''Mchepuko'' ulivyotaka kuharibu shughuli ya msiba wa muimbaji wa nyimbo za injili Marco wa Zabron Singers

''Mchepuko'' ulivyotaka kuharibu shughuli ya msiba wa muimbaji wa nyimbo za injili Marco wa Zabron Singers

Kuna wanawake ni nusu watu nusu hayawani.

Takriban wiki moja iliyopita muimbaji wa nyimbo za injili Marco Zabron wa kundi la Zabron Singers alifariki jijini Dar es salaam.

Mapema wiki hii shughuli ya mazishi ikawa inafanyika huko Kahama mkoani Shinyanga.

Marehemu alikuwa ameoa na ana mtoto,

Katikati ya majonzi msibani akaibuka huyu nusu mtu nini sijui na kudai yeye eti alikuwa mchepuko wa mtumishi amezaa nae na anataka mgawo wa mali au mtoto atambulike rasmi

Mchepuko umekuja na kadi ya clinic ,mawasiliano ya watsapp na picha walizopiga na marehemu kama ushahidi

yaani disco luliingia mmasai.
kwa nini hakusubiri msiba ukaisha akaenda kistaarabu kujitambulisha.

nimelia sana maana hata mi nikifa leo naweza kupata aibu kama hiyo.na ninavyo heshimika kanisani
Itakuwa amewahi kabla ya mazishi ili kama kuna ubishi wowote kutoka kwa wanafamilia iwe rahisi kuchukua sampuli kutoka kwa marehemu kwaajili ya kupima vinasaba ili kupata uhalali wa hoja yake
 
Nilipoiona nilijisikia aibu mpaka nikasema kumbe marehemu alikuwa na makando kando mengi pengine ikasababisha hata moyo kulemewa.

Hatujui inawezekana huyo mwanamke alitumia mtoto kama fimbo ya kumtesa marehemu.

Anyways huyo dada aliona ndiyo wakati sahihi kwake kusikilizwa anyway.

Umesema alikuwa na mtoto mmoja kwenye ndoa, wale wengine wawili je?

Wanaume heeee, heeee
Huenda hata michepuko ilikuwa mingil,sasa ikikupiga mkwara kuwa inakuja kulisanua kanisani lazima moyo utoboke
 
Kuna wanawake ni nusu watu nusu hayawani.

Takriban wiki moja iliyopita muimbaji wa nyimbo za injili Marco Zabron wa kundi la Zabron Singers alifariki jijini Dar es salaam.

Mapema wiki hii shughuli ya mazishi ikawa inafanyika huko Kahama mkoani Shinyanga.

Marehemu alikuwa ameoa na ana mtoto,

Katikati ya majonzi msibani akaibuka huyu nusu mtu nini sijui na kudai yeye eti alikuwa mchepuko wa mtumishi amezaa nae na anataka mgawo wa mali au mtoto atambulike rasmi

Mchepuko umekuja na kadi ya clinic ,mawasiliano ya watsapp na picha walizopiga na marehemu kama ushahidi

yaani disco luliingia mmasai.
kwa nini hakusubiri msiba ukaisha akaenda kistaarabu kujitambulisha.

nimelia sana maana hata mi nikifa leo naweza kupata aibu kama hiyo.na ninavyo heshimika kanisani
Hizi ndio Stori wanazopenda watz.

Uongo na vistori vya kutunga.....Ka Online Tv kamepata views nyingi kupitia wajinga.

Huyo Dada macho makavu na huoni Mtangazaji na Mke mwenyewe hawamtaji Marehemu kwa Jina wala utambulisho wowote ili kuepuka Kesi😆😆😆😆
 
Back
Top Bottom