Mchengerwa hutokuwa Waziri milele. Napinga kauli zako za Kibabe kwa Watumishi

Jeuri itaisha mama mkwe akitoka madarakani, kwahiyo yupo yupo na jeuri ubabe na kiburi kitaongezeka. untouchable
 
Nimesoma ulichoandika sijaelewa unachomlaumu pamoja na kwamba umetuma hzo picha,Hv unamsema mchengerwa au kuna mtu mwingine kaka,naomba kwa busara tu,utufafanulie please.
 
UVCCM msiwaache Salama wanaobeza Mafuriko ya Rufiji
 

Nataman sana kujua historia ya huyu jamaa na kielimu pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…