Mchepuko anachanganya mapenzi na pesa, nilichomfanyia nadhani kapata funzo

Mchepuko anachanganya mapenzi na pesa, nilichomfanyia nadhani kapata funzo

Ninamaanisha kuwa mpenzi wangu kabisa nisingeweza kugoma kumlipia hiyo 50k kwa kigezo chochote, hivyo najiona kumbe huwa napoteza
Kumlipia halikua tatzo,
Ile haikua Simu Yake Wala ya duka lake
Bali ilikua simu ya mfanyakaz wake wa Dukan

Afu kugoma kumlipia ni mwendelezo wa yeye kila panapohitajika ela anasema hana Ela nitoe mimi na biashara anafanya kila siku.

Ni kwamba nilijua huyu anafanya kusudi Sasa,keshanichukulia danga flan linatoa pesa bila mipango
 
Hio posho ya meza huwa Ni sh ngapi ? Zinalingana kila siku ama unavyojickia wewe ?

Mbona Kama unanunua penzi mkuu? Kila mkilala lazma umpe hela ?

Mm nnavyojua, Kama ameshakuwa mchepuko Kuna siku mnaweza kulala na usimpe chochote coz Mara apatapo changamoto anakujulisha na unaitatua sijui Kama nimeeleweka
Kuna aina tofauti za vimada/hawara/mchepuko

Kuna wale unakutana nae kwa mwezi mara moja hadi tatu, huyu una pay as you visit...ukiondoka huwajibiki kwake

Kuna hawa wa kupika na kupakua yaani haipiti siku mbili lazima ukutane nae, huyu unawajibika kumtunza tu,so lazima pesa ikutoke
 
Simu ya laki moja unaweza kuja kuipoteza kwa gharama ya Milioni moja na Laki moja pale wazee watakapokuja kuichukua huku wakidai mwenye simu aliuawa kwenye tukio la ujambazi.
Na nadhan ndicho kilichotokea kwa aliekutwa na ile Simu. So sad, Ilimtoka milioni kwa haraka haraka [emoji26]
 
DeepPond
Katika stori yako nimejifunza mambo haya;
1. Nimejiona mimi ni mjinga sana kwani nisingethubutu kufanya kama ulivyomfanyia huyo binti.

2. Nimegundua huyo mama J hapo alipo hajitambui kuwa anapoteza muda na hajui kujiongeza vinginevyo alitakiwa akupige chini kitambo sana....unamtymia na kumlipa/ tendo.

3. Kwa misimamo hiyo katika mambo ya pesa utafika mbali..

......ninawasilisja...
😂😂😂😂😂 hoja no 2
Khaaaa
 
Kumlipia halikua tatzo,
Ile haikua Simu Yake Wala ya duka lake
Bali ilikua simu ya mfanyakaz wake wa Dukan

Afu kugoma kumlipia ni mwendelezo wa yeye kila panapohitajika ela anasema hana Ela nitoe mimi na biashara anafanya kila siku.

Ni kwamba nilijua huyu anafanya kusudi Sasa,keshanichukulia danga flan linatoa pesa bila mipango
Sasa unafikiri wewe kwake sio danga?? Si anajua kabisa wewe ni mume wa mtu na hutakuja kumuoa??

Sema nashangaa kwanini Mama J anavumilia hayo wakati ana kazi nzuri anaweza jitegemea. Maana kuna visa vingine meseji unazomtumiaga tunaumia mpaka wasomaji.
 
Inategemea na siku,
Ila mara kwa Mara Ni elfu 10
Na sio kwamba nanunua penzi Bali Hata nisipofanya nae Nampa TU,

maana mamaJ nmemchukulia Kama familia yangu na nnawajibika kumtunza kila siku japo kazin kwake nilikomtafutia Mimi Kwny ofs ya rafk yangu najua ana posho ya elfu 10 kila siku na bado mshahara mwisho wa mwezi anapokea

Safii una roho nzuri sana
 
Sasa unafikiri wewe kwake sio danga?? Si anajua kabisa wewe ni mume wa mtu na hutakuja kumuoa??

Sema nashangaa kwanini Mama J anavumilia hayo wakati ana kazi nzuri anaweza jitegemea. Maana kuna visa vingine meseji unazomtumiaga tunaumia mpaka wasomaji.
Watoto wa kike mjiongeze.
Hili jambo la mama J kibinadamu halijakaa sawa, anamtumia tu kwa hamu zake na kuachiwa kodi ya meza 5k au 10k au hata 15k.
Ni uhusiano usiokuwa na malengo na hitimisho lake mama J atalia kwani uzee hauko mbali.

DeepPond kama story zako ni za kweli nakuomba umwache binti wa watu huenda atapata wa kumsitiri kwa ndoa.

Umekuwa sawa na Farao kwa wana wa Israel.
Angalia machozi ya huyo binti yasije kumfikia Mungu ukala kichapo.

Usitumie ujinga wake kukata hamu zako mkuu achana naye ikiwezekana mpe mafao kabisa ya kuanzia maisha umemtumia mda mrefu sasa
 
Wanawake wachache mno ndio wanaielewa saikolojia ya mwanaume.

Wanaume huwa hatupendi kufanywa wajinga/mabwege. Kiasili mwanaume ndie mtoaji wa pesa kuliko mwanamke ila sometimes unataka uone response ya mwanamke tu kama kweli anakujali/kuthamini..unaweza kumjaribu ukamuomba japo elfu ishirini ili hali wewe umeshampa hata 5M....ukimuona anakwambia kuwa hana pesa jua kuwa huyo anakutumia tu ,huna thamani mbele ya macho yake . Infact unaweza kuzimia kama Haji manara na asikunyanyue. So ni vyema ukatemana nae tu.

Mwanamke anaekuthamini hatasita kukupa pesa ndogo uliyomuomba kwani anajua kuwa unampa zaidi ya kile ulichomuomba. Ndio maana wengine wanafikiwa kujengewa hadi majumba na madanga yao kutokana na wao hawaoni tabu kutoa hata laki tano kumfanyia shopping danga lake in return anakuja kupiga kizinga hata cha milioni 2-3 na unampa cuz nae ni mtoaji.
 
Safii una roho nzuri sana
Roho nzuri kumuachia 10k kweli?? Lakini kwenye shida anajitoa pembeni ukiona katoa pesa basi yupo kunywa nae pombe.
Kumbuka huyu ni mchepuko sio mpenzi wa malengo DP inabidi ajue kwamba mama J hawezi mtreat kama mke wake anavyomtreat sababu mke ana assurance yupo ndoani.

Hata hiyo kazi aliyomtafutia wakizingua anamharibia hapo kuna roho nzuri kweli au kumfanya mwenzie sex slave kwa 300,000 kwa mwezi??? Tena sex ambayo karibia kila siku anatoa.
Ukisoma stori zake hakuna cha maana alichomfanyia ambacho hata kesho na kesho kutwa wakiachana mama J atabaki nacho ndio kwanza ataanza upya.
 
Wanawake wachache mno ndio wanaielewa saikolojia ya mwanaume.

Wanaume huwa hatupendi kufanywa wajinga/mabwege. Kiasili mwanaume ndie mtoaji wa pesa kuliko mwanamke ila sometimes unataka uone response ya mwanamke tu kama kweli anakujali/kuthamini..unaweza kumjaribu ukamuomba japo elfu ishirini ili hali wewe umeshampa hata 5M....ukimuona anakwambia kuwa hana pesa jua kuwa huyo anakutumia tu ,huna thamani mbele ya macho yake . Infact unaweza kuzimia kama Haji manara na asikunyanyue. So ni vyema ukatemana nae tu.

Mwanamke anaekuthamini hatasita kukupa pesa ndogo uliyomuomba kwani anajua kuwa unampa zaidi ya kile ulichomuomba. Ndio maana wengine wanafikiwa kujengewa hadi majumba na madanga yao kutokana na wao hawaoni tabu kutoa hata laki tano kumfanyia shopping danga lake in return anakuja kupiga kizinga hata cha milioni 2-3 na unampa cuz nae ni mtoaji.
Umeongea point murua kabisa,

MamaJ sio mtoaji kabisa ( chake chake,changu chetu) na ananichukulia danga lake akiamini Sijui Kama pale nadangwa)

Mwaka wa nne huu,
Kutoa chake kwangu Ni Changamoto.
Hata kile kidg TU

Kuna siku nilipata dharula flan usiku Sana na nilikua nahitaj cash laki 2 nikiwanna mamaJ mahali na nikamwambia kesho yake asbh ningerudisha na najua anayo Kadi yake ya benki pale huwez amini alininyima live kua Hana ela, nikaenda saidiwa na washkaj Baki pesa ikaletwa na bodabda kumaliza Changamoto yangu
 
Roho nzuri kumuachia 10k kweli?? Lakini kwenye shida anajitoa pembeni ukiona katoa pesa basi yupo kunywa nae pombe.
Kumbuka huyu ni mchepuko sio mpenzi wa malengo DP inabidi ajue kwamba mama J hawezi mtreat kama mke wake anavyomtreat sababu mke ana assurance yupo ndoani.

Hata hiyo kazi aliyomtafutia wakizingua anamharibia hapo kuna roho nzuri kweli au kumfanya mwenzie sex slave kwa 300,000 kwa mwezi??? Tena sex ambayo karibia kila siku anatoa.
Ukisoma stori zake hakuna cha maana alichomfanyia ambacho hata kesho na kesho kutwa wakiachana mama J atabaki nacho ndio kwanza ataanza upya.
Elfu kumi, kumi na tano unaiona ndogo kwa kuwa inatolewa kila siku ila hupigi hesabu huyo jamaa anateketeza kiasi gani kwa mwezi na mwaka kwa huyo mchepuko?!!

Hizi akili ndio huwa zinawafanya wanawake wanagongwa na mtu anayetoa elfu 30 ya pamoja huku akimdharau mumewe anayemuachi elfu 10 kila siku.

Mtaani kuna wanawake kibao wanaomba walau wapate watu wa kuwaachia sh 2000 kila siku na hawawapati sembuse 10000.
 
Roho nzuri kumuachia 10k kweli?? Lakini kwenye shida anajitoa pembeni ukiona katoa pesa basi yupo kunywa nae pombe.
Kumbuka huyu ni mchepuko sio mpenzi wa malengo DP inabidi ajue kwamba mama J hawezi mtreat kama mke wake anavyomtreat sababu mke ana assurance yupo ndoani.

Hata hiyo kazi aliyomtafutia wakizingua anamharibia hapo kuna roho nzuri kweli au kumfanya mwenzie sex slave kwa 300,000 kwa mwezi??? Tena sex ambayo karibia kila siku anatoa.
Ukisoma stori zake hakuna cha maana alichomfanyia ambacho hata kesho na kesho kutwa wakiachana mama J atabaki nacho ndio kwanza ataanza upya.
Sister mtanilaumu Sana,
Ila tambua hamna mwanaume bahili au katili kwa mwanamke mnyenyekevu na mwenye Shukran na kauli nzuri

Leo mamaJ utamfanyia Jambo kwa kujitoa, kesho mkigombana kdg TU anasema hujawahi nifanyia chochote kile.

YAAN ugomv kdg TU mtu anafuta mema yako yote ambayo uliwahi kumfanyia.

Kumbuka pale anapokaa Kodi nalipa Mimi,vitu vya ndani nmenunua Mimi,pesa ya kula kila siku Nampa Mimi. Ila sio mara Moja au mara mbili tukigombana kidg ananifungia nje. Eti niondoke kwake nirud kwa MKE wangu hatak kuniona.

Nyuz kibao nishaweka humu,
Wengi wananidhihaki wanasema napoteza pesa, huyu mwanamke ananitumia.

kuna kipind niliwahi nunua pagale ili nilimalizia ujenzi ahamie, akawa anataka achangie mchanga, ili fundi apige plasta ili amalize haraka.

Kwasababu ya tabia Yake kila tukigombana ananifungia nje, mara aseme Kama vipi tuachane.

nikasema ntajenga mwnyw mpk mwisho asichangie chochote kile huyu.
akileta za kuleta kunifukuza kwny nyumba yangu au km vipi tuachane ataondoka Kama alivyokuja na nguo zake.

Mchanga wake nikaita tipper mbili nikausomba na kwenda kuumwaga alikopanga (mpk leo hii upo pale pale ule mchanga)

Ujenz ule ulikwenda polepole mpk nmemaliza, bado finishing ndogo ndogo TU.

Baada ya kuumaliza,
Ikabd nyumba ile nikamuonyesha wife mamaG ajue kua nna nyumba nyngn. MamaJ ndoto ya kumjengea nyumba ikayeyuka mpk Leo hii.

Sasa mtu wa hivi unamsaidiaje dada angu.
Kama Ni juhudi Mbona naonyesha Sana Ila Hana shukrani.

Ni mengi Sana ya kukatisha tamaa ananifanyia mamaJ napotezea nikiamua kuandika hapatoshi hapa dada angu[emoji26]
 
Elfu kumi, kumi na tano unaiona ndogo kwa kuwa inatolewa kila siku ila hupigi hesabu huyo jamaa anateketeza kiasi gani kwa mwezi na mwaka kwa huyo mchepuko?!!

Hizi akili ndio huwa zinawafanya wanawake wanagongwa na mtu anayetoa elfu 30 ya pamoja huku akimdharau mumewe anayemuachi elfu 10 kila siku.

Mtaani kuna wanawake kibao wanaomba walau wapate watu wa kuwaachia sh 2000 kila siku na hawawapati sembuse 10000.
Ukishasema mume ni habari nyingine mkuu hapo hata akikuachia 3000 haina shida. Ila kumbuka huyu sio mume ni mchepuko ambae anamtumia kutoa tendi karibia kila siku kuliko hata mke wa jamaa.

Hata ukisema upige mahesabu kwa miaka 10 bado hailet sense kabisa. Huyo dada apate tuu akili ya kujiongeza lasivyo usiku utamfikia kapotezewa muda, maisha na hata familia hana.
 
Back
Top Bottom