Ravalomanana
JF-Expert Member
- Sep 8, 2018
- 1,557
- 1,540
Uko sahihi wengine hawaelewiJiji wakati wa awamu ya tano lilivunjwa kwakuwa lilikuwa linahang tu halina vyanzo vyake binafisi wala eneo la kiutawala na lilikuwa linategemea manispaa kuingiza kipato.
Lilikuwa mzigo tu. Hawa wanasiasa wanatuchanganya na Dana Dana zao kila siku.
Kwa staili hii ya kupiga hatua moja na kurudi nyuma maendeleo tuyasikie kwa wengine tu.
Huyo mchengerwa apambane na mwendokasi kwanza wateja wapo ila mabasi hakuna.
Nyamagana ndio jiji la mwànza na ilemela ni manispaaMbona mwanza ni jiji ilemela na nyamagana ni halmashauri?
Wanza city council hipo haipo?Nyamagana ndio jiji la mwànza na ilemela ni manispaa
Unamaanisha Halmashauri moja iwajibike kwa Halmashauri nyingine? Unadhani ni kitu kinachowezekana?
Labda kama hizo halmashauri nyingine zitavunjwa na hakutakua tena na wakurugenzi wa hizo wilaya, vinginevyo Mkurugenzi wa Jiji ataendelea kubaki kivuli na hatakua na sauti yoyote kwenye mapato na matumizi
Mipaka ya jiji la mwanza ipo kwenye manispaa ya nyamagana ni kama jiji la dar mipaka yake ipo ilala au new york city mipaka yake ipo manhattanWanza city council hipo haipo?
Mipaka ya jiji la mwanza ipo kwenye manispaa ya nyamagana ni kama jiji la dar mipaka yake ipo ilala au new york city mipaka yake ipo manhattanWanza city council hipo haipo?
Halafu , Fredrick sumaye ndio kasoma law Harvard 😂, nyie, niacheni ninywe 🍻Alipolivunja angelirudisha katika muundo wa awali uliokuwepo kabla ya kuvunjwa na Frederick Sumaye,na tena Sumaye ndiye aliyelivuruga jiji hadi kutokea mkanganyiko wote huu kwa kuunda manispaa tatu wakati ule na halmashauri ya jiji lisilo na eneo la utawala wala shughuli mahsusi.
Ninyi mnatakiwa muunganishwe kutokea kwa mpalange Ili muamue kupitia Yombo Buza au Mbagala Nzasa.Naomba kujua barabara zilizotiwa sauni ya ujenzi kuanza ni zipi? Je barabara za kwenda kitunda.magole.mwanagati zipo? Huku hali ni mbaya sana.anauliza raia mwema wq kitunda
Si ajabu awamu ya saba tukashuhudia tangazo jipya tukirudi kule kule tulikokuwa.Ndiyo maana ni muhimu kuwa na jiji moja linalomiliki hizi manispaa zote kama ilivyokuwa zamani kabla halijavunjwa na Waziri mkuu wa awamu ya tatu Frederick Sumaye na kuunda muundo wa ovyo ambao baadaye ukavunjwa na Magufuli, lakini naye akafanya makosa pale alipoamua kuifanya manispaa ya Ilala pekee ndiyo iwe na hadhi ya jiji,ebu fikiria inakuwaje sehemu kama chanika au vingunguti iwe sehemu ya jiji lakini eti masaki au Kinondoni kuwe sehemu ya manispaa!
We jamaa unastahili uteuzi hujaacha pointing hata Moja hahahahHajasema Dar iwe Jiji, amesema ianzishwe Mamlaka ya Uendelezaji Jiji la Dar es Salaam, ambayo sasa itakuwa juu ya Manispaa za Kindondoni, Temeke na Ilala. Unajua kwa sasa ni kwamba hizi manispaa zinajitegemea, kwa hiyo Jiji linakuwapo kama halipo. Kwa hiyo analipa meno ya kuwa juu ya hizi Manispaa tatu. Wakurugenzi wa Manispaa watawajibika kwa Mkurugenzi wa Mamlaka ya Uendelezaji Jiji, japo wote ni wateule. Itakuwa kama mkuu wa mkoa na wakuu wake wa wilaya.
Kuna fursa za kazi na kuteuliwa hapo. Nadhani ingefaa niteuliwe kuwa Director General wa Dar es Salaam City Development Authority (DACIDA) kwa sababu mimi nimemuelewa sana.
Mchengerwa nitafute tuongee basi!
It's automatic Sisi wa Magomeni tunarudi jijini Dar es salaam.We jamaa unastahili uteuzi hujaacha pointing hata Moja hahahah
Huo muundo wa jiji uliovunjwa na Sumaye ulikuwaje? Bila shaka utakuwa unaongelea Tume ya jiji (Keenja). muundo wake ulikuwaje tofauti na miundo iliyofuata? Uora wake ulikuwa upi?Hadi linavunjwa na Waziri mkuu Frederick Sumaye wakati huo Halmashauri ya jiji la Dar es Salaam lilikuwa limejumuisha wilaya zote tatu wakati huo Ilala, Kinondoni na Temeke.
Lilivyoundwa upya mwaka 2000 ndiyo zikaanzishwa manispaa tatu kila moja ikiwa na mamlaka kamili katika eneo lake la utawala na kisha kuundwa Halmashauri ya jiji ambalo kimsingi halikuwa na jukumu la maana zaidi ya kuundwa kisiasa tu.
Kwa akili yako Unadhani Magufuli ndio wa kwanza kulivunja jiji kujaribu muundo mbadala,Na hawa walikuwa wehu waliovunja jiji kabla ya Magufuli?Jiwe alikuwa mwehu yule.
Alikuwa anatafuta gia ya kutaka kukipatia hadhi ya jiji kile Kijiji cha Chato.
Alikuwa mshamba na mjinga sana yule jamaa.
Bora shetani kuliko yule mtuJiji
Wewe ndio umenielewesha vizuriNafikiri sisi tumekumbwa na hali ya kukariri jina maarufu la sehemu husika.
Mfano:- Songea na ni Wilaya pia ni Manispaa ikitokea imekuwa kihadhi basi itapandishwa hadhi na kuwa Jiji na itapaswa kuitwa Jiji la Songea ijapokuwa iko mkoa wa Ruvuma.
Bukoba- Wilaya/ Manispaa ikipanda itakuwa Jiji la Bukoba sio Jiji la Kagera.
Moshi Manispaa unasikia wanaomba hadhi ya Jiji sio Kilimanjaro ndiyo inaomba na hivo ikipata itapaswa kuitwa Jiji la Moshi sio Kilimanjaro.
Kuna jiji la Dar es Salaam na mkoa wa Dar es Salaam. Magufuli aliifanya Manispaa ya Ilala peke yake ndiyo iunde jiji la Dar es Salaam na Manispaa zilizobaki ziwe tu mkoa wa Dar es Salaam.Kwani Dar es Salaam sio jiji??
Nimeeleza hapo kwamba halmashauri ya jiji ilikuwa moja tu ikijumuisha wilaya zote tatu zilizokuwepo wakati huo baadaye ndiyo ikavunjwa na kuundwa tume ya jiji kabla haijaundwa upya na kuweka manispaa tatu Ilala,Temeke na Kinondoni na Halmashauri ya jiji ambayo nimesema kimsingi sikuona jukumu lake hasa(labda iliundwa kisiasa tu).Huo muundo wa jiji uliovunjwa na Sumaye ulikuwaje? Bila shaka utakuwa unaongelea Tume ya jiji (Keenja). muundo wake ulikuwaje tofauti na miundo iliyofuata? Uora wake ulikuwa upi?
Maboresho na mageuzi ya kiutawala kwa jiji yapo toka uhuru vunja unda vunja unda imekuwa ni tukio linalojirudia. Hii inaashiria uwepo wa tatizo kubwa ambalo halijapata jawabu.
Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam imekuwa inaliongoza Jiji kutoka mwaka 1961 mpaka mwaka 1972, ambapo Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ilizivunja Halmashauri zote nchini na kuwa chini ya Usimamizi wa Serikali Kuu (Madaraka Mikoani)
Serikali Kuu ilizirudisha Serikali za Mitaa Nchini, Chini ya Sheria ya Serikali za Mitaa (Mamlaka za Miji) na. 8 ya mwaka 1982, ambapo Halmashauri ya Jiji ilianza kutekeleza majukumu yake ya kutoa huduma kwa wananchi kuanzia mwaka 1983.
Mwaka 1996 Serikali Kuu iliivunja Halmashauri ya Jiji na kuunda Tume ya jiji la Dar es Salaam, kwa Tangazo la serikali Na. 110 na 111 ya tarehe 28 Juni mwaka 1996.
Tume ya jiji ilifanya kazi kwa kipindi cha miaka minne, ambapo mwaka 2000 Serikali iliunda mamlaka nne za Serikali za Mitaa za Mkoa wa Dar es Salaam kwa sheria ya Serikali za Mitaa (Mamlaka za Miji) Na. 8 ya Mwaka 1982, kama ilivyo rekebishwa kwa sharia na. 6 ya mwaka 1999.
Kwahiyo wewe unaona sawa kule pugu mnadani kuwa jiji lakini kule Magomeni kuwe manispaa!Mbona huu mfumo aliouleta magufuli ndio unatumika na majiji makubwa duniani hata marekani new york ni limji likubwa lakini manhattan pekee ndio jiji la new york ,mwanza nyamagana ndio jiji ilemela manispaa