Mchepuko umenizalia 'Twins' kwa surprise

Madalali nahitaji nyumba vyumba 3 maeneo ya Mapinga. Iwe na geti
 
Hii chai imeungwa vizuri kweli ila haibadili maana kuwa ni chai [emoji13]
Huyu jamaa alikuwa na Id moja kongwe humu ( ya yule mtu anasimamia misa kanisani nadhani umeelewa)...ikapigwa life ban


Huyu jamaa huwaga nyuzi zake zina vituko halafu zote CHAI iliyolostiwa[emoji1787][emoji1787][emoji23]
 
[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]kubbbbbk

Makiseo njoo kwenye huu uzi
Nimefika[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huyu jamaa sidhani kama nyuzi zake nyingine huwa ni kweli? Chai nyingi[emoji23][emoji23]
 
Nimefika[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huyu jamaa sidhani kama nyuzi zake nyingine huwa ni kweli? Chai nyingi[emoji23][emoji23]
Haaahaa

Kuna kipindi alisema mke wake mbaya balaa, limenenepeana kama nguruwe[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]
 
Haaahaa

Kuna kipindi alisema mke wake mbaya balaa, limenenepeana kama nguruwe[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Chizi huyu.. ule uzi wake wa kuhama Kerege si uliusoma?
 
Mijitu miongo hapa naona wengi wanaiga tu mkumbo kumponda jamaa kwa alichokifanya,lakini mioyoni mwao wanajijua matendo yao. Wanaume wengi tu 90% wana michepuko na wengi wamewazalisha. Jamaa amekuja kuomba ushauri na kaeleza ukweli wake. Nimesoma comment nyingi watu wengi wanajifanya watakatifu hwajahi kufanya hayo mambo. Usimuogope binadamu,muogopeni MUNGU anaekuona mpaka ndani ya moyo wako
 
πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
Hongera sana, na Ubatizo huo usiache kuweka dengelua
tokea member mmoja aliposema humu kuwa ww ni Mpare nimeamini kabisa yote usemayo ni kweli
Urewedi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…