegemee chama chako kishinde! KUMBAVU!!!
Hamuhitaji kura, nyie tume ya uchaguzi na vyombo vya dola ndio tegemeo lenu. Watu wajinga tu ndio watajitokeza kushiriki huo uhuni wa kuwahalalisha ccm kukaa madarakani kwa shuruti.
 
Hamuhitaji kura, nyie tume ya uchaguzi na vyombo vya dola ndio tegemeo lenu. Watu wajinga tu ndio watajitokeza kushiriki huo uhuni wa kuwahalalisha ccm kukaa madarakani kwa shuruti.
Yanga na simba zimeharibu zoezi mkuu
 
Acha upotoshaji, tatizo sio mechi ya simba na yanga, bali watu wamepuuza hilo zoezi la uchaguzi. Hakuna mtu mjinga tena ataenda kupoteza muda wake kupiga kura ambazo ccm ndio wanapanga nani atangazwe mshindi.

HIvyo hata wakiweka mwaka mzima watu wajiandikishe na hamasa juu, hakuna watu zaidi ya hao waliojotokeza watajitokeza tena. Na siku ya uchaguzi watu ndio watakuwa wachache zaidi.
Elimu elimu elimu mkuu
 
Mh. Mchengelewa bila shaka ni mzima wa afya njema. Nakuomba uongeze siku za kujiandikisha kwa sbb zifuatazo:

1. Kuepo kwa figisu nyingi za kuandikishaji sehemu mbalilmbali.

2. Yanga na simba zimeathiri zoezi zima la kuandikisha watu wote wameenda kuangalia mpira wa simba na yanga, cha kushangaza hata makarani nao wamefunga zoezi kinyume na sheria ,wamefunga saaa kumi na nusu badala ya kumi na mbili.

3.hamasa ndogo ya uandikishaji , ni watu wachache sana wamejitokeza kujiandikisha kwa sbb ya uwepo ndogo wa hamasa. 4. makarani kukosa uwadilifu na uwajibikaji .Mungu ibariki Tanzania.

By mwinjilist Gabeji.
 

Attachments

  • Screenshot_2024-07-16-21-00-20-1.png
    Screenshot_2024-07-16-21-00-20-1.png
    420.8 KB · Views: 4
Back
Top Bottom