Mchepuko umekuja kupanga nyumba ninayoishi na familia yangu

Mchepuko umekuja kupanga nyumba ninayoishi na familia yangu

Cha kufanya mdanganye mchepuko wako kwamba mmepatwa na tatizo la usafiri alafu ukalale gest kama unahela. Alafu kwanini usimwambie ukweli mchepuko wako ?
 
Pumbavu kabisa wewe,badala ya hela yako kuweka akiba ili upate kibanda unaendekeza mamabo ya kizamani,utaendelea kulipia usingizi maisha yako yote
Mkuu kila mtu na maisha yake. Usimpangie jinsi ya kuishi kwani maisha yamekuwa mafupi mno. Mi huwa nashangaa watu wenye mawazo mazuri mazuri ya kujenga ndo wanaongoza kwa umasikini.
 
Haya ni majanga ya kujitakia. achana na michepuko kama huwezi kuhandle wanawake wawili kwa wakati mmoja.
 
Mmmnnh
Mwambie ukweli,na usifikie kwake. Lakini hamisha familia haraka kuepuka hujuma dhidi ya watoto
 
Mmh! Mbona kama ni vigumu kutokea kwa sababu sidhani kama hujawahi kumwambia unaishi wapi hiyo ni ngumu aisee.
Aaah, kwa wanaume Ni possible kabisa, yaani nimeoa halafu nikwambie ukweli kua eti naishi sehemu flani? Ni lazima uwe mchepuko mstaarabu Sana na WA muda mrefu ndo nitakwambia napo naweza Tu kukutajia eneo, yaani nikakwambia Tu naishi Tabata.
 
Aaah, kwa wanaume Ni possible kabisa, yaani nimeoa halafu nikwambie ukweli kua eti naishi sehemu flani? Ni lazima uwe mchepuko mstaarabu Sana na WA muda mrefu ndo nitakwambia napo naweza Tu kukutajia eneo, yaani nikakwambia Tu naishi Tabata.
Hivyo huyo alistahili hicho kinachotaka kutokea basi akubaliane nacho tu.

Ndio muambizane sasa muwe mnasema mnapoishi ili isijirudie
 
Ishu nyepes mwambie umehamia nyumban kwangu siwez kuja hapo kulala period otherwise kama haujui kama umeoa
 
Pumbavu kabisa wewe,badala ya hela yako kuweka akiba ili upate kibanda unaendekeza mamabo ya kizamani,utaendelea kulipia usingizi maisha yako yote
Mkuu kuna ambao hawana michepuko na bado wanaishi nyumba za kupanga.Na kuna ambao wana mpaka wanne na wanaendelea kujenga.Kujenga ni mipango mkuu.Mpe ushauri nduguyo.
 
Matatizo ya kujitakia ujitakie mwenyewe, ushalikoroga sasa unaomba ushauri hapa.

Wakutanishe mchepuko na mkeo uwaambie unataka kuongeza mke uuoe huo mchepuko.
 
Mkuu usirudi nyumbani namuonea huyo mkeo anayekesha na kuomba (labda) Mungu safri zako ziwe na mafanikio kumbe unampelekea mchepuko nyumbani. Tafuta nyumba nyingine ya kupanga kisha mpige chini huyo mchepuko.
NB
Its too late lazima watajuana lakini kuhama kutapunguza jazba kwa mkeo
 
Hivyo huyo alistahili hicho kinachotaka kutokea basi akubaliane nacho tu.

Ndio muambizane sasa muwe mnasema mnapoishi ili isijirudie
Ha ha ha haaaa.. Ili kuepuka yote haya Kuna option mbili Tu za kukusaidiaa, kwanza kuepuka kabisa mambo ya MPANGO WA KANDO, hapo unakua free Sana, hata simu yako msg ikiingia unamwambia wife hebu nisomee hiyo msg imetokaa kwa nani hapo me naona uvivu kunyanyuka hapa.

Option ya pili Ni kumgharamikia mchepuko, yaani ulipe kodi na nyumba uitafute wewe, kama unaishi tabata mchepuko unaupeleka bunju kabisa.
 
Ingekuwa mimi ningefanya hivi.
1.Naendelea na safari kama kawaida
2.Nitalala guest kesho yake nitarudi nilikotoka.
3.Nitatafuta sababu yeyote nimpige chini mchepuko na nitakata mawasiliano kuanzia hapo.
4.Nitakaa huko kama week ili mchepuko amalize hasira zake zote.
5.Baada ya hapo nitarudi nyumbani na nitaingia usiku kwa mke wangu hivyo huyo x-mchepuko ataniona asubuhi na hata tukionana nitampa salamu tu kama jirani na kumpotezea, hapo hata kama akileta vurugu itakuwa ndogo sana kwakuwa itakuwa ni vurugu yakutaka kurudiana na sio ya fumanizi.
 
Back
Top Bottom