Mchepuko anachanganya mapenzi na pesa, nilichomfanyia nadhani kapata funzo

Mchepuko anachanganya mapenzi na pesa, nilichomfanyia nadhani kapata funzo

Mkuu inaonekana kwenye life maisha ushayapatiaa ,hvyo ukikaa ukiwaa unaandika hizi story zako uwa uwazii vtu vngii ndio maana ukoseagiii na unagaa itaendeleaaaaa.....big UP sana..LIPO LA KUJIFUNZA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wakuu,
Kuna siku Moja usiku nikiwa kwa mamaJ akanambia mchana wa Jana Yake, binti yake anayeuza dukani kwake kaibiwa Simu yake (Samsung smart phone) kwenye mazingira ya kutatanisha sana.

Anasema Hakukuwa na wateja alienda msalani chap nyuma ya fremu zao akaacha Simu chaji, aliporudi hakuikuta na kawauliza majirani wanasema hawakuona mtu akiingia ndani. Na Simu ilivyopigwa ikawa haipatikani.

Basi nikamshauri Kama Simu imepotea Ni Vema akatoe taarifa polisi, Unaweza kuzembea Simu yako imeibiwa kisha ikatumika kwenye uhalifu halafu ukaunganishwa kwny tukio la uhalifu. Akasema sawa, ataomba kesho nimpitie yeye na binti yake nnavyoenda kazini ili niwasindikize wakatoe taarifa ya kupokelewa simu polisi. Nikasema sawa.

Kweli kesho Yake asubuhi nmewapitia yeye, pamoja na binti wa dukani kwake dukani wote tumeongoza tumeelekea kituo cha polisi.

Baada ya kufika polisi, nikabaki kwenye gar na kumwambia yeye na binti wake waingie wakatoe taarifa watanikuta kwny gar nje nawasubiri tuondoke. Wakasema sawa. Sasa Baada ya kuona wamekaa ndan mda mrefu Sana hawatokei na mamaJ simu zangu hapokei, Ikabidi kumfata uko uko ndani ili afanye haraka ananipotezea Muda wangu nna Ratiba zangu nyingine. Nikamkuta ndo Yuko anatoa maelezo kwa afande.

Kuangalia Kumbe afande mwnyw tunafahamiana, kuna mahali flan tuliwahi kutana. Basi salamu za hapa na pale na afande Kisha Afande akanambia niketi amalizie kuandika maelezo Yao ili kuifungua kesi ya kuibiwa wa Simu, ili Kama uwezekano upo, simu yao ianze kufuatiliwa.

Basi nikaona ni wazo zuri. Afande akasisitiza kwamba mwizi wa Simu Hata akipatikana, Kama hakukuwahi kuwepo kesi polisi kwenye maandishi Ni ngumu Sana kumuwajibisha au kurudishiwa Simu yetu iliyoibiwa.
Nikasema sawa.

Na kingine, akasema Kama mwizi kaenda kuiflash ile kikawaida na imei number hajafanikiwa kufutika.
basi uwezekano wa kuitrack na kuikamata Ni mkubwa sana kupitia kitengo Chao cha ICT makao makuu.

Ila nao uko ICT wanataka Kwanza kesi iwepo kituoni kwny maandishi ndo waifanye kazi. Nikasema Basi wazo zuri Sana, fungueni kesi na Kama inawezekana ifuatilieni afu utanipa majibu afande tujue tunafanyaje.

Afande kasema POA, tukabadilishana mawasiliano na kumuacha afande pale kituoni. Binti karudishwa dukan kwa mamaJ , mamaJ nae kapelekwa kazini kwake, nami nikaenda kwenye shughuli zangu Kama kawaida. Siku ikaisha hivyo kwa utulivu.

Jioni yake nimeenda kwa mamaJ baada ya kufanya ya kufanya, nmeacha posho na nmeaga naondoka, mamaJ akaniomba nimsaidie nimtaftie binti yake Simu ndogo ya kutumia kwa MUDA, huku Simu ile iloibiwa ikiendelea kufuatiliwa na polisi maana bila mawasiliano dukani kwake kule Ni Changamoto Sana.

Nikamuuliza kwan ile Simu iloibiwa ilkuwa ya binti mwenyewe, Ni ya kwako au ni ya duka lako. Akasema ilikuwa ya binti mwenyewe binafsi. Nikamwambia basi ili siku nyingine awe makini, lazima umkazie na umwambie unamnunulia Simu ndogo ya kutumia itakuwa ya kwake manyw, ila mwisho wa mwezi ajue utamkata kwny mshahara wake ili awe makini next-time. Usipende kuendelea uzembe kazini, vitu vinapotea boss unalipa lipa TU kienyeji bila Kuchukua hatua, mfanyakazi wako atazoea na utapoteza vingn vingi zaid.

MamaJ Akasema sawa kanielewa, atamwambia binti. Nikamwambia kwakua Ni mambo ya dukan kwako, Simu ndogo ntanunua ila ntakukopesha, na pesa yangu mwisho wa mwezi ukipata mshahara unirudishie. Akasema haina shida nnachotaka Ni Simu tu kwanza, pesa italipwa.

Basi kesho yake kweli nmenunua Simu ndogo mpya ya Nokia 105 kwa elfu 40 na kumpeleka mamaJ, nikampa na risiti kuwa ntamdai elfu 40 yeye mwenyewe, hiyo simu akampatie binti yake wa dukani kwake aendelee na kazi. Akashukuru.
Mkuu wewe unaandika vitabu?
 
Tatizo Hana Shukran,
Leo utafanya hiki, Ila mkigombana kdg atasema "wee mwanaume Ni bure kabisa, huna msaada wowote kwny maisha yangu"

Endelea basi na story
Ila mama J ana vituko kama rafiki yangu hivii mmoja
 
Mkuu hapa tupo chitchat lkn katika mambo mengi kuna mafunzo ya kumsaidia mtu.

Unaweza kusema Glenn
Ananiandama au ananionea wivu.
Mimi binafsi penye ukweli huwa najikosoa mwenyewe kuwa hapa ninamkosea mtu.

Ninakwambia ukweli kuwa humfanyii vyema huyo binti.
Anataka mtoto lkn unamfanyia hila.

Niliwahi kukwambia kuwa kama Mungu yupo na anaishi na hutenda kwa haki sijui sana....naishia hapa
Mkuu,
Mi namsaidiaje mwanamke wa namna hii
Hapa nakwambia namtakia mema Sana,

1. Nmejaribu Kamfungulia biashara,nmejaribu kumcoach aende vizur, majibu yake nisimuingile kwny biashara yake. Mi sio mzazi wake.

2. Nmemjengea kaanza ngebe Kama vipi tuachane, ujenz unaendelea. Ikabd nyumba irudoshwe kwa wife

3. Pale anapoishi Kodi nalipa mm, na kila kitu changu. ila akikasirika kdg utaskia
"Sitak nikuone kwangu,Rudi kwa mkeo"

4. Nikikosa Ela labda aliomba mambo hayajakaa vizur,masimango ya kila Aina
Atanilinganisha na maex wake wa kila aina

5. Akikasirika anatukana matus hadi ya nguoni, hadi mzAzi ananitukania.baadae anasema usiyarudie yalishapita alikua na hasira

6. Kuna siku alinitukania mzaz,hasira nikapiga mpk tukafikishana polisi nikalipa pesa kibao kuzima ile kesi isimfikie wife

Ni mengi ,Ni mengi sana mkuu.....
Huyu mwanamke usimtee tuu mkuu,

Nikikupa ukae nae hata mwezi Kama una roho nyepesi unamuua au unajiua.

Fikiria niliwahi mnunulia Simu kwa 760k,
Hatukukaa Sana Tukagombana mwezi mzima hatuongeleshani.

Tuliporudiana nikakuta kahamia kwny infinix, kuuliza ile Simu vipi, akasema aliiuza laki 3 aliishiwa hela ya kula.
Eti nategemea angeishije na Ela ya kula niliacha kumpa.

Yaan Kuna vitu vinatia hasira saa mkuu.

Usipende kumtete Sana huyu Mwanamke [emoji26][emoji3525]
 
Mkuu,
Mi namsaidiaje mwanamke wa namna hii
Hapa nakwambia namtakia mema Sana,

1. Nmejaribu Kamfungulia biashara,nmejaribu kumcoach aende vizur, majibu yake nisimuingile kwny biashara yake. Mi sio mzazi wake.

2. Nmemjengea kaanza ngebe Kama vipi tuachane, ujenz unaendelea. Ikabd nyumba irudoshwe kwa wife

3. Pale anapoishi Kodi nalipa mm, na kila kitu changu. ila akikasirika kdg utaskia
"Sitak nikuone kwangu,Rudi kwa mkeo"

4. Nikikosa Ela labda aliomba mambo hayajakaa vizur,masimango ya kila Aina
Atanilinganisha na maex wake wa kila aina

5. Akikasirika anatukana matus hadi ya nguoni, hadi mzAzi ananitukania.baadae anasema usiyarudie yalishapita alikua na hasira

6. Kuna siku alinitukania mzaz,hasira nikapiga mpk tukafikishana polisi nikalipa pesa kibao kuzima ile kesi isimfikie wife

Ni mengi ,Ni mengi sana mkuu.....
Huyu mwanamke usimtee tuu mkuu,

Nikikupa ukae nae hata mwezi Kama una roho nyepesi unamuua au unajiua.

Fikiria niliwahi mnunulia Simu kwa 760k,
Hatukukaa Sana Tukagombana mwezi mzima hatuongeleshani.

Tuliporudiana nikakuta kahamia kwny infinix, kuuliza ile Simu vipi, akasema aliiuza laki 3 aliishiwa hela ya kula.
Eti nategemea angeishije na Ela ya kula niliacha kumpa.

Yaan Kuna vitu vinatia hasira saa mkuu.

Usipende kumtete Sana huyu Mwanamke [emoji26][emoji3525]
Piga chini ili apate kichaa mwenzake wakazae.
Unamng'ang'ania wa nini?.

Namna bora ya kumsaidia acha kumhurumia anapojileta
 
Zaman tunaanza Anza nilikua nampeleka shopping namnunulia, ila Nikagundua Hana shukrani na haridhiki.

Hivi inakuingia akilini t umenunua sketi ya gharama, KESHO unakuta kaikanyagia kaigeuza dekio au kampa mdg wake.

Chumban kwake ana ukuta mzima umejaa viatu, ana viatu vina Hadi miaka 3 hajavivaa Ila Lila siku anataka abadilishe viatu.

Skuhz hela za kipuuzi puuz tofauti na posho ya kula simpi, nadhan ndo anatumia mshahara wake na posho za kazin kwake kufanyia huo Ujinga.

Fikiria siku ya birthday cake nilimpa 100k akanunue nguo ya mtoko tutoke out usiku.
100k kaenda kununua hereni za elf90 TU .

Afu kwny mtoko kaja na gauni lake la zamani kavalia hizo hereni zake za elfu 90, niliumia Sana Basi TU.
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Demu wa hovyo sana mama J
 
Mkuu,
Mi namsaidiaje mwanamke wa namna hii
Hapa nakwambia namtakia mema Sana,

1. Nmejaribu Kamfungulia biashara,nmejaribu kumcoach aende vizur, majibu yake nisimuingile kwny biashara yake. Mi sio mzazi wake.

2. Nmemjengea kaanza ngebe Kama vipi tuachane, ujenz unaendelea. Ikabd nyumba irudoshwe kwa wife

3. Pale anapoishi Kodi nalipa mm, na kila kitu changu. ila akikasirika kdg utaskia
"Sitak nikuone kwangu,Rudi kwa mkeo"

4. Nikikosa Ela labda aliomba mambo hayajakaa vizur,masimango ya kila Aina
Atanilinganisha na maex wake wa kila aina

5. Akikasirika anatukana matus hadi ya nguoni, hadi mzAzi ananitukania.baadae anasema usiyarudie yalishapita alikua na hasira

6. Kuna siku alinitukania mzaz,hasira nikapiga mpk tukafikishana polisi nikalipa pesa kibao kuzima ile kesi isimfikie wife

Ni mengi ,Ni mengi sana mkuu.....
Huyu mwanamke usimtee tuu mkuu,

Nikikupa ukae nae hata mwezi Kama una roho nyepesi unamuua au unajiua.

Fikiria niliwahi mnunulia Simu kwa 760k,
Hatukukaa Sana Tukagombana mwezi mzima hatuongeleshani.

Tuliporudiana nikakuta kahamia kwny infinix, kuuliza ile Simu vipi, akasema aliiuza laki 3 aliishiwa hela ya kula.
Eti nategemea angeishije na Ela ya kula niliacha kumpa.

Yaan Kuna vitu vinatia hasira saa mkuu.

Usipende kumtete Sana huyu Mwanamke [emoji26][emoji3525]
Amna Mali apa pisi Ina tabia mbovu sana
 
BAADA YA SIKU 2 ZA DEADLINE KUPITA
Ikaongezeka siku ya 3 bado kimya, ikabd nitafte watu wangu wa karibu wanaoweza kuipush ile Simu haraka haraka nipate pesa nifanya mbo mengine.

Miongoni mwa wale Watu nikampata na bodaboda wa mamaJ na kumwambia nna Simu yangu samsung imetulia naipush kwa 350,000, nnachotaka nipate tu 250,000 nitaftie mteja wa haraka haraka jamaa. Akasema POA. Kisha nikamtuma picha zake WhatsApp Kwny Simu ya rafki yake.

Hatukukawia Sana,
Siku 3 mbele kanambia kuna sista mmoja mteja wake sana anaitaka, anayo 250,000 ila kamwambia anauza 350,000 mimi nikomae mwisho 300,000 ili apate ya maji.
MDA si mrefu atampa Simu mbele yake ili niongee nae tukubaliane bei. Nikasema sawa. Mpelekee Simu.

Kwny Simu, dada akasema Simu kaipenda ila 350,000 Hana. Nikamuuliza IPO Bei gan sasa.
dada akasema ipo 250,000 tu.

Nikamwambia hiyo Simu, sista kwa 250,000 haiendi maana bado mpya Kama unavoiona imetumika mwezi tu na Dukani Ni 650,00. Hiyo simu bei yake mwisho 300,000. Naiuza TU kwasababu nmenunua Simu nyngn Kali Zaid ya hiyo.

Basi Sista akaomba kuja kuikagua, nikamwambia boda uyo uyo akulete uikague. Basi boda akamleta yule dada dukan kuikagua Simu, kaipenda kaomba apunguziwe na Tukakubaliana mwisho 280,000. Sista kalipia 280,000. Kisha wakaondoka na boda.

Baadae boda kanipigia nampozaje maji yetu Yale, nikamwambia aje dukan, kaja na nikampatia elfu 30 yake Kama Cha juu maana tulishakubaliana tangu mwanzo kua mimi nahitaji top top 250,000 TU. Itakayozid ya kwake. Nikampatia akaondoka na Maisha yakaendelea.

Sasa Juz mamaJ kanipigia analalamika kwamba Mimi mwanaume sifai hata kidg, inavoonekana nafurahia matatzo yake. Haiwezekani Simu ilioibiwa dukan kwake nmeikomboa na nmekwenda kuiuza kwa boda wake kwa 280,000.

Akalalamika kua anawasiwasi Mimi huenda ndo nmetuma Watu waibe ile Simu ili niiuze nipate faida, mwanaume gani Sina utu nnaangalia fedha TU, sijali anapitia kipind gan, nayatumia matatizo yake kujinufaisha kiuchumi maana polisi anajua niliikomboa kwa 180,000 afu anashangaa anamkuta nayo boda na kumwambia alinunua kwangu kwa 280,000. Nnapenda Sana Ela na hazitonifikisha popote.

Ikabd kumfahamisha kua tusileteane mapenz na masihara kwny maswala ya pesa. When am talking abt business, namaanisha kweli am in business. Nilikupa deadline na ukashindwa kuitekeleza. Kwahyo sikua na namna Zaid ya kuiuza na kurudisha pesa zangu.

Na namshkuru mungu na faida kdg ya mafuta na usumbufu zile nenda Rudi nmepata. Kwahyo wee lalamika tu mpk uchoke,ila jua tayar Simu yenywe ishauzwa na haiwez kurudi tena.
Kanunue Simu nyngn mpya Kama ulivyoahidi. Basi nikamkatia Simu.

Ikabd Sasa kumpigia boda imekuje Simu ile kakutwa nayo na mamaJ na iliuzwa kwa yule sista, akasema alikua amempakia kwny pikpik aliposhuka kwake kupokea simu ya mteja mwngn akaiona na kumwambia Simu nzur Katoka kwny kitochi lini, aliipenda Sana ,kainunua wapi,ndo akasema nmeinunua kwangu. Kisha ikaisha hivyo.

Boda Akakiri kua alinidanganya TU, ile Simu aliipenda sana na alikua ananunua yeye na sio yule sista.
Nikamuuliza ilikuaje Sasa, akasema alimtuma TU yule mdada pisi Kali akiamini atapunguziwa Bei zaidi. Kuliko akiinunua yeye mwnyw km mwanaume.

Nikamuuliza Sasa Mbona Bei niliuza ile ile 250,000 Nilokwambia mwanzo, si ungenunua ww mwnyw Moja kwa Moja kwangu kuepuka usumbufu.
Akasema alitegemea kwasababu Ni pisi kali labda ile 250,000 nayo ingeshuka zaidi ya hapo.

Akaongezea kua,
Alivoona sijatetereka sn kwny kuiuza kwasababu ya yule pisi kali ikabd ampe tip dada kua inunuliwe hivyo hivyo waondoke kunasehem anawahi na yule dada alikwenda kumpoza kwa elfu 5 uko mbele ya safari. Basi nikasema haina shida. Fresh. Tukaagana nikakata Simu.

Sasa Jana usku nmeenda kwake,
Kaninyima hadi penzi,kanuna balaa kisa suala Lile la Simu niliyouza. Nilichomwambia yeye anune awezavyo mpk apasuke, Tisiingize mahaba kwenye masuala ya pesa na biashara.

Pesa za biashara hazitakiwi kuchanywa na pesa za mapenzi.
Ili tufike mbali lazima Tuheshimu makubaliano.

HIVI VITU VIWILI HAVIWEZI KUCHANGANYIKA HATA SIKU MOJA.

Basi Baada ya kumwambia hivyo,
Nikavaa nikamuachia posho Yake na kuondoka zangu kuelekea nyumban kwangu.

########mwisho#####

NAWASILISHA WAKUU[emoji1431]

Mkuu wewe ni mwamba [emoji1430][emoji1430]

Ila toka mama J aanze kuachiwa kodi ya meza imeshafika bei ya Fuso [emoji3]
 
DeepPond Polisi amewauza na ana tamaa..
Gharama za usumbufu analipa mwizi wa simu na sio ninyi. Hata kama ile 50 mngetoa mwizi angerudisha. Yani mlipaswa mkutanishwe na mwizi wenu ili mumpatie dau lenu la usumbufu awalipe. Sasa polisi anakula milion na bado awalipishe tena jamani?
Nishapoteza simu nikaipata kupitia njia yenu mliyotumia. Alinilipa zaidi ya laki 7 (usumbufu na gharama za kamata kamata)
 
Back
Top Bottom