Acha kupotosha hakuna siku iliyo ongezwaMh. Mchengelewa bila shaka ni mzima wa afya njema. Nakuomba uongeze siku za kujiandikisha kwa sbb zifuatazo:
1. Kuepo kwa figisu nyingi za kuandikishaji sehemu mbalilmbali.
2. Yanga na simba zimeathiri zoezi zima la kuandikisha watu wote wameenda kuangalia mpira wa simba na yanga, cha kushangaza hata makarani nao wamefunga zoezi kinyume na sheria ,wamefunga saaa kumi na nusu badala ya kumi na mbili.
3.hamasa ndogo ya uandikishaji , ni watu wachache sana wamejitokeza kujiandikisha kwa sbb ya uwepo ndogo wa hamasa. 4. makarani kukosa uwadilifu na uwajibikaji .Mungu ibariki Tanzania.
By mwinjilist Gabeji.
Wewe ni mwinjilist feki! wananchi wamesusia zoezi hilo wewe unatoa sababu zisizo na mashikoMh. Mchengelewa bila shaka ni mzima wa afya njema. Nakuomba uongeze siku za kujiandikisha kwa sbb zifuatazo:
1. Kuepo kwa figisu nyingi za kuandikishaji sehemu mbalilmbali.
2. Yanga na simba zimeathiri zoezi zima la kuandikisha watu wote wameenda kuangalia mpira wa simba na yanga, cha kushangaza hata makarani nao wamefunga zoezi kinyume na sheria ,wamefunga saaa kumi na nusu badala ya kumi na mbili.
3.hamasa ndogo ya uandikishaji , ni watu wachache sana wamejitokeza kujiandikisha kwa sbb ya uwepo ndogo wa hamasa. 4. makarani kukosa uwadilifu na uwajibikaji .Mungu ibariki Tanzania.
By mwinjilist Gabeji.
Karani kesho ndio mwisho hakuna muda utaoongezwa najua unataka posho zaidi.Mh. Mchengelewa bila shaka ni mzima wa afya njema. Nakuomba uongeze siku za kujiandikisha kwa sbb zifuatazo:
1. Kuepo kwa figisu nyingi za kuandikishaji sehemu mbalilmbali.
2. Yanga na simba zimeathiri zoezi zima la kuandikisha watu wote wameenda kuangalia mpira wa simba na yanga, cha kushangaza hata makarani nao wamefunga zoezi kinyume na sheria ,wamefunga saaa kumi na nusu badala ya kumi na mbili.
3.hamasa ndogo ya uandikishaji , ni watu wachache sana wamejitokeza kujiandikisha kwa sbb ya uwepo ndogo wa hamasa. 4. makarani kukosa uwadilifu na uwajibikaji .Mungu ibariki Tanzania.
By mwinjilist Gabeji.
Mwalimu unataka maokoto yaongezeke au sio.....Mh. Mchengelewa bila shaka ni mzima wa afya njema. Nakuomba uongeze siku za kujiandikisha kwa sbb zifuatazo:
1. Kuepo kwa figisu nyingi za kuandikishaji sehemu mbalilmbali.
2. Yanga na simba zimeathiri zoezi zima la kuandikisha watu wote wameenda kuangalia mpira wa simba na yanga, cha kushangaza hata makarani nao wamefunga zoezi kinyume na sheria ,wamefunga saaa kumi na nusu badala ya kumi na mbili.
3.hamasa ndogo ya uandikishaji , ni watu wachache sana wamejitokeza kujiandikisha kwa sbb ya uwepo ndogo wa hamasa. 4. makarani kukosa uwadilifu na uwajibikaji .Mungu ibariki Tanzania.
By mwinjilist Gabeji.
Wengine tushajiandikisha. Tunasubiri siku ya uchaguzi tukipe ushindi wa kishindo Chama Cha Mapinduzi. Wewe baki eti uandikishaji umebuma halafu utegemee chama chako kishinde! KUMBAVU!!!Zoezi limebuma Hilo . Msipoteze muda bure
Acha upotoshaji, tatizo sio mechi ya simba na yanga, bali watu wamepuuza hilo zoezi la uchaguzi. Hakuna mtu mjinga tena ataenda kupoteza muda wake kupiga kura ambazo ccm ndio wanapanga nani atangazwe mshindi.Mh. Mchengelewa bila shaka ni mzima wa afya njema. Nakuomba uongeze siku za kujiandikisha kwa sbb zifuatazo:
1. Kuepo kwa figisu nyingi za kuandikishaji sehemu mbalilmbali.
2. Yanga na simba zimeathiri zoezi zima la kuandikisha watu wote wameenda kuangalia mpira wa simba na yanga, cha kushangaza hata makarani nao wamefunga zoezi kinyume na sheria ,wamefunga saaa kumi na nusu badala ya kumi na mbili.
3.hamasa ndogo ya uandikishaji , ni watu wachache sana wamejitokeza kujiandikisha kwa sbb ya uwepo ndogo wa hamasa. 4. makarani kukosa uwadilifu na uwajibikaji .Mungu ibariki Tanzania.
By mwinjilist Gabeji.
Hamuhitaji kura, nyie tume ya uchaguzi na vyombo vya dola ndio tegemeo lenu. Watu wajinga tu ndio watajitokeza kushiriki huo uhuni wa kuwahalalisha ccm kukaa madarakani kwa shuruti.Wengine tushajiandikisha. Tunasubiri siku ya uchaguzi tukipe ushindi wa kishindo Chama Cha Mapinduzi. Wewe baki eti uandikishaji umebuma halafu utegemee chama chako kishinde! KUMBAVU!!!
Elimu elimu elimu mkuuAcha upotoshaji, tatizo sio mechi ya simba na yanga, bali watu wamepuuza hilo zoezi la uchaguzi. Hakuna mtu mjinga tena ataenda kupoteza muda wake kupiga kura ambazo ccm ndio wanapanga nani atangazwe mshindi.
HIvyo hata wakiweka mwaka mzima watu wajiandikishe na hamasa juu, hakuna watu zaidi ya hao waliojotokeza watajitokeza tena. Na siku ya uchaguzi watu ndio watakuwa wachache zaidi.
Mh. Mchengelewa bila shaka ni mzima wa afya njema. Nakuomba uongeze siku za kujiandikisha kwa sbb zifuatazo:
1. Kuepo kwa figisu nyingi za kuandikishaji sehemu mbalilmbali.
2. Yanga na simba zimeathiri zoezi zima la kuandikisha watu wote wameenda kuangalia mpira wa simba na yanga, cha kushangaza hata makarani nao wamefunga zoezi kinyume na sheria ,wamefunga saaa kumi na nusu badala ya kumi na mbili.
3.hamasa ndogo ya uandikishaji , ni watu wachache sana wamejitokeza kujiandikisha kwa sbb ya uwepo ndogo wa hamasa. 4. makarani kukosa uwadilifu na uwajibikaji .Mungu ibariki Tanzania.
By mwinjilist Gabeji.