Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Adui wa mwanamke ni mwanamke🤣🤣Mwenye matatizo ni mama J na sio wewe yeye ndio anatakiwa ajue future yake na kila ukitaka kumfundisha hafundishiki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Adui wa mwanamke ni mwanamke🤣🤣Mwenye matatizo ni mama J na sio wewe yeye ndio anatakiwa ajue future yake na kila ukitaka kumfundisha hafundishiki
Hata ambao wanahangaika ni wale wale tu sijawah ona tofautiWaliokwisha stabilize kiuchumi ndio wanafanya ufuska zaidi. Ndio maana utakuta wanaume waliooa wengi ndio wana mahawara.
Mama J kachelewa kukua sanaMasikini mwaka kesho kutwa tuu anagonga 30 dah. Ila kwa umri wake wewe ndio ilibidi umsaidie atoke hapo alipo kimaisha.
Miaka ya 20's wanawake wengi kama hayupo ndoani au hana mtoto anakuwa anawaza bata tuu bila kushikwa mkono hutoboi.
Huyu Sijui Ni makuzi au vipi,Jitahidi basi as repayment kwa goodsex anayokupa mfundishe maisha ya kujitegemea. Mfundishe polepole kimahaba angalau afunguke kidogo anatia huruma.
Anasema hana hata cha kupika nyumbani while kila siku anapata posho kazini. Ajifunze bajeti na akiba. Pia abadilike tabia yake hiyo [emoji17][emoji17][emoji17][emoji17][emoji17]
Upo makini sana maisha yako 😂😂Nacheza na kalenda yake ya hedhi, yeye haijui vizur, safe dates nammwagia ndani.
Akiwa danger nafanya mpk namchosha haendelei Tena, Kisha naenda kumwaga kwa Mchepuko mwngn au kwa wife.
Tukaenda hivyo yaan,
Hatakagi nimwagie nje, nikimwagia nje huwa analalamika sana anadai anataka mtt
Hahahahah kumbe hadi kwahio wasio na hela wanahangaika na wanawake. 😀😀😀Hata ambao wanahangaika ni wale wale tu sijawah ona tofauti
Hahahahah kumbe hadi kwahio wasio na hela wanahangaika na wanawake. [emoji3][emoji3][emoji3]
Nanyie si hamtaki wasio na hela inakuwaje au ndio mizagamuanoUnadhan wanaumr ambao hawana kitu hawanaga wanawake?wanao tena kibao
Huyu Sijui Ni makuzi au vipi,
Anaweza akawa na pesa Ila akakwambia analala nja kisa siku hiyo sijaacha posho.
Inafikia hatua hivi bila.kuacha posho huyu mtu IPO siku ntakuta kafa humu ndani na ana Ela kwny account
Yeye pesa zake Ni kununua nguo nzur, salun expensive, perfume na vipodozi vya gharama na hataki show yyt ya msanii impite.
Wewe kwa akili yako umeona kuna mahaba hapa au ngono tu?😂😂😂Jitahidi basi as repayment kwa goodsex anayokupa mfundishe maisha ya kujitegemea. Mfundishe polepole kimahaba angalau afunguke kidogo anatia huruma.
Anasema hana hata cha kupika nyumbani while kila siku anapata posho kazini. Ajifunze bajeti na akiba. Pia abadilike tabia yake hiyo [emoji17][emoji17][emoji17][emoji17][emoji17]
Nanyie si hamtaki wasio na hela inakuwaje au ndio mizagamuano
Mbona nishamtafutia Watu Sana wamseme ila ndo hivo hasikii.Masikini mwaka kesho kutwa tuu anagonga 30 dah. Ila kwa umri wake wewe ndio ilibidi umsaidie atoke hapo alipo kimaisha.
Miaka ya 20's wanawake wengi kama hayupo ndoani au hana mtoto anakuwa anawaza bata tuu bila kushikwa mkono hutoboi.
Enjoy tu kula mbususu yake ,msaidie kadri unavyoweza lkn achana na mawazo ya kumbadilishaKichwa maji mno mkuu,
najaribu kila namna kumbadilisha ila sio riziki kabisa huyu mwanamke[emoji3525]
Kumbe unajua hela yake inakopotelea 🤣🤣🤣 sema tuko tofauti sana.Huyu Sijui Ni makuzi au vipi,
Anaweza akawa na pesa Ila akakwambia analala nja kisa siku hiyo sijaacha posho.
Inafikia hatua hivi bila.kuacha posho huyu mtu IPO siku ntakuta kafa humu ndani na ana Ela kwny account
Yeye pesa zake Ni kununua nguo nzur, salun expensive, perfume na vipodozi vya gharama na hataki show yyt ya msanii impite.
Hapana simlaumu kachelewa kukua, kuna umri baadhi ya wanawake tunakuwa tunategemea kupushiwa na mtu ili ufike sehemu bila kufikiria unarudi nyuma, unabaki palepale au unaendan mbele.Mama J kachelewa kukua sana