Mchepuko anachanganya mapenzi na pesa, nilichomfanyia nadhani kapata funzo

I'la Kweli acha atoe ufafanuz kuhus Hilo swal lako pengine jamaa ameingizwa mjini

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Sasa michakato SI mpk upate afande anaekujua, Kama hakujui tamaa Lazima ale uku na uku
 
Mwanaume anayeni to mber siwezi kumkopesha hela maana sitaweza kuidai....naangalia kiasi nianchoweza kurisk nampatia. Pia mimi siwezi mkopa me wangu kwa maana sitarudisha kwakweli. Yani nitachukulia easy...instead huwa namuomba tu anisaidie kama anaweza.
 
Huyo dada usije zae kabisa atakuletea uzao kiazi, kiande,Kilaza wa kiwango Cha SGR.

Endelea kufaidi mbususu yake ila usije ukaweka mimba atakusumbua sana.

Anaonekana ni komando kipensi Inakubidi Sasa uwe shoziniga kweli kweli
 
I'la Kweli acha atoe ufafanuz kuhus Hilo swal lako pengine jamaa ameingizwa mjini

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Hizo habar za mwizi husika kulipa mil 1 tumekuja kuambiwa Baada ya kulipa pesa na tushachukua simu.

Pale akili zote tulichokua tunahangaikia Ni simu na sio mwizi wa simu.

All in all simu ilivopatikana hatukua na haja na mambo mengi maana hata alieiba hatukumjua.
 
Sasa michakato SI mpk upate afande anaekujua, Kama hakujui tamaa Lazima ale uku na uku
Yani me nlifanyiwa na maadande sijuani nao kabisaaa. Ila sheria ndo hyo kama mnaamua kumalizana anatakiwa awalipe.
Tena anayekujua ndo mzuri maana alipaswa awaambie process. Huyo ana tamaa au alikuona boss huna hadhi ya kupewa fidia ya tumilion au tulaki. Kwenye ile ambayo mngelipwa na mwizi ndo mngempatia shukrani hata ya 50 kulingana na ukubwa wa mpunga mliopewa
 
Sasa ukishajijua uko hivo Ni Bora usikope pesa kwake, tatzo la mamaJ anakopa afu akidaiwa anakua mbabe na harudishi.

Anasahau kua Iyo pesa umeitoa mahali na unavuruga mzunguko
 
Basi watakua maafande waadilifu.
Hawa was huku michongo mingi, bure bure Simu yako unaipoteza kabisa.
Ulibahatika Sana aisee[emoji1431]
 
Huyo dada usije zae kabisa atakuletea uzao kiazi, kiande,Kilaza wa kiwango Cha SGR.

Endelea kufaidi mbususu yake ila usije ukaweka mimba atakusumbua sana.

Anaonekana ni komando kipensi Inakubidi Sasa uwe shoziniga kweli kweli
Ndo najitahidi abadilike ili nimzalishe, nimuoe ila inashindikana. Nmeamua kuacha Kama ilivyo
 
....huu mwaka upo vizuri mkuu, naweka kambi hapa tena..! Ile ulichomfanyia shem alivyotaka mgawane mali nilipitiliza kituo cha basi.
 
Basi watakua maafande waadilifu.
Hawa was huku michongo mingi, bure bure Simu yako unaipoteza kabisa.
Ulibahatika Sana aisee[emoji1431]
Ndo maana mama j alikomaa
Me mwizi wangu ndugu zake waliuza hadi TV wakanilipa hela yangu .
Walianza kuleta kiswahili cha kupigana kalenda siku ya mwisho nikakomaa TV ikaletwa polisi mteja alitafutwa usiku saa 4 hadi akapatikana nikakabidhiwa mpunga wangu nikasepa kwenye saa 8 usiku ndo nachomoa kituoni
 
Sasa ukishajijua uko hivo Ni Bora usikope pesa kwake, tatzo la mamaJ anakopa afu akidaiwa anakua mbabe na harudishi.

Anasahau kua Iyo pesa umeitoa mahali na unavuruga mzunguko
Ameona hela kubwa hutoi kizembe ndo maana anaingia kwa gia ya kukopa
 
Inaelekea una msimamo wanaume kama wewe tumebaki wachache [emoji23][emoji23][emoji23]

Next time nitag niwe wa kwaza kusoma japo nalukaluka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…