Mchepuko anachanganya mapenzi na pesa, nilichomfanyia nadhani kapata funzo

Mchepuko anachanganya mapenzi na pesa, nilichomfanyia nadhani kapata funzo

Hata huko waloolewa wengine wanaachiwa 5000 tu nao ni sex slave?au uchumi wa mme mbovu trudie
Sasa mpendwa kwa scenario kama hii utamfananisha mama J na mama G?? Hata wote wakiwa wanaachiwa 5000 mama J hana chake kwa DP hata miradi yake hamshirikishi na hajui chochote zaidi ya starehe na bata.

Mama G hata leo wakiachana ana advantage yake kwa mumewe ndio maana hata nyumba aliyomkarabatia mama J akazingua aliambiwa mke wake. While mama J ataanza upya maisha tena asivyojua bajeti atapata tabu sana ( ingawa sikuombei)
 
Haezi muacha as long as anafaidika na huduma yake ya sex. Anampa satisfaction na hio ndio main purpose ya kuendelea kuwa nae.
Kwa komenti hii na anachofanya Dp na yanayoendelea nchi hii sisi kwenye eneo la ubinadamu na utu bado sana.

Tukubali tukatae tumejaa ubinafsi mkubwa.
Unajinufaisha kwa mtu kwa ajili ya furaha yako kwa kutumia ujinga na umaskini wa mtu.
NO no
 
Kwa komenti hii na anachofanya Dp na yanayoendelea nchi hii sisi kwenye eneo la ubinadamu na utu bado sana.

Tukubali tukatae tumejaa ubinafsi mkubwa.
Unajinufaisha kwa mtu kwa ajili ya furaha yako kwa kutumia ujinga na umaskini wa mtu.
NO no
Yeah CCM ndo imetufundisha hivyo hakuna aliyezaliwa na akili hio.
 
Haezi muacha as long as anafaidika na huduma yake ya sex. Anampa satisfaction na hio ndio main purpose ya kuendelea kuwa nae.
Wanawake hawapo kama mvinyo!! Umri unavyokatika na ndivyo ladha yao inavyopungua. So itafikia muda atakuwa hana tena kitu kingine cha kuoffer kwa DeepPond zaidi ya mdomo na kauli zake chafu and it will be the end of that chaotic love story.

Uzuri huisha ila tabia njema hubaki.
 
DeepPond amhurumie tu aachane naye for good
Mkuu,
kwa akili hii nikimuacha sahv ndo atapotea kabisa,maana hajui aanzie wali aende wapi.

Afu kingine mi hata skuhz simzingatii Sana,mara kibao TU yeye ndo husema
"Kama vipi tuachane" najibu "POA"

Nakata huduma na mguu kwake,
Akikaa TU hata mwezi hatoboi lazima anitafute kusema hamna chochote Cha kupika nyumbani.

Nikimtumia na nikaenda,
Penzi ananipa Kama kawaida na tunarudiana.
 
Kuna wanawake unaweza ukajitutumia kumtumia pesa kwenye simu mara baada ya kukuomba, ila cha ajabu usiambulie hata ile sms ya kusema kuwa "shukrani/ahsante nimeipata" mpaka uamue kumpigia wewe simh kumuuliza je pesa niliyokutumia umeipata ndio akujibu ndio nimeipata.
 
Wanawake hawapo kama mvinyo!! Umri unavyokatika na ndivyo ladha yao inavyopungua. So itafikia muda atakuwa hana tena kitu kingine cha kuoffer kwa DeepPond zaidi ya mdomo na kauli zake chafu and it will be the end of that chaotic love story.

Uzuri huisha ila tabia njema hubaki.
Hahahahah lets give it time ipo siku mnato utaisha na DP atasepa zake kwa Amani. 🤣🤣🤣
 
Mkuu,
kwa akili hii nikimuacha sahv ndo atapotea kabisa,maana hajui aanzie wali aende wapi.

Afu kingine mi hata skuhz simzingatii Sana,mara kibao TU yeye ndo husema
"Kama vipi tuachane" najibu "POA"

Nakata huduma na mguu kwake,
Akikaa TU hata mwezi hatoboi lazima anitafute kusema chochote Cha kupika nyumbani.

Nikimtumia na nikaenda,
Penzi ananipa Kama kawaida na tunarudiana.
DAah huo msalaba wako lazima uufikishe golgotha😅😅😅
 
Yeah CCM ndo imetufundisha hivyo hakuna aliyezaliwa na akili hio.
Mkuu,
uyo Glenn atanilaumu mi mbinafs,
Ila mamaJ hata nikimuacha,

kwasasa Hana popote pa kushika maana maisha yake hayana refaree yeyote

Najaribu Sana kwenda nae ili angalau awe mwanamke Bora tufanye maendeleo.

Ujue nataman pia kumuoa,
Ila kuoa mwanamke Kama mamajJ huyu was Sasa Ni kujitafutia kiharusi na kisukari
 
Hahahahah lets give it time ipo siku mnato utaisha na DP atasepa zake kwa Amani. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
utakua umeshaisha ila kabaki kumwonea huruma tu,yupo nae kimazoea lakini si kwamba akikosa kipochi manyoya anasumbuka
 
Mkuu,
kwa akili hii nikimuacha sahv ndo atapotea kabisa,maana hajui aanzie wali aende wapi.

Afu kingine mi hata skuhz simzingatii Sana,mara kibao TU yeye ndo husema
"Kama vipi tuachane" najibu "POA"

Nakata huduma na mguu kwake,
Akikaa TU hata mwezi hatoboi lazima anitafute kusema chochote Cha kupika nyumbani.

Nikimtumia na nikaenda,
Penzi ananipa Kama kawaida na tunarudiana.

Mwenye matatizo ni mama J na sio wewe yeye ndio anatakiwa ajue future yake na kila ukitaka kumfundisha hafundishiki
 
Back
Top Bottom