Mchepuko anachanganya mapenzi na pesa, nilichomfanyia nadhani kapata funzo

Mchepuko anachanganya mapenzi na pesa, nilichomfanyia nadhani kapata funzo

Wakati kwa jinsi unavyomuelewa angenunua hata kiwanja aanze kamsingi ungemsapoti sana.

Mtu ana kazi, ana posho ya kazini 10k kila siku nje ya mshahara na bado anapewa na mchepuko 10k kila siku ukijumlisha sio chini ya milioni kwa mwezi, hana mtoto wa kusema anahudumia, hatoi hata mia ya kodi angekuwa mbali sana.

Labda kama anafanya maendeleo kwao kimya kimya bila kukwambia. Hapo utakuta bado ana vidili kazini vinampa hela za ziada.
Kama hafanyi chochote basi kuna kiti hakipo sawa kwake kabisa.

Sasa halaf unataka umlaumu Dp jamani anafanya sehemu yake mbona ,kwa wanaume wa kibongo DP anajitahidi mno kuna watu hawajali kabisa hawahudumii
 
Ashasema anawaza bata tu yeye
Kwanza ajue mama J akiamua kumharibia ndoa anaweza sababu hana cha kupoteza.
Ninaogopa sana mwanamke mpenda bata tuu kila siku na haoni mbele.
Napenda mtu anayeona mbele ili ifike siiu akushukuru kwa kidogo ulichompa tafu.
Kwa huyu mama J wote DeepPond na mama J wanapoteza na kibaya zaidi wataachana vibaya
 
Sahii kabisa mkuu,
Ntakupa mfano mwngn,
Kuna siku nmetoka Niko Safar nikaona gaun zur Sana refu la damu ya mzee.

Nikalinunua Dolla 175 na kubeba nije kumpa zawadi mamaJ.

MamaJ alipoliona TU akasemagauni gani hili la kizee, refu Sana linafunika Hadi visigino. Nikamwambia SI utaenda kulipunguza likukae sawa.

Alipolivaa likawa linampwelepweta halibani vizur matako, akasema Kwanza gauni sijalipenda lirudishe dukan wanibadilishie.

Nikamwambia kurud haiwezekani maana nmenunua nje ya nchi, fanya ukalipeleke kwa fundi akalibane unavotaka.

Akasema mpelekee mkeo akavae,
Mimi silitaki maana Ni refu Sana limekaa kizee zee sana afu rangi Yake imekaa kichawi chawi Sana.

Silitaki.
Niliumia nikaliacha pale kwake kwamba sijamnunulia wife,nmeununulia Wewe.
Kama unaona halifai, huwez kulirekebisha Basi silirudishi dukan, wee lichome TU Moto nihesabu hasara.

Lile gauni lilikaa miez hajalivaa,
Nikaja kuliona kalivaa mdg wake rose na mpk Leo analo.

Hivi unadhan Kama mwanaume Kuna siku ntawashwa washwa kumnunulia zawad mtu Kama Huyu?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ana mdomo jamani
 
WOSIA KWA WANAWAKE

Ukitaka uishi vizuri na mwanaume basi uwe mwepesi wa kushukuru pale mwanaume anapotoa kukupa wewe japo kile anachokitoa utakiona ni kidogo mbele ya macho yako ila jua kina thamani kubwa kwa yule aliyekitoa kukupa wewe. Mwanaume anapokupa muombee abarikiwe zaidi ya kile alichokitoa.


Usiwe na mdomo mchafu kwa mwenza wako. Usipende kujibizana au kutukanana nae pale unapomuona ameghadhabika, Usimpandishie sauti mwanaume hasa unapokuwa mbele za watu. Pendelea sana kuwa chini yake katika kauli.

Hakuna mwanaume bahili, nature yetu wanaume ni kutoa
 
Kwanza ajue mama J akiamua kumharibia ndoa anaweza sababu hana cha kupoteza.
Ninaogopa sana mwanamke mpenda bata tuu kila siku na haoni mbele.
Napenda mtu anayeona mbele ili ifike siiu akushukuru kwa kidogo ulichompa tafu.
Kwa huyu mama J wote DeepPond na mama J wanapoteza na kibaya zaidi wataachana vibaya
Hamna anayepoteza zaidi ya mama J sababu Pond ana control na maisha yake. Ameoa na ana familia na anafanya mambo amabayo anapaswa kuyafanya kama baba kikamilifu.

Huyo mama J ndio yeye hajielewi hajui anapaswa afanye nini kwenye maisha yake. Hana akili wala uwezo wa kujitegemea thus why anakuwa kama Prey kwa Pond.
 
Kwanza ajue mama J akiamua kumharibia ndoa anaweza sababu hana cha kupoteza.
Ninaogopa sana mwanamke mpenda bata tuu kila siku na haoni mbele.
Napenda mtu anayeona mbele ili ifike siiu akushukuru kwa kidogo ulichompa tafu.
Kwa huyu mama J wote DeepPond na mama J wanapoteza na kibaya zaidi wataachana vibaya

Wanavyokosana ndio wanavyopendana hivi hujawah kuona watu wa hivyo hawaachanagi mapema [emoji23][emoji23]
 
[emoji1787][emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Huyo ni haramia kwa kauli kama hizo hafai. Tuendelee kusaga valve tu hadi Yesu ataporejea.
Zaman nilikua nateseka Sana akisema vile,
Ila nowdays nishazoea, alisema tuachane nasema POA. Atajichetua uko njaa ikimuuma anajirudisha.

Kuna siku aliwahi kusema tuachane anarud kwa ex mwake Ni mwalimu wa sekondari wanapendena sana,jamaa anaonyesha kumjali sio Kama mimi. Nikamruhusu nenda.

Alivoona maisha ya kule alikoenda hayako Kama alivozoea kwangu,kila siku jamaa hamtimizij mahitaji yake, wakagombana na akajirudisha kwangu na nikampokea.
 
WOSIA KWA WANAWAKE

Ukitaka uishi vizuri na mwanaume basi uwe mwepesi wa kushukuru pale mwanaume anapotoa kukupa wewe japo kile anachokitoa utakiona ni kidogo mbele ya macho yako ila jua kina thamani kuwa kwa yule aliyekitoa kukupa wewe. Mwanaume anapokupa muombee abarikiwe zaidi ya kile alichokitoa.


Usiwe na mdomo mchafu kwa mwenza wako. Usipende kujibizana au kutukanana nae pale unapomuona ameghadhabika, Usimpandishie sauti mwanaume hasa unapokuwa mbele za watu. Pendelea sana kuwa chini yake katika kauli.

Hakuna mwanaume bahili, nature yetu wanaume ni kutoa
Hilo wanawake wanaoliweza ndio unaona kila siku wanapelekwa vacation za Dubai, Ibiza, Serengeti kulisha twiga. Ila visebengo wanaishia buza kwenye bar za wauza nguruwe jeshini 🤣🤣🤣
 
Zaman nilikua nateseka Sana akisema vile,
Ila nowdays nishazoea, alisema tuachane nasema POA. Atajichetua uko njaa ikimuuma anajirudisha.

Kuna siku aliwahi kusema tuachane anarud kwa ex mwake Ni mwalimu wa sekondari wanapendena sana,jamaa anaonyesha kumjali sio Kama mimi. Nikamruhusu nenda.

Alivoona maisha ya kule alikoenda hayako Kama alivozoea kwangu,kila siku jamaa hamtimizij mahitaji yake, wakagombana na akajirudisha kwangu na nikampokea.
Ndio maana nasema huyo kwako kujiondoa hawezi. Hana independent thinking. Ni kiazi kwa asili 😀😀😀 na kwakuwa hana adabu hawezi fika mbali na mahusiano. Atakuwa anaachika mapema sana sababu ya mdomo mchafu.
 
Sahii kabisa mkuu,
Ntakupa mfano mwngn,
Kuna siku nmetoka Niko Safar nikaona gaun zur Sana refu la damu ya mzee.

Nikalinunua Dolla 175 na kubeba nije kumpa zawadi mamaJ.

MamaJ alipoliona TU akasemagauni gani hili la kizee, refu Sana linafunika Hadi visigino. Nikamwambia SI utaenda kulipunguza likukae sawa.

Alipolivaa likawa linampwelepweta halibani vizur matako, akasema Kwanza gauni sijalipenda lirudishe dukan wanibadilishie.

Nikamwambia kurud haiwezekani maana nmenunua nje ya nchi, fanya ukalipeleke kwa fundi akalibane unavotaka.

Akasema mpelekee mkeo akavae,
Mimi silitaki maana Ni refu Sana limekaa kizee zee sana afu rangi Yake imekaa kichawi chawi Sana.

Silitaki.
Niliumia nikaliacha pale kwake kwamba sijamnunulia wife,nmeununulia Wewe.
Kama unaona halifai, huwez kulirekebisha Basi silirudishi dukan, wee lichome TU Moto nihesabu hasara.

Lile gauni lilikaa miez hajalivaa,
Nikaja kuliona kalivaa mdg wake rose na mpk Leo analo.

Hivi unadhan Kama mwanaume Kuna siku ntawashwa washwa kumnunulia zawad mtu Kama Huyu?
Aiseeee!!! Hawa ndio dizaini ya wanawake unaowapa elfu 20000 halafu anakutupia na kukuambia kuwa hela gani hii unanipa.!!

Imagine umeacha kumnunulia mkeo ukaona umnunulie yeye halafu unafika anakujibu majibu ya kukata maini hivyo. Nakupongeza mkuu kwa kudumu nae...kwani unevumilia mengi na probably atakusababisha kichwa chako kijae mvi kabla ya wakati wake.
 
Aiseeee!!! Hawa ndio dizaini ya wanawake unaowapa elfu 20000 halafu anakutupia na kukuambia kuwa hela gani hii unanipa.!!

Imagine umeacha kumnunulia mkeo ukaona umnunulie yeye halafu unafika anakujibu majibu ya kukata maini hivyo. Nakupongeza mkuu kwa kudumu nae...kwani unevumilia mengi na probably atakusababisha kichwa chako kijae mvi kabla ya wakati wake.
Eeh ndio mule mule, anaweza kukujibu upuuzi hadi ukaishiwa pozi.
 
Hamna anayepoteza zaidi ya mama J sababu Pond ana control na maisha yake. Ameoa na ana familia na anafanya mambo amabayo anapaswa kuyafanya kama baba kikamilifu.

Huyo mama J ndio yeye hajielewi hajui anapaswa afanye nini kwenye maisha yake. Hana akili wala uwezo wa kujitegemea thus why anakuwa kama Prey kwa Pond.
DeepPond amhurumie tu aachane naye for good
 
Aiseeee!!! Hawa ndio dizaini ya wanawake unaowapa elfu 20000 halafu anakutupia na kukuambia kuwa hela gani hii unanipa.!!

Imagine umeacha kumnunulia mkeo ukaona umnunulie yeye halafu unafika anakujibu majibu ya kukata maini hivyo. Nakupongeza mkuu kwa kudumu nae...kwani unevumilia mengi na probably atakusababisha kichwa chako kijae mvi kabla ya wakati wake.
Niko nae mwaka wa 4 Sasa,
Ni nilichoamua Ni kwamba Kama asipojitambua na kujirekebisha Basi ataendelea kutumika mpk anazeeka na maendeleo nafanya na wife TU.
 
Back
Top Bottom