Mchepuko umekuja kupanga nyumba ninayoishi na familia yangu

Mchepuko umekuja kupanga nyumba ninayoishi na familia yangu

Mmh! Mbona kama ni vigumu kutokea kwa sababu sidhani kama hujawahi kumwambia unaishi wapi hiyo ni ngumu aisee.
Kama hii ni kweli,basi maombi ya mchepuko wako kuomba kuwa sehemu ya familia yako yamejibiwa!au ulikua unategemea nini labda!
 
Ebhana apo utaharibu na utachafua hali yahewa nakuleta mtafaruku kwene familiya yako ww chakufanya hapo ahilisha kabisa kufika Hom kalale hata guest muite uyo mchepuko wako awe mpole naiwe siri kama ataweza. ..lasivyo Muambie umeoteshwa kua hiyo sehem alipohamia sio nyumba nzuri inamadudu mabaya nayatammaliza cku mbili hizi kwaiyo hutofika hata kwadawa na kesho lazima ahame upo radhi umtafutie sehem hata usiku huu huu
Duh.! Huo ushauri ni mubashara kabisa.[emoji12]
Kwamba "umeoteshwa"
Au umeshushiwa "maono"
 
unapochepuka hamna uzi leo kwa ujasiri kabisa unaandika uzi kisa mnapanga naye nyumba hebu jipange upya
 
Mkuu tayari Nina nyumba yangu, ila huku nimehamishiwa kikazi na ndio maana nimepanga...au ulitaka nihame na nyumba yangu?
Kama umeshajenga ni sawa hata hivyo hupaswi kuwaangaisha family wakati mji upo.
 
kuna watu wana balaa hii nchi haijawahi kutokea
 
Kama ulikuwa hujamwambia kuwa una familia, mwambie. Mweleze ukweli wote , halafu muachane. Ukweli ndo silaha pekee uliyonayo.
 
Amekukomoa, kuna uwezekano mkubwa anajua unapoishi ma amekufata muwe karibu eeeeh au!?
 
Ingekuwa mimi ningefanya hivi.
1.Naendelea na safari kama kawaida
2.Nitalala guest kesho yake nitarudi nilikotoka.
3.Nitatafuta sababu yeyote nimpige chini mchepuko na nitakata mawasiliano kuanzia hapo.
4.Nitakaa huko kama week ili mchepuko amalize hasira zake zote.
5.Baada ya hapo nitarudi nyumbani na nitaingia usiku kwa mke wangu hivyo huyo x-mchepuko ataniona asubuhi na hata tukionana nitampa salamu tu kama jirani na kumpotezea, hapo hata kama akileta vurugu itakuwa ndogo sana kwakuwa itakuwa ni vurugu yakutaka kurudiana na sio ya fumanizi.

Ha ha haaaa

Labda alimwambia mengi ya uongo eeeeh... hata eneo lingine na sio huko anapoishi..huyu kama aliingia kwa mchepuko kwa kudanganya kapatikana na heshima yake inashuka asilimia mia mbili.
 
Back
Top Bottom