Mchepuko anachanganya mapenzi na pesa, nilichomfanyia nadhani kapata funzo

Mchepuko anachanganya mapenzi na pesa, nilichomfanyia nadhani kapata funzo

Mkuu,
kwa akili hii nikimuacha sahv ndo atapotea kabisa,maana hajui aanzie wali aende wapi.

Afu kingine mi hata skuhz simzingatii Sana,mara kibao TU yeye ndo husema
"Kama vipi tuachane" najibu "POA"

Nakata huduma na mguu kwake,
Akikaa TU hata mwezi hatoboi lazima anitafute kusema chochote Cha kupika nyumbani.

Nikimtumia na nikaenda,
Penzi ananipa Kama kawaida na tunarudiana.
Jitahidi basi as repayment kwa goodsex anayokupa mfundishe maisha ya kujitegemea. Mfundishe polepole kimahaba angalau afunguke kidogo anatia huruma.

Anasema hana hata cha kupika nyumbani while kila siku anapata posho kazini. Ajifunze bajeti na akiba. Pia abadilike tabia yake hiyo [emoji17][emoji17][emoji17][emoji17][emoji17]
 
Wanawake hawapo kama mvinyo!! Umri unavyokatika na ndivyo ladha yao inavyopungua. So itafikia muda atakuwa hana tena kitu kingine cha kuoffer kwa DeepPond zaidi ya mdomo na kauli zake chafu and it will be the end of that chaotic love story.

Uzuri huisha ila tabia njema hubaki.
Mwishoni umemaliza vzur Sana,
Changamoto ya mamaJ Ni tabia,
Tabia zake Ni za hovyo Hakuna mwanaume anaweza kuvumilia.
Mi mwnyw navumilia kwasababu sijapata mbadala wake,maana haiwezekani nagharamia afu nateseka namna hii.
 
Mkuu,
kwa akili hii nikimuacha sahv ndo atapotea kabisa,maana hajui aanzie wali aende wapi.

Afu kingine mi hata skuhz simzingatii Sana,mara kibao TU yeye ndo husema
"Kama vipi tuachane" najibu "POA"

Nakata huduma na mguu kwake,
Akikaa TU hata mwezi hatoboi lazima anitafute kusema chochote Cha kupika nyumbani.

Nikimtumia na nikaenda,
Penzi ananipa Kama kawaida na tunarudiana.
That is the sign that you are starting loosing interest on her.

Penzi lenu limefikia ile stage ya stationary phase ( mnachukuliana kawaida tu/mazoea)
738978_424946_ans_1b11ad0d760243079c9c3466a4544848.PNG
 
Kwahio we huna nyumba utakua unafanyaje ufuska na mawazo. Wanaume wote wenye michepuko ni wale wenye disposable income.

Alishafanya yale ya lazima sasa hela inakuwa nyingi haina kazi ndio tunaanzaga umalaya hapo.
Sijakuelewa unataka kusema wenye nyumba hawafanyi ufuska ni asilimia ngapi vijana wamejenga nyumba zao ?na walopanga mbona ni wengi tu
 
Mkuu,
uyo Glenn atanilaumu mi mbinafs,
Ila mamaJ hata nikimuacha,

kwasasa Hana popote pa kushika maana maisha yake hayana refaree yeyote

Najaribu Sana kwenda nae ili angalau awe mwanamke Bora tufanye maendeleo.

Ujue nataman pia kumuoa,
Ila kuoa mwanamke Kama mamajJ huyu was Sasa Ni kujitafutia kiharusi na kisukari
Mkuu ni kweli katika kila uzi wa mama J lazima nikulaumu kwa sababu hizi;

Sisi wanaume sisi ni viongozi lazima tuwaongoze wanawake kwa kuwaelekeza kilicho sahihi.

Tusiwatumie kwa faida yetu wenyewe na kuwaacha huku umemtumia miaka na miaka unamwacha akiwa skrepa.

TAtu...ni muda sasa ulishagundua huyo dada hamnazo lkn unang'ang'ania kipochi chake huku ukijua huyo ni hewa na huendi naye kokote.

Ushauri wangu kwako na kwetu wanaume ukiona ke umekaa naye na unajua fika hutamuoa hebu mpe nafasi apate mwenza for good.
Kaa naye mpe ukweli.

From there hata akilaumu hutakuwa na hatia.
Plz mwandae huyo binti kumwacha mdogo mdogo mpe hata mwaka lkn akijua ndio mnaachana hivi
 
Aloooo
4yrs!!
Ma J ako na miaka ngapi?

Niko nae mwaka wa 4 Sasa,
Ni nilichoamua Ni kwamba Kama asipojitambua na kujirekebisha Basi ataendelea kutumika mpk anazeeka na maendeleo nafanya na wife TU.
 
That is the sign that you are starting loosing interest on her.

Penzi lenu limefikia ile stage ya stationary phase ( mnachukuliana kawaida tu/mazoea) View attachment 2479749
Sio Kama namchukuoia POA,
Maana kauli zake za tuachane nmezizoea Sasa, yaan hauwez kupita mwezi hatujagombana.

Ni mahusiano flan ya vuta-nikuvute
Ndo maana kila mara naleta visa vya mamaJ humu wengine wanasema Ni chai.

Kiukweli ni mahusiano ya malumbano kila siku, ila kwasababu napata penzi yeye aendelee na sarakasi zake tuone Nani anapata hasara.

Na sahv anataka kuzaa Sana na mm,
Ila nafanya kusud kutozaa nae asije nisumbua zaidi mbelen kwa Kisingizio Cha mtoto.
 
Sijakuelewa unataka kusema wenye nyumba hawafanyi ufuska ni asilimia ngapi vijana wamejenga nyumba zao ?na walopanga mbona ni wengi tu
Waliokwisha stabilize kiuchumi ndio wanafanya ufuska zaidi. Ndio maana utakuta wanaume waliooa wengi ndio wana mahawara.
 
Niko nae mwaka wa 4 Sasa,
Ni nilichoamua Ni kwamba Kama asipojitambua na kujirekebisha Basi ataendelea kutumika mpk anazeeka na maendeleo nafanya na wife TU.
Bro kwa upendo tu nikwambie...
Anguko lako kimaendeleo laweza kuanzia kwa mama J.

How?
When?
Siwezi kusema lkn tunza hilo neno
 
Alizaliwa 95
Masikini mwaka kesho kutwa tuu anagonga 30 dah. Ila kwa umri wake wewe ndio ilibidi umsaidie atoke hapo alipo kimaisha.
Miaka ya 20's wanawake wengi kama hayupo ndoani au hana mtoto anakuwa anawaza bata tuu bila kushikwa mkono hutoboi.
 
unamwagaga nje ehh????kwaumri wake hawazi/tamani kuwa na mtoto
Nacheza na kalenda yake ya hedhi, yeye haijui vizur, safe dates nammwagia ndani.

Akiwa danger nafanya mpk namchosha haendelei Tena, Kisha naenda kumwaga kwa Mchepuko mwngn au kwa wife.

Tunaenda hivyo yaan,
Maana skuhz Hatakagi nimwagie nje, nikimwagia nje huwa analalamika sana anadai anataka mtt
 
Back
Top Bottom